Arusha BILA G. Lema ni Neema na Baraka

Arusha BILA G. Lema ni Neema na Baraka

Asante ndugu yangu Jethro na kula like kubwa kuliko hiyo niliyoweka. Watu wengine akili zao ziko mgando kiasi kwamba hana mbadala wa kuwaza tofauti na kufikiria CHADEMA na CCM tu. Hajui kuwa utafiti unaonyesha kuna chuki za kibiashara na altenative ya alshabab? Jamani tufanye kazi tuachane na siasa uchwara ambazo zinakushushi heshima mbele ya jamii.

hahaha...hapo ndo mwisho wa kigugumizi chako co?
 

1-Arusha ilikuwa salama kabisa

Kama siyo salama tena ni failures ya vyombo vya usalama kuhakikisha amani inakuwepo kwa kubaini na kuzuia/kuvunja hali hiyo.Je vyombo vya usalama vina uhalali wa kuwepo ilhali vimeshindwa kutimiza wajibu wake?

2-barabara za mitaani kuwekwa lami.

Mbunge ndo kazuia uwekwaji lami ,je kaondoka nazo barabara au ni liserekali lako linalotumia maendeleo kwa kodi za wananchi kama rushwa ya kuwarubuni watu ili walichague.Kodi zinazolipwa/wafadhili WaTza ndo zinazojengea barabara ila kwa uwezo mdogo ulonao unadhani ni favour.

3-upatikanaji wa pesa haukuwa mgumu.
Yeye Lema kazuia vipi au ni kauzibe ya CCM au uchumi wetu uliojengwa ktk misingi ya CCM?
Au ulikuwa unapata pesa kwa ule utaratibu wa David Camer.. Uganda wameukataa ambao baada ya kupigwa vita kila kona umekosa njia mmbadala?

mkuu kwanza nikupongeze umechambua vizuri main point zako kwa kuzihighlight lakini hujatoa majibu sahihi. Pamoja na maelezo yako marefu kama mnara wa babeli, bado huwezi kuligusa anga! Nikujibu tu kwa kifupi kuwa, Lema ana gundu! Ale kona! Aje mwingine! Lema co riziki!
 
Historia inaonyesha kabla Lema hajawa mbunge, arusha ilikuwa salama kabisa, hata upatikanaji wa pesa haukuwa mgumu na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri, lakini tangu kipindi chake kimeanza hadi leo, full majanga!

Kipindi kile alipovuliwa ubunge, neema zilirudi kidogo na tulishuhudia barabara za mitaani kuwekwa lami, na pia kuzinduliwa kwa jiji la Arusha. Haka kamuda alikobakiza bora akaishi Somalia angalau neema zirudi tena kidogo.

Naomba nichangie kidogo, hasa kuhusu mleta mada "Pumbafu Kabisa" mnaua watu ili mje kusema Lema kaharibu Arusha.
 
Tatizo ni Lema au ccm? Hivi hizi njama za waziwazi kabisa zakumchafua Lema hamzioni? Kwanini haya yatokee lema akiwa mbunge? Viongozi wa ccm hawapend upinzani kutake ova arusha ndo mana wanaharibu arusha ionekane Lema ndo tatizo lakni ukiangalia Lema hajaleta fujo yeyote hakuna maandamano ni mabomu tu ya ccm

Tatizo ni Lema sio ccm.Mifano ni mingi,Moshi mjini inamilikiwa na chagadema kwa kipindi kirefu,hakuna mabomu pale,kwa Tundu Lissu ni chagadema ,hakuna mabomu pale,Kawe kwa dada Mdee ni chagadema,hakuna mabomu kule,jirani yake ,ni mjomba Mnyika chagadema,hakuna mabomu kule.Ukienda kwa Slaa ni chagadema,umewahi kusikia mabomu kule?
Labda twende Kigoma (ingawa najua nitatukanywa) kwa uncle Zitt0,kuna mabomu kule.Nilisahau kidogo kwende kwa mwenyekitu wa chagadema pale Hai ,umewahi kusikia hata kwa bahati mbaya kuwa bomu la Arusha liliangukia kule?
Naweza kuongolea majimbo yote ya wabunge machachari was chagadema, lakini hakuna kurupushani za mabomu.
 
Tatizo ni Lema sio ccm.Mifano ni mingi,Moshi mjini inamilikiwa na chagadema kwa kipindi kirefu,hakuna mabomu pale,kwa Tundu Lissu ni chagadema ,hakuna mabomu pale,Kawe kwa dada Mdee ni chagadema,hakuna mabomu kule,jirani yake ,ni mjomba Mnyika chagadema,hakuna mabomu kule.Ukienda kwa Slaa ni chagadema,umewahi kusikia mabomu kule?
Labda twende Kigoma (ingawa najua nitatukanywa) kwa uncle Zitt0,kuna mabomu kule.Nilisahau kidogo kwende kwa mwenyekitu wa chagadema pale Hai ,umewahi kusikia hata kwa bahati mbaya kuwa bomu la Arusha liliangukia kule?
Naweza kuongolea majimbo yote ya wabunge machachari was chagadema, lakini hakuna kurupushani za mabomu.

Na tukisema ni MULONGO...mkuu wa mkoa ana gundi
 
Lema ishughurikie Arusha mpaka vijana wajute usipofanya hivyo hawatagundua kama Cdm haitakiwi hapo Arusha chezea G. Lema wewe
 
Asili ya watu kama hawa ni chadema, so sishangai sana maana ndivyo ulivyolelewa. Kama mmethubutu kuwatukana waasis wa muungano sembuse mimi!

chadema ni watu wa sharishari sana
 
Kamwee nitakuwa mtu wa mwisho kumhukumu lema kwa propaganda hizi
eti mabomu chanzo lema.uchaguzi wa meya wa jiji chanzo lema.
cku zote niko upande wa haki niko na kamanda lema daima labda cku akianza kuwasaliti wananchi kitu ambacho ctarajii kwake.
 
Mtoa mada umejamba cheche zinakuchoma mwenyewe,kaah tuachieni arusha yetu na lema wetu,chadema arusha haibanduki ngoo,mtangoja sana na izo chuki zenu za waziwazi,
 
Mtoa mada umejamba cheche zinakuchoma mwenyewe,kaah tuachieni arusha yetu na lema wetu,chadema arusha haibanduki ngoo,mtangoja sana na izo chuki zenu za waziwazi,

Kaka chuki zao na taarabu zao ukouko magogoni sisi kwa macho yetu tumeona bomu alirusha polisi na polisi wakaua watu kwa risasi ili kumuokoa polisi mrusha bomu,alafu wapuuzi wanasema cdm.sasa kama Lema ndiyo mlipuaji serikali kwann wasimkamate?
 
tatizo ni Lema, usitoe ufahamu! Mbona moshi mjini mambo co mabaya kama arusha mjini? Au kule ni ccm? Acha kuwa kama una kichwa cha nazi!

Tatizo sio Chama tatizo ni Lema mwenyewe.
 
mitanzania mijinga kama hii ni majanga, badala ya kulaumu mfumo wa serikali iliyoko madarakani mnamlaumu Lema, kwa taarifa yenu Arusha inaunafuu mkubwa wantanzania wengi wamepigika mno kwa sababu ya ccm
 
Back
Top Bottom