Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_20260816-160314~2.jpg

First test ya Enzo tangu atoke chelkenge ni kwenye community shield.

Arteta ameintroduce sura mpya tatu.

White alikua majeruhi.

Tzolis mpya.

Na Guimaraes mpya.

May the best team win
 
Leo tuna mechi ya community shield dhidi ya City.

Saliba na Timber bado ni majeruhi ila wengine bado tunao.

Mwandishi wa habari mmoja akamuuliza swali la kizembe Gyokeres, akamuuliza kama anaichukulia mechi ya leo kama friendly. Gyokeres akamshangaa yule mwandishi akamuuliza "Against City? Friendly? What do you mean?"

Mwandishi akabaki kimya. Enzo yeye akasema tu "Kukiwa na kombe toeni stori za friendly"

Kwahiyo leo ni moto.
Hiyo interview ya gyokeres ni ya zaidi ya wiki nyuma ilipostiwa na skysport, kama kumbukumbu zangu ziko vzr n kwamba gyokeres hakujua kama kuna kombe la community dhidi ya city hvy alikuwa ana shangaa kuambiwa kuna kombe wiki ijayo (leo) akauliza hiyo n mechi ya kirafiki? muandishi akasema n kombe liko uwanjani.
 
Hiyo interview ya gyokeres ni ya zaidi ya wiki nyuma ilipostiwa na skysport, kama kumbukumbu zangu ziko vzr n kwamba gyokeres hakujua kama kuna kombe la community dhidi ya city hvy alikuwa ana shangaa kuambiwa kuna kombe wiki ijayo (leo) akauliza hiyo n mechi ya kirafiki? muandishi akasema n kombe liko uwanjani.
Mimi sijui kiingereza kaka, ni vyema unayejua umekuja kunielewesha
 
And let's face it. Hichi siyo kikosi cha nguvu kabisa ambacho Arsenal tungeweza kukiweka uwanjani. Pamoja na hayo kinasumbua, kinalinda na kinapata matokeo.

Once chemistry ikiset in nataka kuona jinsi tutavyokua. Leo wale wanaojitambulisha kama mentality monsters wanapigwa ndonga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom