Wadau wa Gunners hongereni sana hasa wale die hard fans kama
Castr ,
arsenal2004 mkorea Will Jr na mwanangu
HENRY14 pamoja na wengine wote ambao hamkuionea aibu timu yenu hata ilipokuwa inapitia nyakati ngumu zaidi.
Kama mnavyojua furaha ya mpira inakuja unapokuwa na mnyonge zaidi yako, hivyo kwa fans wa timu pinzani. arsenal ilikuwa timu inayofurahisha kutaniwa kutokana na rekodi zake kwenye mbio za mataji makubwa.
Kusema kweli tumehuzunika sana kwa jana kuchukua moja ya mataji makubwa ila hatuna namna tarehe 30 tutakuwa dhidi yenu ili tuendeleze utani wetu wa jadi maana tofauti na hapo pataboa sana humu na mtarudi kuwa mateka wa
hamis77 kabla
Flano hajaja kuwaokoa na mbwembwe zake za inverted pressing ambazo hazikuzaa matunda hadi mlivyorudi kwenye LOW BLOCK ila mkaibatiza jina la kiutaalam kuwa ni HARAM FOOTBALL