Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal ni timu inochukiwa sana na kuonewa wivu na mashabiki wa timu karibu zote pale UK.

Lakini safari hii Arteta has just delivered the trophy.

Arsenal itakuwa timu tajiri zaidi na khasa wakifanikiwa kutwaa CL.

COYGs
 
Haikuwa rahisi hongereni sana washika mitutu wenzangu, kama shabiki wa kweli tumepitia mengi sana mpaka kupata ubingwa.

Ni wazi kabisa kuna muda tulikwazika na kuikatia timu yetu tamaa maumivu yalikuwa makali sana hasa baada yakupoteza baadhi ya michezo muhimu ambayo ilipunguza gap la points dhidi ya mshindani wetu man city. Hatimae yote yamepita kikosi chetu kimetupa kile tulichokitamani kwa miaka mingi.

We deserve it watake wasitake. Tukutane next season.
 
Congratulations majirani....

chukueni na UCL sasa, mtamuweza Luis Enrique? Kwa kile kiungo na forward line? Sema nini ? Hata mkichukua UCL hamuwezi kutoa B'dior make huu mwaka kuna world cup ..... mara nyingi wanaangalia alofanya vzr kwenye hio tournament..... ni mwendo wa kuwasagia kunguni tu
 
Asenoo wote qumamao! Mmekaa miaka 22 bila kombe, jana mmeshinda kombe kwa ndondokela mnakuja hapa kutupayukia makelele yenu. Nyie wehu nini? Je, mngeshinda hilo kombe baada ya miaka 10 si mngetembea barabarani bila nguo? Sijawahi kuona mashabiki wenye akili za kiuendawazimu kama hawa wa Asenoo. Ni shida.
 
Hatimaye miaka 20 tangu huu uzi uanzishwe mwaka 2006 leo 2026 mashabiki wa Arsenal wanafurahia kubeba EPL hapa JF

Hongereni sana the Gunners miaka 22 sio poa

R.I.P fans wote wa Arsenal waliosubiria miaka zaidi ya 20 bila kuona wakibeba EPL
Tangu Aseno wabebe kombe mara ya mwisho mashabiki wengu wanaopanua midomo humu ndani walikuwa hawajazaliwa. Wale invisibles waliochukua kombe mwaka 2004, wanawasikia tu kwenye vitabu vya historia ya soka.
 
Back
Top Bottom