HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Hapana bro. Hawa wahuni wanaweza kutupigia boli na wakapenya ukuta wetu aisee.Nah bro.
We have the best defense in the world.
Zile chance za counter watazikosa utashangaa
Hapana bro. Hawa wahuni wanaweza kutupigia boli na wakapenya ukuta wetu aisee.Nah bro.
We have the best defense in the world.
Zile chance za counter watazikosa utashangaa
Sawa nakubali haya yote uliyosema hapa, ila point yangu hapo ni kwamba Inter defense yao ni ngumu sana, na hawaruhusu uwasogelee lango lao mara kwa mara, ndio maana hata goli walizofungwa ni chache sana... na pia kingine defense approach mnayotumia (high line) mkikutana mastrikers wanaojua kucheza offside tricks mnakufa nyingi sana.Lewandowski ana goli ngapi za UEFA msimu huu?
Thuram na Martinezi wako wana goli ngapi UEFA na finishing yao nzuri kuliko ya Barca?
Unafahamu kwamba Barca ndiyo timu iliyofunga magoli mengi in UCL kuliko timu yoyote msimu huu
Unafahamu kwamba huyo unayemdharau Lewandowski ndio the second goal scorer wa UEFA msimu huu akiwa na goli 11 nyuma ya Raphina top scorer akiwa na goli 12?
Sawa ngoja tusubiri.Sawa nakubali haya yote uliyosema hapa, ila point yangu hapo ni kwamba Inter defense yao ni ngumu sana, na hawaruhusu uwasogelee lango lao mara kwa mara, ndio maana hata goli walizofungwa ni chache sana... na pia kingine defense approach mnayotumia (high line) mkikutana mastrikers wanaojua kucheza offside tricks mnakufa nyingi sana.
Pamoja na hivyo ngoja tusubiri Nusu fainali si tarehe 28 tu hapo(maana mpaka sasa hivi wanaocheza nusu wameshafahamika)
Barca ni wazuri? NdiyoSawa nakubali haya yote uliyosema hapa, ila point yangu hapo ni kwamba Inter defense yao ni ngumu sana, na hawaruhusu uwasogelee lango lao mara kwa mara, ndio maana hata goli walizofungwa ni chache sana... na pia kingine defense approach mnayotumia (high line) mkikutana mastrikers wanaojua kucheza offside tricks mnakufa nyingi sana.
Pamoja na hivyo ngoja tusubiri Nusu fainali si tarehe 28 tu hapo(maana mpaka sasa hivi wanaocheza nusu wameshafahamika)
Barca kwa mechi chache nilizoangalia msimu huu ni scorers wazuri kwa kubreak play, counter na kurely kwenye purple patch ya Raphinha na Lamine.Hapana bro. Hawa wahuni wanaweza kutupigia boli na wakapenya ukuta wetu aisee.
In terms of experience kwa huko CL Arsenal ni underdog. Timu nyingi wakati zinaenda CL sisi tulikua tunaenda Europa.With due respect.
Naheshimu saana mpira ila naheshimu zaidi maajabu ya mpira.
Kabla ya kuwazia nusu finally nadhani tunapaswa kwanza
1. Kuheshimu dakika 90 zijazo maana zilizopita zilitupa goli tatu tukiwa nyumbani na tunaenda 90 nyingine Madrid akiwa mwenyeji.anything can happen(god forbid)
2.kuheshimu ukubwa wa Madrid katika mashindano haya na historia Yao ya kipekee hasa pale Kila mtu anapowaona wa kawaida(god forbid)
3.Kuheshimu individual brilliance ya baadhi ya wachezaji wa real Madrid ambao ni world class na very experienced kuhandle pressure
4.kuheshimu experience na uwezo wa Carlo ancellot.moja kati ya watu Wana uwezo wa kupata kilicho Bora kwa mchezaji basi ni don carlo.jamaa ana uwezo mkubwa wa kumshika mchezaji masikio na akawa robot
5.kuheshimu home ground na bernabeu atmosphere.
Mwisho na sio kwa kumaliza sikumbuki ni lini niliwahi PATA tukio la furaha ya kimichezo kama matokeo ya juzi tulipompiga Madrid.ilikuwa ni furaha ya ajabu mnoo.kwa mwaka 2025 it was one of my very very happiest moment.naamini hatutaishia hapa ila pia tuwaheshimu wapinzani walioko mbele yetu
HaswaaIn terms of experience kwa huko CL Arsenal ni underdog. Timu nyingi wakati zinaenda CL sisi tulikua tunaenda Europa.
Nilisema hiyo deal mwanzo na nimerudia mara kadhaa.
