Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Approach aliyotumia Arteta mi nimeona kama ilikua sahihi, ni mistake tu kidogo iliyofanyika approach ilikua ilipe, wangesema watunishiane misuli Arsenal wangepasuka nyingi tu mana PSG kwa swala la Transition wapo vizur sana aisee.
View attachment 3598305
Hili la kupasuka nyingi nakataa.. tungecheza mpira wetu wa kawaida huenda tumgewafunga ama pia wangeshinda.. wazo la kuweka timu chini hapana kwa kweli..
 
.
 

Attachments

  • FB_IMG_1780227936608.jpg
    FB_IMG_1780227936608.jpg
    207.6 KB · Views: 12
Sahihi, licha ya mfumo mmbovu wa kujilinda na kutegemea setpicess, kuna namna kwenye baadhi ya maeneo wanawakosa watu wa kuamua game ... huwezi kuwa na AM ambaye mda wote ni side way na back passes .... hii ni changamoto pia ....
Mfumo wa Arterta hautoi room attack midfield kuwa huru yeye anataka uwe na mapafu ya mbwa kwa kukaba na hapo hapo uwe unashambulia ndio maana unaona mtu kama saka kiasi fulani ile ability yake ya kushambulia inapungua right yule angekuwa kwenye team kama man city tungeongea mengine
 
Timu yako imemfukuza Rosemary. Imemuajiri kocha anaitwa Alonso, alifukuzwa Madrid.

Pia msimu ujao hampo conference, Europa wala Uefa. Ila mnamtaka Luke Shaw ili aifungue potential ya Garnacho
Chutama tu mkuu maana ushavuliwa nguo, hauna vikombe vya CWC, UEFA CHAMPIONS LEAGUE, EUROPA LEAGUE, CONFERENCE LEAGUE huna hadhi ya kujibu hata huu ujumbe.
 
Licha ya kwamba Arsenal imepigwa but Progress unaiona yaani Kwa maana ya ngazi wanazopanda Hadi kufika juu, msimu huu fainali, uliopita nusu fainali, uliopita tena robo fainali halikdhalika Kwenye ligi pia kuna consistent unaiona, mwanzo walikuwa wanacheza mpira mzuri halafu wanapigwa Tu, siku hizi wanacheza Kikubwa kidogo, usishangae misimu miwili mbele Arsenal akatesa tena, phase aliyofika Arsenal sio ya kujenga timu tena, amefika phase ya kuanza kuswitch baadhi ya vitu vidogo wakati Sisi wengine timu zetu ndo zinajijenga upya
 
Jana huwezi kuamini nimeota Arsenal kuchukua UEFA Wazee, for the first time, ngoja tuone.

Na tukichukua hili we're going to win it back to back, I believe next season tutakuwa na finance ya kutosha kuziba Magap with the very best players
Hahahahaja ndoto kama ndoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom