Arusha BILA G. Lema ni Neema na Baraka

Arusha BILA G. Lema ni Neema na Baraka

mtaumia sana na si wa arusha lema tunampenda sana

usimsemee mwenzio, mwapendana ninyi wenyewe coz mnaridhishana kimini kabang...ndo zile zile data zenu feki za kusema wananchi wote!
 
Lazima Milaa na Viroba vimekuchanganya,unashindwa kuwatofautisha G.Lema na Mkuu wako wa mkoa!
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana baada yakulaumu serikali inafanya hujuma arusha ili Lema aonekane adui kwa wapiga kura wake wanasema Lema ndo mbaya? Hivi kweli propaganda za ccm hamzioni? John mnyika ubungo wamemnyima maji mpaka leo kisa ni chadema? Tanzania ni taifa la vigeugeu sijui ni njaa au ulimbukeni?
 
Kweli kama hizi ndiyo thinking ya CCM na wanaCCM basi kweli kama alivyosema jana Mwenyekiti Mbowe, utawala unapofikia mwisho Mungu huupatia hekima ya upofu kiasi cha kuanza kupambana na hata wale wale wanaotakiwa kuwaongoza.

Kwa topic yenu hii mmedhihirisha vitu kadhaa kuwa mmekuwa mkifanya matukio hayo ya kulipua na kuua watu huku mkiacha wengine walemavu, yatima na wajane kwa sababu mnafikiri mtaweza kumfitinisha Lema na pengine CHADEMA kwa watu wa Arusha. Very wrong strategy kwa sababu badala ya kuwatisha wanaArusha mmekuwa mkiwakomaza zaidi na kuwaunganisha, kwamba kwa kupigania matumaini na haki katika nchi yao, they all face the same fate hadi mkoloni mweusi aondoke come next year.

Lakini pia mmekuwa mkidhihirisha kuwa kumbe uhai wa CHADEMA na uwakilishi was mbunge wa Arusha vinawasumbua sana. Kwa sababu ukiona adui yako analalamika basi unakazia hapo hapo. Ukiona adui anakusifia jitafakari mara mbili sana.
 
Lazima Milaa na Viroba vimekuchanganya,unashindwa kuwatofautisha G.Lema na Mkuu wako wa mkoa!

wee nawe! Cjui umetokea kwenye pipa la mbege au gongo! Tangu 2010 mkuu wa mkoa ndo huyo aliyepo? Kapige mswaki kwanza unaleta harufu ya kinywa huku!
 
kwanza msitutoe kwenye mada habari ua sasa no katiba..mmenisikia matahira wote wa ccm...
 
wee nawe! Cjui umetokea kwenye pipa la mbege au gongo! Tangu 2010 mkuu wa mkoa ndo huyo aliyepo? Kapige mswaki kwanza unaleta harufu ya kinywa huku!

umelala chooni nini mbona unanuka mavi...
 
Asili ya watu kama hawa ni chadema, so sishangai sana maana ndivyo ulivyolelewa. Kama mmethubutu kuwatukana waasis wa muungano sembuse mimi!

ukiona mtu mzima anatukana hovyo ujue ndio mwisho wake kuwaza na hawezi kuwa na wazo mbadala. mfano mzuri ni wewe na Kama huamini fuatilia post zako huku jukwaani. Kama unawaza wanasiasa watakuletea maisha mazuri endelea kuota. Good morning
 
Historia inaonyesha kabla Lema hajawa mbunge, arusha ilikuwa salama kabisa, hata upatikanaji wa pesa haukuwa mgumu na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri, lakini tangu kipindi chake kimeanza hadi leo, full majanga!

Kipindi kile alipovuliwa ubunge, neema zilirudi kidogo na tulishuhudia barabara za mitaani kuwekwa lami, na pia kuzinduliwa kwa jiji la Arusha. Haka kamuda alikobakiza bora akaishi Somalia angalau neema zirudi tena kidogo.
ndugu, sasa naona propaganda zilizo kuwepo zimeliwa na nzige, zilizo baki zikakaliwa na parare na zilizo salia zikaliwa na madumadu! Busara ni muhimu, eti barabara zimeachwa bila matengenezo????....Ndiyo!, na nani??? Na kwanini? Hujuma zinabainishwa! Anayelipua mabomu yupo wazi na kamwe hawezi kujikamata!!!
 
ccm kwa kuonyesha chuki zao kwa Lema na wananchi wakaamua kulipua bomu kanisani, wakaona haijatosha wakalipua mkutano wa chadema, bado wakaona wananchi hawasikii wamelipua kwenye baa
 
Kweli kama hizi ndiyo thinking ya CCM na wanaCCM basi kweli kama alivyosema jana Mwenyekiti Mbowe, utawala unapofikia mwisho Mungu huupatia hekima ya upofu kiasi cha kuanza kupambana na hata wale wale wanaotakiwa kuwaongoza.

Kwa topic yenu hii mmedhihirisha vitu kadhaa kuwa mmekuwa mkifanya matukio hayo ya kulipua na kuua watu huku mkiacha wengine walemavu, yatima na wajane kwa sababu mnafikiri mtaweza kumfitinisha Lema na pengine CHADEMA kwa watu wa Arusha. Very wrong strategy kwa sababu badala ya kuwatisha wanaArusha mmekuwa mkiwakomaza zaidi na kuwaunganisha, kwamba kwa kupigania matumaini na haki katika nchi yao, they all face the same fate hadi mkoloni mweusi aondoke come next year.

