Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona merino aendelee kubaki, ode sio mzuri kwenye kukaba

Kuhusu kuingia Eze atoke martinel hapo kama tuna bet flan hivi, no way out bora aingie Eze kuliko anachotufanyia martinel

Hadi mapumziko Liverpunda wanatumia sana nguvu ya mashabiki ila hakuna mpira wowote ule wanaocheza
We jamaa akili kubwa
 
Ila Liverpool msimu huu sioni wakiwa na hatari sana kwenye mashambulizi km ilivo last seasons.

Japo mechi bado. Ngoja tuone 2nd half watakuja vipi.
Wakimchukua isak watabadilika …japo pia midfield yao naona imepwaya sa hiv
 
Naona merino aendelee kubaki, ode sio mzuri kwenye kukaba

Kuhusu kuingia Eze atoke martinel hapo kama tuna bet flan hivi, no way out bora aingie Eze kuliko anachotufanyia martinel

Hadi mapumziko Liverpunda wanatumia sana nguvu ya mashabiki ila hakuna mpira wowote ule wanaocheza
Mtazamo wangu atoke Merino aingie Eze
 
Ila Liverpool msimu huu sioni wakiwa na hatari sana kwenye mashambulizi km ilivo last seasons.

Japo mechi bado. Ngoja tuone 2nd half watakuja vipi.
Liverpool inabidi wavunje kibubu kumleta Isak. Nao kwa sasa pale mbele ni shida tu
 
Arsenal wanapata kona 6
Liverfool wanapata kona 0

Arteta afanya sub ya maana tumalize game hii
 
Screenshot_2025-08-31-19-47-11-174_com.livescore.jpg

Yuko benchi
 
Back
Top Bottom