kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,118
- 15,682
Fungu la kukosa nyie, wapuuz kabisa ! Mnamtegemea victor Goyc jitu hata akili halina ndio awape ubingwa ? Kule farmers league hata golf 100 per season atafunga ila sio eipielo......
Hivi saliba na Gabriel beki zenu wako fit,? hizi ndo habari napenda kusikia... ni mwendo wa kuwasagia kunguni tu na kuwamwagia upupu machoni
Hivi saliba na Gabriel beki zenu wako fit,? hizi ndo habari napenda kusikia... ni mwendo wa kuwasagia kunguni tu na kuwamwagia upupu machoni