Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,915
- 75,759
Ndiyo sababu nikajibu kwa shabiki asiye wa Arsenal hakuna msimu ambao Arsenal ilikua nzuri. Kwangu mimi Arsenal ya Arteta ambayo ilikua exciting kuangalia ni ya 22/23 na 23/24. Il in terms of efficiency Arsenal ya msimu huu ilikua efficient zaidi.Pole sana mkuu Castr
Kila mtu ana mtizamo wake kulingana na jinsi anavyouchukulia mpira wa miguu. Kwangu mimi kabla ya takwimu za magoli, assist na mataji hazijaanza kutumika kama kielelezo cha ubora wa timu, mwalimu au mchezaji, nilipenda zaidi burudani inayoambatana na utawala wa mchezo.
Nitaendelea tena kusimamia point yangu kwamba Arsena ya msimu huu imepungua ubora kwenye vigezo viwili kama utawala wa mchezo na mpira wa kuburudisha ukilinganisha na arsenal ya misimu miwili nyuma, Lakini simlaumu sana Arteta sababu ya presha ya mataji anayopata toka kwenu mashabiki.
Hua siutaji msimu wa 24/25 kwakua ule msimu hatukua na plan na kombe lolote tuliingia tukiwa hovyo. Hata second position ilikua overachieving.
Kama hiyo ni namna yako ya kushabikia mpira sielewi ilikuaje ukanasa United. M