Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila Raya naye apunguze kidogo kuwapa pasi wachezaji waliokabwa ndani ya box letu.
 
GOAL! Merino gets the rebound and heads it home! Liverpool 2-2 Arsenal

1746983840662.gif
 
Odegaard alikuwa na chance ya kutushindia hii game ila huyu jamaa msimu huu amekuwa hovyo. Acha tu msimu uishe akafanye surgery yake.
 
Lot of work needed to reshape our team. Mwishoni mwa msimu pumzi inakata
Reshape miaka 7… uzuriii wa false hopes huwa haziiishi mpaka mnazeeka .
Just imagine halland, foden, elliot, trent wamezaliwa wakanyonya wakacheza under 5, under 10 na under 15 lakini wana makombe mengi wamenyanyua kuliko uliyotazama arsenal akinyanyua.
Nasema uongo ndugu zangu wa supercomputer??😂😂
 
Hawa Barcelona wanapiga mpira aisee. Natamani tukutane nao fainali ikiwezekana ili tujipime nao. Tukiwapiga tunabeba kombe na wakitupiga tunakuwa tumepata somo zuri na tumaini ni tutaboresha kikosi kwa ajili ya kupambana na upinzani wa level ile, kwa msimu ujao.
Fainali ya emirates mtakutana nao si ligi ya mabingwa, nyinyi si mabingwa
 
Wengi bado hawajaelewa kuwa huwa tukiwa kwenye form na tukiamka vizuri tukaamua kumcharaza mtu, hakuna timu tusiyoweza kuipiga.

Wengi pia wanasahau kuwa PGMOL na FA na wabaya wetu wengine wa hivyo hawako UCL. Wanasahau kuwa tusingekuwa tunadhulumiwa na hawa wahuni, tungekuwa sambamba na Livakuku kwenye EPL, licha ya majeruhi wa kutosha kwenye timu yetu.
PGMOL na FA kwa pamoja tunawatakia arsenal fans wote ulimwenguni final njema by senderoes 😂
 
With due respect.
Naheshimu saana mpira ila naheshimu zaidi maajabu ya mpira.
Kabla ya kuwazia nusu finally nadhani tunapaswa kwanza

1. Kuheshimu dakika 90 zijazo maana zilizopita zilitupa goli tatu tukiwa nyumbani na tunaenda 90 nyingine Madrid akiwa mwenyeji.anything can happen(god forbid)

2.kuheshimu ukubwa wa Madrid katika mashindano haya na historia Yao ya kipekee hasa pale Kila mtu anapowaona wa kawaida(god forbid)

3.Kuheshimu individual brilliance ya baadhi ya wachezaji wa real Madrid ambao ni world class na very experienced kuhandle pressure

4.kuheshimu experience na uwezo wa Carlo ancellot.moja kati ya watu Wana uwezo wa kupata kilicho Bora kwa mchezaji basi ni don carlo.jamaa ana uwezo mkubwa wa kumshika mchezaji masikio na akawa robot

5.kuheshimu home ground na bernabeu atmosphere.

Mwisho na sio kwa kumaliza sikumbuki ni lini niliwahi PATA tukio la furaha ya kimichezo kama matokeo ya juzi tulipompiga Madrid.ilikuwa ni furaha ya ajabu mnoo.kwa mwaka 2025 it was one of my very very happiest moment.naamini hatutaishia hapa ila pia tuwaheshimu wapinzani walioko mbele yetu
😂😂😂😂😂😂😂😂 aaaah leo ngoja nipitie hizi hopes za arsenal.
Huyu furaha kubwa ya mpira ni kumfunga real madrid ambaye hata leganes wanamfunga.

Wakati chelsea, man utd , Liverpool na man city furaha yao kubwa zaidi ni kubeba uefa , kuna arsenal fan yeye furaha kubwa aliyoipata toka aanze kuangalia mpira ni kumfunga real madrid 😅.
 
Itakuwa haujatusoma vizuri au hujatuelewa mkuu.

Sisi hatumuwazi Madrid hapa robo fainali wala PSG nusu fainali.

Tunachokiwaza sisi ni fainali tutacheza na Barcelona ama Inter, na ni yupi tunamtamani zaidi kati yao.
😂😂😂😂😂😂😂😂 henry ni wewe huyu kweli ama??? Itabidi mcheze na wigan fainali ya false hopes trophy
 
Back
Top Bottom