Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asenoo wote qumamao! Mmekaa miaka 22 bila kombe, jana mmeshinda kombe kwa ndondokela mnakuja hapa kutupayukia makelele yenu. Nyie wehu nini? Je, mngeshinda hilo kombe baada ya miaka 10 si mngetembea barabarani bila nguo? Sijawahi kuona mashabiki wenye akili za kiuendawazimu kama hawa wa Asenoo. Ni shida.
It was arsenal against the world 🌎 and they won the battle. Hakuna namna nyingine yoyote.
 
Subira huvuta heri wana Gunners wenzangu

Hii safari haikuwa rahisi hata kidogo, tumeambiwa maneno mengi ya kutukatisha tamaa

Ambayo kwa sehemu kubwa yalichangia baadhi ya waliokuwa mashabiki wenzetu wa Arsenal kuhamia timu nyingine za Man City, Chelsea hata wengine kudiriki kwenda Newcastle utd

Kocha wetu amejitahidi sana kurudisha morale ya timu yeye pamoja na benchi lake la ufundi, katika miaka yake 8 akiwa kama Kocha wa timu ya Arsenal, tumeona Mikel Arteta akitumia mbinu mbalimbali kuanzia kucheza mpira wa kuburudisha wa Pep Guardiola hadi kuamua kucheza haram football wa José Mourinho

Iwapo tutafanya maboresho ya kikosi chetu hasa eneo la Kiungo cha Ukabaji na ushambuliaji, tukapata kiungo mshambuliaji mwenye jicho la mwewe kama la Mesut Özil ama Cesc Fàbregas nina amini tutaenda kuwa tishio kwa miaka 4 hadi 6 ijjayo, kwani timu yetu imesheheni wachezaji wengi vijana

Hongereni kwa kila mmoja wetu humu, the waiting is over now 💪

COYGs, Let's celebrate 🥂
 
One more to go. PSG.

Tuna defence nzuri zaidi yao.

Dembele kaumia.

Kipa wa PSG sio mzuri ndio maana hajaitwa timu ya taifa Ufaransa.

Tumechukua EPL mapema tutapata muda mwingi wa kujiandaa na game ya fainali.

Wachezaji wa Arsenal baada ya kushinda EPL iliyokuwa na pressure kubwa kwao, sasa wanaenda fainali ya CL wakiwa wanajiamini zaidi.

Hata kama PSG wana striking force nzuri, but equally Arsenal tuna defence nzuri pia.

Good defence win you titles.
 
Subira huvuta heri wana Gunners wenzangu

Hii safari haikuwa rahisi hata kidogo, tumeambiwa maneno mengi ya kutukatisha tamaa

Ambayo kwa sehemu kubwa yalichangia baadhi ya waliokuwa mashabiki wenzetu wa Arsenal kuhamia timu nyingine za Man City, Chelsea hata wengine kudiriki kwenda Newcastle utd

Kocha wetu amejitahidi sana kurudisha morale ya timu yeye pamoja na benchi lake la ufundi, katika miaka yake 8 akiwa kama Kocha wa timu ya Arsenal, tumeona Mikel Arteta akitumia mbinu mbalimbali kuanzia kucheza mpira wa kuburudisha wa Pep Guardiola hadi kuamua kucheza haram football wa José Mourinho

Iwapo tutafanya maboresho ya kikosi chetu hasa eneo la Kiungo cha Ukabaji na ushambuliaji, tukapata kiungo mshambuliaji mwenye jicho la mwewe kama la Mesut Özil ama Cesc Fàbregas nina amini tutaenda kuwa tishio kwa miaka 4 hadi 6 ijjayo, kwani timu yetu imesheheni wachezaji wengi vijana

Hongereni kwa kila mmoja wetu humu, the waiting is over now 💪

COYGs, Let's celebrate 🥂
Yes, Odegaard anatakiwa apate mbadala.
 
Congratulations majirani....

chukueni na UCL sasa, mtamuweza Luis Enrique? Kwa kile kiungo na forward line? Sema nini ? Hata mkichukua UCL hamuwezi kutoa B'dior make huu mwaka kuna world cup ..... mara nyingi wanaangalia alofanya vzr kwenye hio tournament..... ni mwendo wa kuwasagia kunguni tu
England itachukua world cup
 
Yes, Odegaard anatakiwa apate mbadala.
Kabisa, jamaa amekuwa mtu wa kutoa pasi za nyuma badala ya kupeleka timu mbele

Sio kiungo mbunifu

Angalia miaka ya nyuma, akina Emmanuel Adebayo, pamoja na ubutu wake kwenye umaliziaji, lakini kwa zile pasi za akina Cesc Fàbregas alikuwa hakosi magoli 17 ama 20

Saivi tuna timu nzuri, yaani tukipata namba 6 mzuri na 10, basi tunaenda kuchukua tena EPL mwakani

Si mmeona Pep ameshatupa taulo, hii ni nafasi ya kurudisha makali ya Arsenal yetu
 
One more to go. PSG.



