Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pole sana mkuu Castr
Kila mtu ana mtizamo wake kulingana na jinsi anavyouchukulia mpira wa miguu. Kwangu mimi kabla ya takwimu za magoli, assist na mataji hazijaanza kutumika kama kielelezo cha ubora wa timu, mwalimu au mchezaji, nilipenda zaidi burudani inayoambatana na utawala wa mchezo.

Nitaendelea tena kusimamia point yangu kwamba Arsena ya msimu huu imepungua ubora kwenye vigezo viwili kama utawala wa mchezo na mpira wa kuburudisha ukilinganisha na arsenal ya misimu miwili nyuma, Lakini simlaumu sana Arteta sababu ya presha ya mataji anayopata toka kwenu mashabiki.
Ndiyo sababu nikajibu kwa shabiki asiye wa Arsenal hakuna msimu ambao Arsenal ilikua nzuri. Kwangu mimi Arsenal ya Arteta ambayo ilikua exciting kuangalia ni ya 22/23 na 23/24. Il in terms of efficiency Arsenal ya msimu huu ilikua efficient zaidi.

Hua siutaji msimu wa 24/25 kwakua ule msimu hatukua na plan na kombe lolote tuliingia tukiwa hovyo. Hata second position ilikua overachieving.

Kama hiyo ni namna yako ya kushabikia mpira sielewi ilikuaje ukanasa United. M
 
Issue sio kuwa wachezaji mfumo wa Arterta uko hivyo hata aletewe nani, gyokerez ni mchezaji mzuri ndio top scorer wa team yake ya Taifa na hata alivyokuwa sporting Lisbon alikuwa anafunga for fun lakini aina ya mpira wa Arteta ulivyo utegemei striker ndio maana unamuona si chochote

Sahihi, licha ya mfumo mmbovu wa kujilinda na kutegemea setpicess, kuna namna kwenye baadhi ya maeneo wanawakosa watu wa kuamua game ... huwezi kuwa na AM ambaye mda wote ni side way na back passes .... hii ni changamoto pia ....
 
Ndiyo sababu nikajibu kwa shabiki asiye wa Arsenal hakuna msimu ambao Arsenal ilikua nzuri. Kwangu mimi Arsenal ya Arteta ambayo ilikua exciting kuangalia ni ya 22/23 na 23/24. Il in terms of efficiency Arsenal ya msimu huu ilikua efficient zaidi.

Hua siutaji msimu wa 24/25 kwakua ule msimu hatukua na plan na kombe lolote tuliingia tukiwa hovyo. Hata second position ilikua overachieving.

Kama hiyo ni namna yako ya kushabikia mpira sielewi ilikuaje ukanasa United. M
Man utd alinileta Eric Cantona tena kwa kusoma historia yake kwenye magazeti na muonekano wake kwenye picha mnato, ila sikuwahi kushuhudia akicheza mechi hata moja.

Kwenye soka napenda entertainment zaidi kuliko takwimu za magoli na assist hasa toka kwa wachezaji wachezeshaji kama akina Requelme, Fabregas, Scholes, Nedved, iniesta, n.k ila pia napenda fluidity ya timu kama iliyokuwa nayo arsenal ya wenger na barca ya Pep.
 
Tangu filimbi ya kwanza arsenal ilionekana kuja na wazo la kufanya pressing kuanzia juu na plan yao ilikuwa kama inaenda kufanya kazi maana PSG walikuwa clueless kwenye namna ya kujiondoa kwenye hiyo kadhia. Tatizo lilikuja mlipopata goli la mapema mkajifanya second team mkapaki basi. Ila defence ya psg ilikuwa shaky kwenye moments nyingi sana mngeweza kuzitumia kuwaadhibu.
 
Approach aliyotumia Arteta mi nimeona kama ilikua sahihi, ni mistake tu kidogo iliyofanyika approach ilikua ilipe, wangesema watunishiane misuli Arsenal wangepasuka nyingi tu mana PSG kwa swala la Transition wapo vizur sana aisee.
View attachment 3598305
Hili la kupasuka nyingi nakataa.. tungecheza mpira wetu wa kawaida huenda tumgewafunga ama pia wangeshinda.. wazo la kuweka timu chini hapana kwa kweli..
 
.
 

Attachments

  • FB_IMG_1780227936608.jpg
    FB_IMG_1780227936608.jpg
    207.6 KB · Views: 2
Sahihi, licha ya mfumo mmbovu wa kujilinda na kutegemea setpicess, kuna namna kwenye baadhi ya maeneo wanawakosa watu wa kuamua game ... huwezi kuwa na AM ambaye mda wote ni side way na back passes .... hii ni changamoto pia ....
Mfumo wa Arterta hautoi room attack midfield kuwa huru yeye anataka uwe na mapafu ya mbwa kwa kukaba na hapo hapo uwe unashambulia ndio maana unaona mtu kama saka kiasi fulani ile ability yake ya kushambulia inapungua right yule angekuwa kwenye team kama man city tungeongea mengine
 
Timu yako imemfukuza Rosemary. Imemuajiri kocha anaitwa Alonso, alifukuzwa Madrid.

Pia msimu ujao hampo conference, Europa wala Uefa. Ila mnamtaka Luke Shaw ili aifungue potential ya Garnacho
Chutama tu mkuu maana ushavuliwa nguo, hauna vikombe vya CWC, UEFA CHAMPIONS LEAGUE, EUROPA LEAGUE, CONFERENCE LEAGUE huna hadhi ya kujibu hata huu ujumbe.
 
Licha ya kwamba Arsenal imepigwa but Progress unaiona yaani Kwa maana ya ngazi wanazopanda Hadi kufika juu, msimu huu fainali, uliopita nusu fainali, uliopita tena robo fainali halikdhalika Kwenye ligi pia kuna consistent unaiona, mwanzo walikuwa wanacheza mpira mzuri halafu wanapigwa Tu, siku hizi wanacheza Kikubwa kidogo, usishangae misimu miwili mbele Arsenal akatesa tena, phase aliyofika Arsenal sio ya kujenga timu tena, amefika phase ya kuanza kuswitch baadhi ya vitu vidogo wakati Sisi wengine timu zetu ndo zinajijenga upya
 
Back
Top Bottom