Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liverpunda amemuanzisha Sobozlai beki namba tatu [emoji2][emoji2][emoji2]

Arsenal hii inatisha mno
 
Arteta ameingia vizuri, hatutakiwi kuwa wanyonge in midfield [emoji732]️

Kuhusu ukuta upo vizuri, chini ya uongozi wa saliba

Hofu yangu ni kwamba kama tayari washacop kucheza na Gyokeres
Screenshot_20250831_180411_FotMob.jpg
 
Kumbe FA walianza kutupiga vita kitambo tu.
Watesi wetu hawa walipiga pini dili letu la kumleta Diego Maradona Highbury kutoka Boca Juniors.

1756654171291.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom