Rangooo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2022
- 298
- 494
Asante mkuu umetishaYalla live
Asante mkuu umetishaYalla live
Toka jana mshinde kwa papatu …mnaanza kutusumbua😅Vipi niwaitie allypipi aje kuwafanyia prediction mechi yenu na Livaa Vikuku? View attachment 3460387
Vipi niwaitie allypipi aje kuwafanyia prediction mechi yenu na Livaa Vikuku? View attachment 3460387




mkuu fanya kutusamehe tu daaah🤣🤣arsenal ni kama kenge TU ni limdudu likubwa lakini halina maajabu yotote Yale lLiverpunda amemuanzisha Sobozlai beki namba tatu
Arsenal hii inatisha mno
Kwanini Arsenal afungwe tu hakuna namnaHii mechi iishe droo tu, gap la alama lisiendelee kuwa kubwa
Uchawi upo duuDakika ya 4 saliba injury, au machizi nyumbu, kenge mnaturoga?