Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

NYIE WAJINGA, MPO? KENGE NYIE
Screenshot_20260411_162501_FotMob.jpg
 
Kuna mechi moja tulicheza hovyo tukapoteza.

Arteta akasema analiona hilo na wanalifanyia kazi ndani kwa ndani.

Wachezaji wakasema na wenyewe wameona wanavyokosea hivyo wamewekana chini kuambiana ukweli.

Hakuna mabadiliko ta chochote kile isipokua ni mwendelezo wa upuuzi ule ule
 
Kuna mechi moja tulicheza hovyo tukapoteza.

Arteta akasema analiona hilo na wanalifanyia kazi ndani kwa ndani.

Wachezaji wakasema na wenyewe wameona wanavyokosea hivyo wamewekana chini kuambiana ukweli.

Hakuna mabadiliko ta chochote kile isipokua ni mwendelezo wa upuuzi ule ule
Vumilieni 😂
 
Back
Top Bottom