Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna ile picha jamaa wa arsenal Rice anaruka juu ule muda wa kuingia uwanjani mwenye nayo ailete..
images (5).jpeg
 
Kuna mechi moja tulicheza hovyo tukapoteza.

Arteta akasema analiona hilo na wanalifanyia kazi ndani kwa ndani.

Wachezaji wakasema na wenyewe wameona wanavyokosea hivyo wamewekana chini kuambiana ukweli.

Hakuna mabadiliko ta chochote kile isipokua ni mwendelezo wa upuuzi ule ule
 
Kuna mechi moja tulicheza hovyo tukapoteza.

Arteta akasema analiona hilo na wanalifanyia kazi ndani kwa ndani.

Wachezaji wakasema na wenyewe wameona wanavyokosea hivyo wamewekana chini kuambiana ukweli.

Hakuna mabadiliko ta chochote kile isipokua ni mwendelezo wa upuuzi ule ule
Vumilieni 😂
 
Back
Top Bottom