Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,436
- 19,465
We will be there in May
Scholes na wenzake huwa wanasumbiliwa tu na wivu, usidhani Wana lolote la maana ambalo linaweza Fanya watu wawasikilize.Paul Scoles, juzi kati alinukuliwa akisema kama Arsenal watatwaa ubingwa Epl this season itakuwa the worst team ever kufanya hivo
Hapa alikuwa na maana kwamba sio kwamba nyie ni wazuri sana (master class) ni vile tu wenzenu wamejichokea ... the likes of city, liver, Chelsea, utd , spurs , Newcastle n k......
Soton tu wako championship huko wamewalomba, wachezaji wenu muhimu walikuwepo/walicheza .... saliba, Gabriel M, Ode, Victor, kai kiazi, Jesus, calafior, skelly , Zubimendi n.k !
Quadruple? Mtaisikilizia kwenye bomba
Yaani nyie ni mazwazwa!! Kwa hiyo Scholes ana wivu na Arsenal??! Embu tupe sababu moja tu.Scholes na wenzake huwa wanasumbiliwa tu na wivu, usidhani Wana lolote la maana ambalo linaweza Fanya watu wawasikilize.
Anasema Arsenal itakuwa the worst team kushinda EPL wakati Manchester United iliwahi shinda league kwa point 75 pekee
Arteta akiamua kukusahau anakusahau kweli.. sijui kwanini anamfanyia hivi ben,, kuna game unaona hapa anatakiwa aingie white, anafanya yake.White kukosa game time ni tatizo lililoonekana dhidi ya Soton na leo hapa dhidi ya CP liko wazi
Lilipigwa boli, au mateke tu?Viva arsenal
Raya ni world class goalkeeper, katu save sana.Lilipigwa boli, au mateke tu?
Ukishaanza na kusena raya kipa mzuri, katusave sana inanipa mashaka, ina maana tulipelekewa moto?Raya ni world class goalkeeper, katu save sana.
Mpira mzuri kaka
50/50 game, hapa class ya wachezaji ndio ili amua mechi.Ukishaanza na kusena raya kipa mzuri, katusave sana inanipa mashaka, ina maana tulipelekewa moto?
Raya yupo kwenye ile list ya wachezaji wangu wansostahili kuwepo arsenal