Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Eze akiingia atasaidia kutoa unyombe katika midfielder

Eze, skel huku Rice awe ana cover wakipanda
 
Nilikua nacheza draft sehemu ukaanza ubishi wa hii game mpaka tukaamua twende kuangalia mechi convyo nzima ya drafti.

Mmoja akasema Arsenal tunapigwa chuma ndani ya dakika tano.

Hata hivyo kama tumeamua kucheza kwa kupaki basi ni sahihi zaidi tukianza kupiga mashuti ya nje ya box.
 
Tetea Kiwigi wa msimu huu unaweza kuzani ni late Mourinho wa Chelsea.
Kwa hilo container alilopaki sidhani kama Psg watarudisha hilo goli moja.
Huu sasa ndio mpira malengo, sio kila msimu unaongoza kwa ball possession halafu unamaliza ligi mikono mitupu.
Mnaona wanaanza kujipendekeza sasa. Bado punda mwingine atakuja kujichekesha soon
 
Naona tunawapa heshima na uhuru mkubwa sana wa kumiliki mpira hawa PSG.

Huu mpira na sisi tuongeze tempo na tuutawale katikati. Tayari naona midfield yetu ni bora kuliko yako mpaka sasa ila tunabidi tupige forward passes na through balls kuelekea maeneo ya kati zaidi, kati ya CBs na FBs wao. Hakimi na Nuno Mendes ni wagumu kwa kuwachenga kule pembeni ila Pacho na Marquinhos ni size yetu zaidi.

Kina Saka na Trossard wawe wanafanya mikimbio ya kuingia ndani ya box kutokea pembeni kama ile chance ya Havertz, na wakutane na quality passes.

Hawa tunaweza kuwapigi goli lingine na kuongeza hata lingine tena.
 
Back
Top Bottom