United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,596
sina timu kweny ligi ya mbuzi ligi haina ata klabu moja Champions leaugeMkuu, baada ya kuikacha Mwanitesa Utn,ni bora ustick na Madrid tuu kule. Huku utajikojolea bure
sina timu kweny ligi ya mbuzi ligi haina ata klabu moja Champions leaugeMkuu, baada ya kuikacha Mwanitesa Utn,ni bora ustick na Madrid tuu kule. Huku utajikojolea bure
Huyu jamaa hamumpendi, ila kocha hamuweki benchi na anatupiaUmesahau jambo moja, Kai hatakiwi kuanza kabisa!
Una chuki binafsi na kai... Kwani kuna shabiki wa arsenal ambae hajui kama arsenal inahitaji mshambuliaji mzuri wa kati. Mtu akikosea mkosoe akifanya vizuri mpe sifa zake. Kama siyo mtu wa boli mzerKai na arteta sijui wana ushemeji.
Timu inahitaji striker, ambae atashuka kuchukua mipira na kusogea nayo juu, striker ambae anasumbua mabeki akiwa na mpira, stiker sharp
Naandika haya, bwana kai kapiga pasi ya goli
Goli linachekiwa.....
Ni chumaaàaaa,
Chuma ya pili.
Ama kweli hakuna ng'ombe asiefaa, kai kasaidia chuma ya pili. Ila bado tunahitaji JESUS
Jesus tukubali tukatae ila kwa sasa hatupaswi kumtegemea aanze kama CF, anaweza kuanza kama RW/LWI'd choose Jesus all day over Kai. Kai afunge au asifunge kwangu haibadili kitu.
Uchezaji wake kwa ujumla hawezi kumuweka level moja na Jesus.
Siwezi kukulaumu, magoli/matokeo mazuri ndio yanafika madhaifu yake huenda hujaliona hilo mpaka leo.
Kwa sasa ni hatuna mshambuliaji mzuri lakini bora aanze Kai kuliko jesus kwa viwango walivyonavyo sasa hiviHuyu jamaa hamumpendi, ila kocha hamuweki benchi na anatupia
Tuwe wapole wazee
Anakua na mapepe anakosa sharpness, nakumbuka last season goli la kdbHii turn aliyoifanya partey dk ya 9 ni moj kati ya vitu namisi toka kwake, timu yoyote inayoshambulia tokea chini inajitaji kiungo wa namna hii, anapokea mpira kwa kipa anaturn na kupiga pasi ya KUSHAMBULIA.
huyu tomiyasu huwa ana mawenge na game kubwa nini, atulize presha.
Kwa kuaminiwa alikoaminiwa kai, nae angeaminiwa hivyo, nilikuwa naona makubwa mno toka kwake.Siku akianza mbona hatuoni impact yake, binafsi namkubali kwenye kuchezesha timu ila sio kutafuta magoli, he's not clinical hataaa.
Kwendraaa zako losersina timu kweny ligi ya mbuzi ligi haina ata klabu moja Champions leauge
Unajua boli mzer.Siku akianza mbona hatuoni impact yake, binafsi namkubali kwenye kuchezesha timu ila sio kutafuta magoli, he's not clinical hataaa.
Leta wewe timu yako VaR iinterveneBen White Kona zote anasimama mbele ya Kipa na bado VAR wanagoma ku intervene. Spazi kanyimwa tuta then against the run of play saka anafunga. Arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani.
Yes, anakuwa n mapepe, akituliza mapepe tu, ni bonge la beki.Anakua na mapepe anakosa sharpness, nakumbuka last season goli la kdb
Kwani sijamsifia, chuki binafsi na mtu anaishi Uingereza naitolea wapi😳Una chuki binafsi na kai... Kwani kuna shabiki wa arsenal ambae hajui kama arsenal inahitaji mshambuliaji mzuri wa kati. Mtu akikosea mkosoe akifanya vizuri mpe sifa zake. Kama siyo mtu wa boli mzer
Mkuu, baada ya kuikacha Mwanitesa Utn,ni bora ustick na Madrid tuu kule. Huku utajikojolea bur
mzee wa live score acha makasiriko kaa chini angalia mechi ya ligi ya Mbuzi kelele nying za ninKwendraaa zako loser
Muhimu ushindi mkuu, tuenjoy game.Kwani mkuu si timu inashinda, Lazima aanze yeye
Imeniuma sana ile, yaani rafu 2 ndani ya box halafu refa na VAR yao wanajifanya kupotezea.Ben White Kona zote anasimama mbele ya Kipa na bado VAR wanagoma ku intervene. Spazi kanyimwa tuta then against the run of play saka anafunga. Arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani.
Bado haujasemaBen White Kona zote anasimama mbele ya Kipa na bado VAR wanagoma ku intervene. Spazi kanyimwa tuta then against the run of play saka anafunga. Arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani.