min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 51,583
- 144,492
Situmii uchafu unaoitwa konyagi , pombe zangu utamaliza kamshahara chako bwasheeNgoja tumchukulie konyagi kwanza
Situmii uchafu unaoitwa konyagi , pombe zangu utamaliza kamshahara chako bwasheeNgoja tumchukulie konyagi kwanza
Anywe mbege atapata nafuu.Ngoja tumchukulie konyagi kwanza
Fee bei gani?.. nataka peleka mwanangu pale form nyoyaWapi? 😹
Isiwe ghetto tu!!
Feza school fees imepanda sitaki majukumu..!! 🤣
Shabiki mandazi wewe unaogopaje kelele za manyumbu wa manjesta? 😹Wala si shabiki mandazi 😁, nilikuwa najificha kwa sababu niliogopa kupelekwa mirembe. Siunajua tena nimezungukwa na mashabiki wa manyumbu na livakuku!
Majina siku hizi yamebadilika, si yale ya mwaka 47.Hayo majina yenu gen z sijafahamu
Hahaha matimu ya msimu huu yote mabovu hongereni kwa kuokota ubingwaMajina siku hizi yamebadilika, si yale ya mwaka 47.
Arteta naye alikuwa ananikera sana. Sema safari hii kanifurahisha. Sasa hivi nitakuwa humu kila muda.Shabiki mandazi wewe unaogopaje kelele za manyumbu wa manjesta? 😹
Bwashee nipe tu hongera ya msimu ujao tumalizane maana ni mwendo wa makombe tu!Hahaha matimu ya msimu huu yote mabovu hongereni kwa kuokota ubingwa
Arsenal watatawala tu hapo,pep kuondoka,hao wengine February tu chaliHahaha matimu ya msimu huu yote mabovu hongereni kwa kuokota ubingwa
SawaArsenal watatawala tu hapo,pep kuondoka,hao wengine February tu chali
Maskani yangu ni kigamboni.Wewe mjuba wa kutoka wapi tena? 😹😹
Ukisema hivyo mtu kanikamatia sipendi, yaani mimi ni yule mwali kigego km Arsenal sijali watu wanasema nini nafocus tu!! 😹😹
Wewe sema uko wapi nitume mtu afate..!!
Sawa mwenyekiti wa Baraza la KiswahiliHiyo misenge misenge isiyojua kuandika kiswahili ipo mingi kweli,sijui shule hufunzwa nini siku hizi!?.. maana ramani ya nchi,bara,dunia haijui na kiswahili haijui
Mi najua ya nursery mzigo unasoma 6,800,000 na soon kana panda grade fee tofauti..!!Fee bei gani?.. nataka peleka mwanangu pale form nyoya
Kigamboni kubwa, upo sehemu gani?Maskani yangu ni kigamboni.
KisotaKigamboni kubwa, upo sehemu gani?
Binti mbona makasiriko?Hiyo misenge misenge isiyojua kuandika kiswahili ipo mingi kweli,sijui shule hufunzwa nini siku hizi!?.. maana ramani ya nchi,bara,dunia haijui na kiswahili haijui
Huyu hana agenda yake tu, na hapa amekuja kutest watu watasemajeBinti mbona makasiriko?
View attachment 3591980
Nampa oda kijana wangu😂😂😂😂😹😹😹 Nimeteseka sana acha nifurahi..!!
Weeh usije ukaitia mchanga cake mana liverkuku hamjapenda kabisaaa..!!