Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,436
- 19,465
Hizo ni figisu tu za board ya Arsenal zikiongozwa na Arteta mwenyewe.Hili Wimbi la majeruhi kwenye mechi za kirafiki mnaekti ili mrudi klabuni kupambania mechi za mwisho mwisho?
Siamini, kuna michezo michafu inafanyika kuwalinda nyie mbweha
Wacheza hawataki kupoteza nguvu kwa mechi zizizo na umuhimu,wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa.