arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mkumbushe na Hincapie asimsahau...yule kasajiliwa rasmi Kuja kucheza namba 3....Lewis Skelly ni midfielder...Calafiori ni LCB atapokezana na Big Gabby
Timber na Zube je?
Timber na Zube je?
Liver na midfield yao ile, sijui kina eze watafanyajeArsenal are unbeaten in their last 6 PL meetings against Liverpool
View attachment 3457833
Unataka atimuliwe wewe kama nani kiongozi?Katika msimu mmefanya sajili za maana na kueleweka basi ni huu msimu. Arteta hana kisingizio tena, akikosa ubingwa msimu huu inabidi atimuliwe. Huyu beki mlie msajili hapo mmeula, bonge la beki.
Sijui ana nia gani hyu na sisi....Manunu tangu Babu Fergie aondoke wameshakuwa na makocha kama 7 hivi mpk sasa yaani ni timuatimua tu ...mbaya sasa Katika wote hao waliokosea kumtimua ni Solskjaer...yule jamaa alishawajulia wale wachezaji....sasa hyu Amorim anawaambia kabisa jamani nitimueni ila hawataki wako naye tu...acha awashushe daraja😀😀Unataka atimuliwe wewe kama nani kiongozi?
AiseeInabidi tupige invincible 2.0 msimu huu
Hutamuona mpaka tufungwe.Hahaha yule jamaa wa Newcastle yupo?
Yeah nilipata notification ya Eze kuja Emirates nikasema hapa tuna mtu. Tangu nianze kushabikia Arsenal ni mara ya kwanza naona tunapata kila mchezaji ambaye tulipeleka ofa.Hutamuona mpaka tufungwe.
Pia ni faraja sana kukuona huku mkuu, bwana Castr.
Eze sasa amewasili na kuna bwana mdogo wakuitwa Hincapié anakuja kusidia overloading ya Left Wing ili Eze awe anaingia kwa ndani. Aiseee...the league ain't ready...
Sanogo na Chamack dah....Yeah nilipata notification ya Eze kuja Emirates nikasema hapa tuna mtu. Tangu nianze kushabikia Arsenal ni mara ya kwanza naona tunapata kila mchezaji ambaye tulipeleka ofa.
Kuna kipindi tulihusishwa na Higuain mwisho wa dirisha tukaibuka na Yaya Sanogo. Hili dirisha linatia faraja kwamba watu wapo serious.
Darkest times.Sanogo na Chamack dah....