Hakuna kitu Chelsea haijafanya ili Arsenal wapate makombe. Tumewalea mpaka tukachoka — lakini bado wanarudi nyumbani mikono mitupu kama watoto wa mtaani huku wakiturudishia matusi juu badala ya shukurani 📚
▪️ Chelsea ilishinda Champions League na Petr Čech… Arsenal wakamchukua wakidhani atawaletea UCL kama delivery ya Pizza 📦
▪️ Chelsea ilishinda Europa League na Willian… Arsenal wakamchukua, akawasha moto wa
backpasses tu 🔥
▪️ Chelsea ilishinda Premier League na David Luiz… Arsenal wakamchukua, akawapa mabao ya kujifunga kama binti mkaidi anayezalishwa kila mwaka 🤣
▪️ Chelsea ilishinda Champions League na Jorginho… Arsenal wakamchukua, wakafikiri “mfumo umeiva” kumbe ni
penalty hop tu 🦗
▪️ Chelsea ilishinda Super Cup na Kepa… Arsenal wakamchukua, sasa wanamuita “backup ya backup” mbona kacheza hadi robo fainal ya FA akaizamisha boti nzima?🧤
▪️ Chelsea ilishinda Club World Cup na Noni Madueke… Arsenal wakamchukua, lakini bado hawajui wamweke wapi 📍
▪️ Chelsea ilishinda Intercontinental Cup na Kai Havertz… Arsenal wakamchukua, wakamgeuza kuwa
target man wa maombi 🙏
Kwa kweli tumefanya kila kitu kwa ajili ya jirani yetu, lakini Arsenal bado ni timu ya kuumiza kichwa — kama WiFi ya bure ya stendi ya mabasi 🤦♂️💀😂
View attachment 3568103