Arsenal must win at least 7 games out of 9 kwa zilizobakia kuwa EPL Winner hii ni marathon anything can happenhaina haja kuumiza kichwa sna ili umfunge pep nd uchukuwe ubingwa.. arteta bd ana kazi kubwa ya kufanya kuweza ku match level z pep.
atawafunga makocha wengine wote kiuwepesi lkn
kw pep yey pia anajua jinsi itavkuwa tough..
game zilizobaki zote ni za muhimu na ni za kimahesabu zaidi!
Malengo ni kumaliza msimu tukiwa top 4 ila kama tukikaokota hako kakombe sio ambaya, mpewe nyumbu mgawaneBaada ya kushiba magimbi mnakuja kuyatapikia humu.
Huna timu ya kumfunga city.
Hawa watu vipi? Si wangesubiri wacheze na sisi kwanza?Jamani hatimaye Mungu katukumbuka Washabiki wa Chelsea FC View attachment 2574435
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Pamoja broWakongwe wa hizi kazi mawasialimu kwa jina la jamuhuri ya Emirates stadium ....
Jezi tamu hii.
Ya Home ,Adidas Wanataka kutuharibiaJezi tamu hii.