Rangooo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2022
- 298
- 494
We jamaa akili kubwaNaona merino aendelee kubaki, ode sio mzuri kwenye kukaba
Kuhusu kuingia Eze atoke martinel hapo kama tuna bet flan hivi, no way out bora aingie Eze kuliko anachotufanyia martinel
Hadi mapumziko Liverpunda wanatumia sana nguvu ya mashabiki ila hakuna mpira wowote ule wanaocheza