Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kiungo ya ball imeganda hewani..
images (5).jpeg
 
Kuna mechi moja tulicheza hovyo tukapoteza.

Arteta akasema analiona hilo na wanalifanyia kazi ndani kwa ndani.

Wachezaji wakasema na wenyewe wameona wanavyokosea hivyo wamewekana chini kuambiana ukweli.

Hakuna mabadiliko ta chochote kile isipokua ni mwendelezo wa upuuzi ule ule
Alikua anasubiri ulete energy drinks nasikia wewe ndo umesababisha umeingia mitini na energy drinks 😀
 
Nafikiri hii ni moja ya mechi tumecheza hovyo sana msimu huu...

Sidhani kama kuna muda tulipiga pasi hata 5 sahihi za kwenda mbele...timu ilikosa ideas za kucheza kabisa.

Game ya City sidhani kama tutashinda kwa hali hii...tupo down kwelikweli labda yatokee maajabu.
Nitajie match 5 ambayo arsenal alicheza vizurrii.
Nyinyi ni mnategemea set pieces ila mpira hamna kabisa zaidi ya possession ya back passes.
Midfielders yupo zubimendi ,rice na Kai ni yupi anaweza aka dribble na kumpita hata mchezaji mmoja pinzani then akatengeneza nafasi?
Last games 10 za arsenal zinatofauti gan na game ya leo?

Team kuanzia dakika ya kwanza ina defence unajiuliza hivi arsenal fans mna akili kweli nyinyi mkijiita mabingwa.
 
Arteta yupo busy kuwashikisha wachezaji pens na leo kawafungia ma tv makubwa uwanjani.

Kocha hajui hata tatizo la team yake ni Nini? Ma tv na pen zitasaidia vipi zubimendi kupiga japo pass 5 za mbele au kudribble ampite mtu hata mmoja .
Tatizo la arsenal ni midfielders na kocha mwenyewe ,middo zote wavunja kuni mnategemea kubeba EPL
NARUDIA ARSENAL HABEBI KOMBE LOLOTE MSIMU HUU.
 
Hizo ni figisu tu za board ya Arsenal zikiongozwa na Arteta mwenyewe.

Wacheza hawataki kupoteza nguvu kwa mechi zizizo na umuhimu,wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa.
Wachezaji wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa😀😀😀 .
Nyinyi Huwa mpo katika sayari ya kufikirika.
 
Back
Top Bottom