Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 12,264
- 33,878
Dah.! Mkeka wangu
Usiseme rice, Sema mchele 😂Rice au ben white
🥰🥰🥰Aterta sio kocha.


Arsenyo inachekesha kama sio timu yako.
Sasa ninaelewa mnachopitia kubababakeVumilieni 😂
Watu wamelomba kavuWazee wa kutetemeka dakika za jioni.
Marehemu haamini kama kweli amekufa.
Hawa jamaa walianza kunenepeana kijinga kisa ndoto za quadrapleHahahaha
Kwa msimu huu Arsenal atachukua ubingwa.
Msiwape pressure mashabiki wa Arsenal.
Man city mwenyewe ni tia maji tu
Nafikiri hii ni moja ya mechi tumecheza hovyo sana msimu huu...Kuna mechi moja tulicheza hovyo tukapoteza.
Arteta akasema analiona hilo na wanalifanyia kazi ndani kwa ndani.
Wachezaji wakasema na wenyewe wameona wanavyokosea hivyo wamewekana chini kuambiana ukweli.
Hakuna mabadiliko ta chochote kile isipokua ni mwendelezo wa upuuzi ule ule
Haka kajamaa si kapo kiwanja?😁
Ndio maana mnaitwa machizi nyie mashabiki wa hii timu...Yaani unashindwa kumfunga Southampton unataka umfunge Man City?Nafikiri hii ni moja ya mechi tumecheza hovyo sana msimu huu...
Sidhani kama kuna muda tulipiga pasi hata 5 sahihi za kwenda mbele...timu ilikosa ideas za kucheza kabisa.
Game ya City sidhani kama tutashinda kwa hali hii...tupo down kwelikweli labda yatokee maajabu.
Kwamba msimu Jana ulikuwa Bora kwake kuliko huu ila akatoka patupu.Msimu mbovu kabisa kuwahi kutokea kwa Pep tokea aanze kuinoa City lakini anaenda kuumaliza na treble. View attachment 3570997