So yes, kila opponent tunayekutana naye anastahili kufuatwa kwa tahadhari. Plus majeruhi na ukosefu wa ST tutunze discipline na rushwa za timu za Spain zisiinfluence matokeo
Nimependa analysis yako na natamani tufike fainali na tukute Barca ya unavyodhania. Ila kwa ile game ya jana, hawa watoto hawafai kabisa. Tukumbuke pia hawa jamaa wana kocha mzuri na amemfanya hata Raphinya na Kounde waonekane matata. Lamine naamimi ni Saka zaidi kuliko Dele Alli, yaani atazidi kupanda kuliko kushuka.Barca kwa mechi chache nilizoangalia msimu huu ni scorers wazuri kwa kubreak play, counter na kurely kwenye purple patch ya Raphinha na Lamine.
Naita purple patch kwakua Raphinha alishaonekana hafai wakataka auzwe na Lamine anatakiwa aendeleze hiki anachofanya asijekua Dele Ali.
Kuna mdau yupo humu ni shabiki wa Barca, hapo juu amesema Arsenal kaifunga Madrid mbovu. Ila hii Madrid mbovu imefungwa magoli 31 msimu huu huko La Liga na Barca bora kabisa (kwa maneno yake) imefungwa magoli 29.
WHat does this tell you? Their defense can make mistakes and their keeper is not that better hata kwa clean sheets ina 9 mpaka sasa. This means timu ikiweza score na kubana (mfano Inter) basi show imeisha.
To their credit wamescore plenty of goals. Lakini top scorer (Lewandowsk) ana goli 25 akifuatiwa na Mbappe ambaye yupo hiyo Madrid mbovu. Hawana long balls, mpiga pasi accurate ni CB, they are basically Liverpool ila yenye ST world class with fewer long balls.
So yes. They are good lakini siyo kiasi kwamba mtu akiwaona asiingize timu uwanjani.
Madrid msimu huu ni wabovu hilo halina ubishi.Kuna mdau yupo humu ni shabiki wa Barca, hapo juu amesema Arsenal kaifunga Madrid mbovu. Ila hii Madrid mbovu imefungwa magoli 31 msimu huu huko La Liga na Barca bora kabisa (kwa maneno yake) imefungwa magoli 29.
Flick ni mzuri. No doubt.Nimependa analysis yako na natamani tufike fainali na tukute Barca ya unavyodhania. Ila kwa ile game ya jana, hawa watoto hawafai kabisa. Tukumbuke pia hawa jamaa wana kocha mzuri na amemfanya hata Raphinya na Kounde waonekane matata. Lamine naamimi ni Saka zaidi kuliko Dele Alli, yaani atazidi kupanda kuliko kushuka.
Nadhani tungekuwa na striker mkali na Gabriel angekuwepo, ningekuwa najiamini zaidi maana back 4 ya Timber, Saliba, Gabriel na Lewis-Skelly ni matata sana, haswa kama Barca watafanya utani wa kumuachia Lewis-Skelly ainvert kujenga double-pivot na Partey kama Madrid walivyofanya.
Huu ni ukweli.WHat does this tell you? Their defense can make mistakes and their keeper is not that better hata kwa clean sheets ina 9 mpaka sasa. This means timu ikiweza score na kubana (mfano Inter) basi show imeisha.
Niliongelea past 5 games zao na zetu. Individual brilliance ni kweli inawapa ushindi at times.Madrid msimu huu ni wabovu hilo halina ubishi.
Kitu pekee kinachowapa matokeo kwenye baadhi ya mechi ni individual brilliance ya Mbappe Vin na Rodrygo.
Kwenye kiungo na beki huko ndo majanga kabisa.
Na hata hizo mechi wanzopata matokeo ni kwa kupapatua sana.
Kabla ya mechi yenu mliyomfunga 3 katoka kufungwa na Valencia 2-1 tena Bernabeu.
Barca ya Messi, Xavi na Iniesta ilikua inapossess mpira kiasi kwamba mpinzani hata kuupata mpira ili aende kuscore inakua changamoto.Huu ni ukweli.
Defence wise Barcelona sio wazuri na hawajawahi kuwekeza kwenye defence kwa kuwa na ukuta mgumu usiopenyeka kirahisi.
Hii ni kutokana na mfumo wa Barca.
Hata hiyo prime Barcelona ya Messi Xavi na Iniesta haikuwa na ukuta mgumu usiopenyeka.
Ukikaza na Barcelona goli unapata tu lakini balaa linakuja wewe ukiscore moja ujue Barca ana 3 4 5 au 7.
Utatu wa Raphina Yamal na Lewandowski uko very clinical in finishing na ni ngumu kuwakaba wasicheze kabisa.
Na ndiyo maana sio UCL wala La liga kote tunaongiza kwa magoli mengi ya kufunga.
Kwa mtu anayejua mpira na kuufatilia lazima upate uoga.
Kwa nini mkuu?arsenal akifanikwa kuingia fainali na barcelona kuna chance kubwa zaidi ya kutwaa ubingwa
Mwanetu kumbe uponyinyi si mpo robo final kwani final mshaingia mara hii😂😂