LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,389
Wewe tumia kichwa kabla ya kuja hapa! Halafu mambo ya kutujia na ID tofauti tofauti koma!
Yaelekea unawashwa!
Yaelekea unawashwa!
Historia inaonyesha kabla Lema hajawa mbunge, arusha ilikuwa salama kabisa, hata upatikanaji wa pesa haukuwa mgumu na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri, lakini tangu kipindi chake kimeanza hadi leo, full majanga!
Kipindi kile alipovuliwa ubunge, neema zilirudi kidogo na tulishuhudia barabara za mitaani kuwekwa lami, na pia kuzinduliwa kwa jiji la Arusha. Haka kamuda alikobakiza bora akaishi Somalia angalau neema zirudi tena kidogo.