Lakini pia mmekuwa mkidhihirisha kuwa kumbe uhai wa CHADEMA na uwakilishi was mbunge wa Arusha vinawasumbua sana. Kwa sababu ukiona adui yako analalamika basi unakazia hapo hapo. Ukiona adui anakusifia jitafakari mara mbili sana.

Mkuu Makene hili halihitaji mtu kuwa na cheti cha darasa la saba kuling'amua, ccm wameamua kuwaua wana Arusha kisa wameamua kutumia haki yao kidemokrasia, come 2015 waandae mabomu ya kurusha nchi nzima.
 
tatizo ni Lema, usitoe ufahamu! Mbona moshi mjini mambo co mabaya kama arusha mjini? Au kule ni ccm? Acha kuwa kama una kichwa cha nazi!

ninawashangaa sana kuleta siasa kwenye vitu hatari kama hivi.
kwa hiyo lengo lako hapa Arusha inalupuliwa kwa sababu ya siasa na Lema ni mbunge? basi kama ndio huo ukweli ni CCM ndio wanawaua wana wa Arusha kuwakomoa kwa nini hawajawachagua?
Ninashindwa kuelewa ni kwa nini umefikiri kwenye siasa mara moja, unaweza kuwa na sababu au unajua ni nani amelipua mabomu, maana kama bomu linalipua bar kuna mambo mengi inaweza kuwa hata ni wivu wa biashara mimi sijui.
Sasa uki justify sababu wana Arusha wamechagua upinzani ndio maana wanauawa hawatakuelewa na wataendelea kuwachagua na ndio maana baada ya kulipuliwa Soweto ambapo ni mita 100 tu kutoka hapo Arusha nightpark waliwachagua tena Chadema.
Arusha ni ndogo baada ya muda mchache kila kitu kitakuwa wazi
 
Mleta mada elimu yako ndogo,wewe kumuandama lema daily.

Ndo maana ulipata ajali IRINGA Ndg Majeshi ulistahili kifo coz unagusa kazi za mungu.

Wewe ni dereva tu wa ccm hapa arusha cjui uongozi umeupata lini na hilo pengo lako.

Wewe na KALAMBA RAMA rudini darasa la 5 mje mkauze magazeti kama sufiani hapo makao makuu ya ccm makongoro.

Mnakuwa wambea wa kila katibu anayehamishiwa arusha ili mpate vyeo na matangazo barabarani wakati kazi yenu ni kudeki ofisi.

KWANZA BOMU LENYEWE LIMELIPUKA MITA MIA MBILI HILO ENEO LA ARUMERU MAGHARIBI SIO ARUSHA MJINI.
 
tatizo la mateja kama wewe mtu akikataa kukuhemea kichogoni unajenga chuki..

Senge kweli toto hilo, hata ukicheki manenno yake yamekaa kama wale akina aunt nani wa Kinondoni.
 
ninawashangaa sana kuleta siasa kwenye vitu hatari kama hivi.
kwa hiyo lengo lako hapa Arusha inalupuliwa kwa sababu ya siasa na Lema ni mbunge? basi kama ndio huo ukweli ni CCM ndio wanawaua wana wa Arusha kuwakomoa kwa nini hawajawachagua?
Ninashindwa kuelewa ni kwa nini umefikiri kwenye siasa mara moja, unaweza kuwa na sababu au unajua ni nani amelipua mabomu, maana kama bomu linalipua bar kuna mambo mengi inaweza kuwa hata ni wivu wa biashara mimi sijui.
Sasa uki justify sababu wana Arusha wamechagua upinzani ndio maana wanauawa hawatakuelewa na wataendelea kuwachagua na ndio maana baada ya kulipuliwa Soweto ambapo ni mita 100 tu kutoka hapo Arusha nightpark waliwachagua tena Chadema.
Arusha ni ndogo baada ya muda mchache kila kitu kitakuwa wazi

Pointi iko hapo kwenye red, Mwigulu anayajua yote hayo vizuri.
 
ukiona mtu mzima anatukana hovyo ujue ndio mwisho wake kuwaza na hawezi kuwa na wazo mbadala. mfano mzuri ni wewe na Kama huamini fuatilia post zako huku jukwaani. Kama unawaza wanasiasa watakuletea maisha mazuri endelea kuota. Good morning

ni wewe na chadomo wenzio ndio mnaotukana! Afadhali mmejigundua labda mtajirekebisha! Pia huna kazi za kufanya hadi unafuatilia post zote humu jf, zaidi ya members 190,000? Kweli wewe POPO!
 
Kwa nn hukusema wakuu wote wa mkoa waliopita palikuwa shwari ila huyu Mulongo ndo nuksi kabsa.
 
Pointi iko hapo kwenye red, Mwigulu anayajua yote hayo vizuri.

Au ndio maana thread nyingi humu za watu ambao wanajipambanua ni CCM wanaenda kwenye siasa na chuki kwa Lema.
Sasa CCM haikuwahi kushinda Arusha, ukianza Makongoro Nyerere alimshinda Mrema na mahakama ilitengua ubunge uchaguzi haukurudiwa ni Felix Mrema kupewa ubunge, Mrema hakumshinda Lema 2005 watu wa Arusha wanajua kilichotokea na ndio maana 2010 hawakuishia kupiga kura na kuondoka, wanalinda kura zao.
Na hawalipwi kufanya kazi ya kulinda kura.
Hata uchaguzi uitishwe leo Arusha hawataichagua CCM
 
Back
Top Bottom