Nakubali mkuuOngereni sana mashabiki wa Arsenal kwa ubingwa wa 2025/2026
️Chama letu limetupitisha kwenye safari ngumu ya kiakili na kihisia. Kuna kipindi unafurahi, Kuna kipindi unakuwa na hasira unaacha kabisa kuangalia Mpira. Mwisho wa siku tunachukua kikombe chetu
Congratulations to all the Gunners

Vipi bado ni ndoto nyevu.Hii ni ndoto nyevu.
Bwana mdgo rudi nyumbani....hiko kigenge unqchoshqbikiq hakitakufikisha kokote....wiki ijayo karibu sana nyumbani tule ubwabwa na utubu kwmba hutaama tenaShabiki yupi huyo kaka😄😄
Naam ulamaa
Nusu ya mahahara wa gyokeres apewe yeyeAmani iliyopo humu ni kwa hisani ya Jr. Kroupi
Unataka kusemaje dogo janja?Arsenyeto mnachachawa balaa, ila ni halali yenu 22yrs sio mchezo, mtoto kazaliwa na amemaliza chuo kikuu. Lol
![]()
Na badoAisee! mungu yupo upande wenu mafala nyie, mchukue tu hili. UEFA hapana aisee, eeh mungu hii dunia itakua chungu
Kwahiyo EPL ni kwa ajili ya watoto?!UEFA sio kwa ajili ya watoto , tunza comment yangu
Tangu Aseno wabebe kombe mara ya mwisho mashabiki wengu wanaopanua midomo humu ndani walikuwa hawajazaliwa. Wale invisibles waliochukua kombe mwaka 2004, wanawasikia tu kwenye vitabu vya historia ya soka.Hatimaye miaka 20 tangu huu uzi uanzishwe mwaka 2006 leo 2026 mashabiki wa Arsenal wanafurahia kubeba EPL hapa JF
Hongereni sana the Gunners miaka 22 sio poa
R.I.P fans wote wa Arsenal waliosubiria miaka zaidi ya 20 bila kuona wakibeba EPL