Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tujitahidi kuwaangalia wachezaji wakicheza mechi nzima kabla hatujasema wanafaa Arsenal. Tuache kutegemea youtube au stats kufuatilia mchezaji.

Kwa hii first half ya Soton na Hammers kwa jinsi mid yetu inacheza ni sahihi kumchukua Lavia kumtrain kwenye traits za Partey kuliko Rice.
Nasikia Rice Ni kwa ajili ya position ya xhaka

Lavia na Caicedo Ni rahisi Sana kuwa wabadala wa Partey , kwa ninavyoangalia mechi
 
Unawaweka Newcastle?

Bro first round na Newcastle walijafibu kufunguka, in 15 minutes Howe akaona watapotea. Akapaki basi.

Na kuna siku nilisema timu siku hizi hazitukabii juu Fulham learnt it the hard way. City kutususia possession they knew nini tunaweza fanya ukitaka enda mguu kwa mguu na Arsenal ya sasa
Marco Silva alisema kabla ya mechi atatupress Sana ,

Dakika 10 tu zilitosha kuimaliza mechi

Alikuja kwa kutu press na watu 6 mbwa yule

Pep Guardiola alibidi abadili mbinu kabisa

Ndio maana timu nyingi Sasa zimeamua kuwa solution Ni kupaki Basi tu


Mechi ya Jana na Leeds ukiangalia Ni Kama tulitumia Gear no.1 maana Kuna mchakamchaka huwa tunaupeleka had wapinzani wanahaha , hasa tukiwa tumeongozwa
 
Maximin anawaburuza Anthony na Dalot.

Nyumbu wanacheza hovyo ila Newcastle wanashindwa kucapitalize
 
Halafu mtu anakwambia tuna mechi ngumu na Newcastle

At 67 minutes against #Arsenal, Newcastle had a double decker bus set up and Nick Pope was taking 20 minutes to take goal kicks. Against United they were making positive substitutions to win the game. There are levels to this game, and United have been put in their place. #afc
 
haina haja kuumiza kichwa sna ili umfunge pep nd uchukuwe ubingwa.. arteta bd ana kazi kubwa ya kufanya kuweza ku match level z pep.

atawafunga makocha wengine wote kiuwepesi lkn
kw pep yey pia anajua jinsi itavkuwa tough..

game zilizobaki zote ni za muhimu na ni za kimahesabu zaidi!
 
We've seen this before
IMG_20230402_212710_050.jpg
IMG_20230402_212710_092.jpg
IMG_20230402_212710_129.jpg
 
haina haja kuumiza kichwa sna ili umfunge pep nd uchukuwe ubingwa.. arteta bd ana kazi kubwa ya kufanya kuweza ku match level z pep.

atawafunga makocha wengine wote kiuwepesi lkn
kw pep yey pia anajua jinsi itavkuwa tough..

game zilizobaki zote ni za muhimu na ni za kimahesabu zaidi!
Arsenal must win at least 7 games out of 9 kwa zilizobakia kuwa EPL Winner hii ni marathon anything can happen
 
Back
Top Bottom