Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liverpunda wana good squad, Arsenal tuna killing squad


View attachment 3460336
Vipi niwaitie allypipi aje kuwafanyia prediction mechi yenu na Livaa Vikuku?
historical-jesus.jpg
 
Liverpunda amemuanzisha Sobozlai beki namba tatu

Arsenal hii inatisha mno
 
Arteta ameingia vizuri, hatutakiwi kuwa wanyonge in midfield

Kuhusu ukuta upo vizuri, chini ya uongozi wa saliba

Hofu yangu ni kwamba kama tayari washacop kucheza na Gyokeres
Screenshot_20250831_180411_FotMob.jpg
 
Kumbe FA walianza kutupiga vita kitambo tu.
Watesi wetu hawa walipiga pini dili letu la kumleta Diego Maradona Highbury kutoka Boca Juniors.

1756654171291.png
 
Back
Top Bottom