Dogo hujui kituKwamba ile rafu haikuwa red card? Sawa
Mkuu penalty tulizonyimwa.....yule forward wa washkaji alokuwa anaparamia waxhezaji wetu yte hujaona umekuja kuona hii soft tackle....ama kwli mchawi Hana sababu🤠🤠.....wikiendi ijayo nimeshaandaa uniform zako za kuvaa kwa ajili ya kugawa vinywaji kwa wageni mtani.....ufike eneo la tukio mapema bila kukosaView attachment 3590917
Aibu naona mimi.
Mkamsemee kwa baba yake 😎.View attachment 3590917
Aibu naona mimi.
More than 20 years.Arsenal waleee, njia nyeupe sasa kuinua makwapa baada ya muda kiasi kupita
Nyumbu ni kina nani? Kama unazungumzia manjesta tuna makombe 20 ndani ya kabatiNawazoom fans wa cheltaco View attachment 3590925nyumbu hana EPL ukame uendeleee
Wamesota sanaMore than 20 years.
Na iwe hivyo.Man city anakwenda kudondosha alama kwa Bournemouth. Leo Leo tunatangaza ubingwa.