Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Fungu la kukosa nyie, wapuuz kabisa ! Mnamtegemea victor Goyc jitu hata akili halina ndio awape ubingwa ? Kule farmers league hata golf 100 per season atafunga ila sio eipielo......

Hivi saliba na Gabriel beki zenu wako fit,? hizi ndo habari napenda kusikia... ni mwendo wa kuwasagia kunguni tu na kuwamwagia upupu machoni
 
Msioipenda Arsenal shangilien vile mnavyojua lakini EPL tunabeba na city pale kwake hatufungi.

Tunzeni hii risiti.

City kwasasa hana uwezo wakutufunga mara 2 mfululizo.

Litakufa jitu pale Etihad.

Kaifunga timu isiyo na Eze + Raya tutafunga mdundo unaomfaa pale kwake.

Arteta aache tu ufala wake wakujaribu mambo kwenye mechi serious.

All in all jana tumekosa nafasi nyingi za wazi na Gyokeres alistahili kutoka abaki Kai pale mbele akae Tros aingie Martinel kushoto kule.Pangenoga.

Lakin kwa ujinga wake anampeleka Saka kati yaani mara 100 angemuingiza Dowman nikajua kaamua tu kujaribu mambo kwa ufasaha.
Eti tulikosa nafasi nyingi😀😀😀😀😀😀😀😀
Nafasi ipi??
Mpka kina Cherki wanapata nafasi ya kucheza show fotball uwanjani.
 
Labla EPL tuu Ndo mtaweza kuchomoka nalo mana wabovu wapo wengi EPL, ila huko pengine andikeni maumivu
 
Msioipenda Arsenal shangilien vile mnavyojua lakini EPL tunabeba na city pale kwake hatufungi.

Tunzeni hii risiti.

City kwasasa hana uwezo wakutufunga mara 2 mfululizo.

Litakufa jitu pale Etihad.

Kaifunga timu isiyo na Eze + Raya tutafunga mdundo unaomfaa pale kwake.

Arteta aache tu ufala wake wakujaribu mambo kwenye mechi serious.

All in all jana tumekosa nafasi nyingi za wazi na Gyokeres alistahili kutoka abaki Kai pale mbele akae Tros aingie Martinel kushoto kule.Pangenoga.

Lakin kwa ujinga wake anampeleka Saka kati yaani mara 100 angemuingiza Dowman nikajua kaamua tu kujaribu mambo kwa ufasaha.
Hizi kelele tushazizoea
 
Msioipenda Arsenal shangilien vile mnavyojua lakini EPL tunabeba na city pale kwake hatufungi.

Tunzeni hii risiti.

City kwasasa hana uwezo wakutufunga mara 2 mfululizo.

Litakufa jitu pale Etihad.

Kaifunga timu isiyo na Eze + Raya tutafunga mdundo unaomfaa pale kwake.

Arteta aache tu ufala wake wakujaribu mambo kwenye mechi serious.

All in all jana tumekosa nafasi nyingi za wazi na Gyokeres alistahili kutoka abaki Kai pale mbele akae Tros aingie Martinel kushoto kule.Pangenoga.

Lakin kwa ujinga wake anampeleka Saka kati yaani mara 100 angemuingiza Dowman nikajua kaamua tu kujaribu mambo kwa ufasaha.
Kwani kombe la carabao si mmekosa wenyewe sasa nani anawa chukia?😀😀😀
 
Bado tutarudi hapo hapo Wembley kwenye fainali ya FA dhidi ya hao City and we shall proof them wrong.

We will be there.
 
Back
Top Bottom