Tuna defence nzuri zaidi yao.



Dembele kaumia.



Kipa wa PSG sio mzuri ndio maana hajaitwa timu ya taifa Ufaransa.



Tumechukua EPL mapema tutapata muda mwingi wa kujiandaa na game ya fainali.



Wachezaji wa Arsenal baada ya kushinda EPL iliyokuwa na pressure kubwa kwao, sasa wanaenda fainali ya CL wakiwa wanajiamini zaidi.



Hata kama PSG wana striking force nzuri, but equally Arsenal tuna defence nzuri pia.



Good d

Dembele atakuwa ready kwa final.... mtaliwa kiboga ... kvara, doue, dembele,! Kiungo neves, vitinha, Ruiz
efence win you titles.
 
Asenoo wote qumamao! Mmekaa miaka 22 bila kombe, jana mmeshinda kombe kwa ndondokela mnakuja hapa kutupayukia makelele yenu. Nyie wehu nini? Je, mngeshinda hilo kombe baada ya miaka 10 si mngetembea barabarani bila nguo? Sijawahi kuona mashabiki wenye akili za kiuendawazimu kama hawa wa Asenoo. Ni shida.
Acha kutupigia kelele we Mwehu
 
Subira huvuta heri wana Gunners wenzangu

Hii safari haikuwa rahisi hata kidogo, tumeambiwa maneno mengi ya kutukatisha tamaa

Ambayo kwa sehemu kubwa yalichangia baadhi ya waliokuwa mashabiki wenzetu wa Arsenal kuhamia timu nyingine za Man City, Chelsea hata wengine kudiriki kwenda Newcastle utd

Kocha wetu amejitahidi sana kurudisha morale ya timu yeye pamoja na benchi lake la ufundi, katika miaka yake 8 akiwa kama Kocha wa timu ya Arsenal, tumeona Mikel Arteta akitumia mbinu mbalimbali kuanzia kucheza mpira wa kuburudisha wa Pep Guardiola hadi kuamua kucheza haram football wa José Mourinho

Iwapo tutafanya maboresho ya kikosi chetu hasa eneo la Kiungo cha Ukabaji na ushambuliaji, tukapata kiungo mshambuliaji mwenye jicho la mwewe kama la Mesut Özil ama Cesc Fàbregas nina amini tutaenda kuwa tishio kwa miaka 4 hadi 6 ijjayo, kwani timu yetu imesheheni wachezaji wengi vijana

Hongereni kwa kila mmoja wetu humu, the waiting is over now 💪

COYGs, Let's celebrate 🥂
Kuna mwaka Fulani almanusura arsenal FC itwae kombe ila ikapotezaaa..

Kuna AHADI yangu kubwa nitachinja mbuzii kwa ajili ya celebration 🎊 maana miaka 22 sio mchezooo..

Nime ikumbuka arsenal ya ule msimu ikiitwa invincible 11
Maana arsenal ya 2003/2004 ilikua na kina jens Lehman ,David benkamp, Antonio Reyes, ovamars, Henry, wiltod, kolo toure, Fred ljumbeg, Peres, Lauren, sol cambel .
(Invincible 11)
 
Kabisa, jamaa amekuwa mtu wa kutoa pasi za nyuma badala ya kupeleka timu mbele

Sio kiungo mbunifu

Angalia miaka ya nyuma, akina Emmanuel Adebayo, pamoja na ubutu wake kwenye umaliziaji, lakini kwa zile pasi za akina Cesc Fàbregas alikuwa hakosi magoli 17 ama 20

Saivi tuna timu nzuri, yaani tukipata namba 6 mzuri na 10, basi tunaenda kuchukua tena EPL mwakani

Si mmeona Pep ameshatupa taulo, hii ni nafasi ya kurudisha makali ya Arsenal yetu
Pia amekuwa majeruhi muda mwingi sana, kitambaa cha unahodha apewe Rice.
 
Dembele atakuwa ready kwa final.... mtaliwa kiboga ... kvara, doue, dembele,! Kiungo neves, vitinha, Ruiz
PSG hawajawahi kutana na timu ngumu kama Arsenal kwenye UEFA.

Hata wao wanajua kazi wanayo, ndio maana wameshaanza mazoezi ya kukaba kona.

Tutawatibua hawatacheza mpira wao waliouzoea.

Nawasubiri wale.
 
Back
Top Bottom