Mmeanza kutubu eenh. Safi sanaLabla EPL tuu Ndo mtaweza kuchomoka nalo mana wabovu wapo wengi EPL, ila huko pengine andikeni maumivu
Tutaelewana tuHata kama mtabeba EPL dakika za lala salama, na presha juu maana sio kwa tabu mnazopata kenge nyie
Zingatia niliposema, kwakuwa Timu nyingi n mbovu, hvy sio kwa ubora wenuMmeanza kutubu eenh. Safi sana
#Arsenal NDOO
Au sio, pindisheni tu maneno ila NDOO tunabeba safari hiiZingatia niliposema, kwakuwa Timu nyingi n mbovu, hvy sio kwa ubora wenu
Hata huko EPL mnaweza kulizwa vilevile, kwan misimu iliyopita ilikuwajeAu sio, pindisheni tu maneno ila NDOO tunabeba safari hii
Uefa huko ni 50/50
FA lolote linaweza kutokea
Nasema hivii nyie mkitoka hata na kikombe cha kahawa niitwe jibwa koko.Au sio, pindisheni tu maneno ila NDOO tunabeba safari hii
Uefa huko ni 50/50
FA lolote linaweza kutokea
Indeed that was really a poor performance
Tunataka kauli kama hizo. safi sana endelea na hizo kauliHata huko EPL mnaweza kulizwa vilevile, kwan misimu iliyopita ilikuwaje
Full meaning of ARTETA
A: Arsenal , R: Running T: To , E: End , T: Trophyless , A: Again 😂😅😁
Labda abebe mimba ya Epielo.Huyu epl anabeba mkuu
Ni Asset, yeye na wenzake wameiwezesha Arsenal kushika nafasi 2 Epl mara 2 mtawalia na mwaka huu Wanapoenda kuchukua Ubingwa Epl na kucheza fainali UEFA ndo utakuwa uthibitisho kamili kwamba Hela Yao Arsenal imerudi...Kwa miaka mitatu sasa sijapewa jibu la swali langu.
Je usajili wa Declan Rice ni asset au Liability Je ???
Sasa kwanini hio Epl wasichukue hao Man city au Chelsea waliowazima na sio viwete km Arsenal na Burnley??🤪🤣Bado UEFA 😂
EPL tunaweza kuwaachia mana timu nyingi mbovu
Kwa hiyo kushika nafasi ya pili nayo nimafanikio???Ni Asset, yeye na wenzake wameiwezesha Arsenal kushika nafasi 2 Epl mara 2 mtawalia na mwaka huu Wanapoenda kuchukua Ubingwa Epl na kucheza fainali UEFA ndo utakuwa uthibitisho kamili kwamba Hela Yao Arsenal imerudi...
Sasa, swali Hilo Hilo, jiulize,sisi Liverpool Kwa Florian "Virtz" na Alexander Isak pesa yetu itarud kweli??? Na tusipocheza UEFA msimu ujao ndo kabisa....
So tuache mihemko Kwa Arsenal kisa Kukosa Carabao, kumbuka Januari hii Guadiola alifanya tena usajili, pesa kwake sio tatizo Kwa waarabu.. ni vile tu na yeye Majeruhi kadhaa na Mbinu zake za soka zishaanza kufeli, watu walishakaa maabara.