Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,215
- 18,956
Nyumbu kwenye moja na mbili 😅Arsenyau naomba kuwakumbusha muweke takwimu zenu sawa, mpaka leo hii tarehe 11/04/2026 Arsenyo mmebakiza mechi 6 kumaliza ligi na mnaongoza kwa points 9.
Nyumbu kwenye moja na mbili 😅Arsenyau naomba kuwakumbusha muweke takwimu zenu sawa, mpaka leo hii tarehe 11/04/2026 Arsenyo mmebakiza mechi 6 kumaliza ligi na mnaongoza kwa points 9.
Huyu Zubimendi alisema Slot kichwa mviringo hajui mpira sikukataa, ila na yeye ni kundi hilo hilo tu.Zubimendi master tactician tuanze kumjadili lini uwezo wake...... ?
Hamna mchezaji humo ........ kichwa box 😃Huyu Zubimendi alisema Slot kichwa mviringo hajui mpira sikukataa, ila na yeye ni kundi hilo hilo tu.
🤣🤣🤣🤣🤣Kiungo ya ball imeganda hewani..
View attachment 3571012
Namna pekee ya kumzuia City asichukue ubingwa ni kumweka ndani na kumpa kesi ya uhaini.Bado Arsenal itatwaa EPL Cup msimu huu
Alikua anasubiri ulete energy drinks nasikia wewe ndo umesababisha umeingia mitini na energy drinks 😀Kuna mechi moja tulicheza hovyo tukapoteza.
Arteta akasema analiona hilo na wanalifanyia kazi ndani kwa ndani.
Wachezaji wakasema na wenyewe wameona wanavyokosea hivyo wamewekana chini kuambiana ukweli.
Hakuna mabadiliko ta chochote kile isipokua ni mwendelezo wa upuuzi ule ule
Nitajie match 5 ambayo arsenal alicheza vizurrii.Nafikiri hii ni moja ya mechi tumecheza hovyo sana msimu huu...
Sidhani kama kuna muda tulipiga pasi hata 5 sahihi za kwenda mbele...timu ilikosa ideas za kucheza kabisa.
Game ya City sidhani kama tutashinda kwa hali hii...tupo down kwelikweli labda yatokee maajabu.
Wachezaji wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa😀😀😀 .Hizo ni figisu tu za board ya Arsenal zikiongozwa na Arteta mwenyewe.
Wacheza hawataki kupoteza nguvu kwa mechi zizizo na umuhimu,wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa.
Another false hopePlayers who have withdrawn from international duties so far
Pietro Hincapie
Bukayo Saka
Leandro Trossard
Martin Ødegaard
Declan Rice
Noni Madueke
Martin Zubimendi
Eberechi Eze
Jurien Timber
Arteta & his boys must be cooking something🤔