Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal are unbeaten in their last 6 PL meetings against Liverpool
SnapInsta.to_540460196_18367781395145411_4114113224378656331_n.jpg
 
Unataka atimuliwe wewe kama nani kiongozi?
Sijui ana nia gani hyu na sisi....Manunu tangu Babu Fergie aondoke wameshakuwa na makocha kama 7 hivi mpk sasa yaani ni timuatimua tu ...mbaya sasa Katika wote hao waliokosea kumtimua ni Solskjaer...yule jamaa alishawajulia wale wachezaji....sasa hyu Amorim anawaambia kabisa jamani nitimueni ila hawataki wako naye tu...acha awashushe daraja😀😀
 
Hii Burnley naona ndio timu kuliko zote kwenye ligi, tukikutana nao tukipata ushindi chini ya goli 5 utakua ni udhaifu
 
Ninyi vibakà kesho mbamendwe 5-0 na kuku kishingo aka liverfools ndio akili zitawarudi na kikundi Chenu cha wanenguaji hicho .Nawakumbusha tu London is blue na tunaongoza ligi
 
Hutamuona mpaka tufungwe.
Pia ni faraja sana kukuona huku mkuu, bwana Castr.
Eze sasa amewasili na kuna bwana mdogo wakuitwa Hincapié anakuja kusidia overloading ya Left Wing ili Eze awe anaingia kwa ndani. Aiseee...the league ain't ready...
Yeah nilipata notification ya Eze kuja Emirates nikasema hapa tuna mtu. Tangu nianze kushabikia Arsenal ni mara ya kwanza naona tunapata kila mchezaji ambaye tulipeleka ofa.

Kuna kipindi tulihusishwa na Higuain mwisho wa dirisha tukaibuka na Yaya Sanogo. Hili dirisha linatia faraja kwamba watu wapo serious.
 
Yeah nilipata notification ya Eze kuja Emirates nikasema hapa tuna mtu. Tangu nianze kushabikia Arsenal ni mara ya kwanza naona tunapata kila mchezaji ambaye tulipeleka ofa.

Kuna kipindi tulihusishwa na Higuain mwisho wa dirisha tukaibuka na Yaya Sanogo. Hili dirisha linatia faraja kwamba watu wapo serious.
Sanogo na Chamack dah....
 
Back
Top Bottom