Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Lewandowski ana goli ngapi za UEFA msimu huu?

Thuram na Martinezi wako wana goli ngapi UEFA na finishing yao nzuri kuliko ya Barca?

Unafahamu kwamba Barca ndiyo timu iliyofunga magoli mengi in UCL kuliko timu yoyote msimu huu

Unafahamu kwamba huyo unayemdharau Lewandowski ndio the second goal scorer wa UEFA msimu huu akiwa na goli 11 nyuma ya Raphina top scorer akiwa na goli 12?
Sawa nakubali haya yote uliyosema hapa, ila point yangu hapo ni kwamba Inter defense yao ni ngumu sana, na hawaruhusu uwasogelee lango lao mara kwa mara, ndio maana hata goli walizofungwa ni chache sana... na pia kingine defense approach mnayotumia (high line) mkikutana mastrikers wanaojua kucheza offside tricks mnakufa nyingi sana.

Pamoja na hivyo ngoja tusubiri Nusu fainali si tarehe 28 tu hapo(maana mpaka sasa hivi wanaocheza nusu wameshafahamika)
 
Sawa nakubali haya yote uliyosema hapa, ila point yangu hapo ni kwamba Inter defense yao ni ngumu sana, na hawaruhusu uwasogelee lango lao mara kwa mara, ndio maana hata goli walizofungwa ni chache sana... na pia kingine defense approach mnayotumia (high line) mkikutana mastrikers wanaojua kucheza offside tricks mnakufa nyingi sana.

Pamoja na hivyo ngoja tusubiri Nusu fainali si tarehe 28 tu hapo(maana mpaka sasa hivi wanaocheza nusu wameshafahamika)
Sawa ngoja tusubiri.
 
Sawa nakubali haya yote uliyosema hapa, ila point yangu hapo ni kwamba Inter defense yao ni ngumu sana, na hawaruhusu uwasogelee lango lao mara kwa mara, ndio maana hata goli walizofungwa ni chache sana... na pia kingine defense approach mnayotumia (high line) mkikutana mastrikers wanaojua kucheza offside tricks mnakufa nyingi sana.

Pamoja na hivyo ngoja tusubiri Nusu fainali si tarehe 28 tu hapo(maana mpaka sasa hivi wanaocheza nusu wameshafahamika)
Barca ni wazuri? Ndiyo

Wanafungika? Ndiyo

Story iishie hapa
 
With due respect.
Naheshimu saana mpira ila naheshimu zaidi maajabu ya mpira.
Kabla ya kuwazia nusu finally nadhani tunapaswa kwanza

1. Kuheshimu dakika 90 zijazo maana zilizopita zilitupa goli tatu tukiwa nyumbani na tunaenda 90 nyingine Madrid akiwa mwenyeji.anything can happen(god forbid)

2.kuheshimu ukubwa wa Madrid katika mashindano haya na historia Yao ya kipekee hasa pale Kila mtu anapowaona wa kawaida(god forbid)

3.Kuheshimu individual brilliance ya baadhi ya wachezaji wa real Madrid ambao ni world class na very experienced kuhandle pressure

4.kuheshimu experience na uwezo wa Carlo ancellot.moja kati ya watu Wana uwezo wa kupata kilicho Bora kwa mchezaji basi ni don carlo.jamaa ana uwezo mkubwa wa kumshika mchezaji masikio na akawa robot

5.kuheshimu home ground na bernabeu atmosphere.

Mwisho na sio kwa kumaliza sikumbuki ni lini niliwahi PATA tukio la furaha ya kimichezo kama matokeo ya juzi tulipompiga Madrid.ilikuwa ni furaha ya ajabu mnoo.kwa mwaka 2025 it was one of my very very happiest moment.naamini hatutaishia hapa ila pia tuwaheshimu wapinzani walioko mbele yetu
 
Hapana bro. Hawa wahuni wanaweza kutupigia boli na wakapenya ukuta wetu aisee.
Barca kwa mechi chache nilizoangalia msimu huu ni scorers wazuri kwa kubreak play, counter na kurely kwenye purple patch ya Raphinha na Lamine.

Naita purple patch kwakua Raphinha alishaonekana hafai wakataka auzwe na Lamine anatakiwa aendeleze hiki anachofanya asijekua Dele Ali.

Kuna mdau yupo humu ni shabiki wa Barca, hapo juu amesema Arsenal kaifunga Madrid mbovu. Ila hii Madrid mbovu imefungwa magoli 31 msimu huu huko La Liga na Barca bora kabisa (kwa maneno yake) imefungwa magoli 29.

WHat does this tell you? Their defense can make mistakes and their keeper is not that better hata kwa clean sheets ina 9 mpaka sasa. This means timu ikiweza score na kubana (mfano Inter) basi show imeisha.

To their credit wamescore plenty of goals. Lakini top scorer (Lewandowsk) ana goli 25 akifuatiwa na Mbappe ambaye yupo hiyo Madrid mbovu. Hawana long balls, mpiga pasi accurate ni CB, they are basically Liverpool ila yenye ST world class with fewer long balls.

So yes. They are good lakini siyo kiasi kwamba mtu akiwaona asiingize timu uwanjani.
 
With due respect.
Naheshimu saana mpira ila naheshimu zaidi maajabu ya mpira.
Kabla ya kuwazia nusu finally nadhani tunapaswa kwanza

1. Kuheshimu dakika 90 zijazo maana zilizopita zilitupa goli tatu tukiwa nyumbani na tunaenda 90 nyingine Madrid akiwa mwenyeji.anything can happen(god forbid)

2.kuheshimu ukubwa wa Madrid katika mashindano haya na historia Yao ya kipekee hasa pale Kila mtu anapowaona wa kawaida(god forbid)

3.Kuheshimu individual brilliance ya baadhi ya wachezaji wa real Madrid ambao ni world class na very experienced kuhandle pressure

4.kuheshimu experience na uwezo wa Carlo ancellot.moja kati ya watu Wana uwezo wa kupata kilicho Bora kwa mchezaji basi ni don carlo.jamaa ana uwezo mkubwa wa kumshika mchezaji masikio na akawa robot

5.kuheshimu home ground na bernabeu atmosphere.

Mwisho na sio kwa kumaliza sikumbuki ni lini niliwahi PATA tukio la furaha ya kimichezo kama matokeo ya juzi tulipompiga Madrid.ilikuwa ni furaha ya ajabu mnoo.kwa mwaka 2025 it was one of my very very happiest moment.naamini hatutaishia hapa ila pia tuwaheshimu wapinzani walioko mbele yetu
In terms of experience kwa huko CL Arsenal ni underdog. Timu nyingi wakati zinaenda CL sisi tulikua tunaenda Europa.

Nilisema hiyo deal mwanzo na nimerudia mara kadhaa.

So yes, kila opponent tunayekutana naye anastahili kufuatwa kwa tahadhari. Plus majeruhi na ukosefu wa ST tutunze discipline na rushwa za timu za Spain zisiinfluence matokeo
 
In terms of experience kwa huko CL Arsenal ni underdog. Timu nyingi wakati zinaenda CL sisi tulikua tunaenda Europa.

Nilisema hiyo deal mwanzo na nimerudia mara kadhaa.

So yes, kila opponent tunayekutana naye anastahili kufuatwa kwa tahadhari. Plus majeruhi na ukosefu wa ST tutunze discipline na rushwa za timu za Spain zisiinfluence matokeo
Haswaa
Waspain ni Moja ya watu wanaojua kupata chochote kwa njia yoyote
 
Barca kwa mechi chache nilizoangalia msimu huu ni scorers wazuri kwa kubreak play, counter na kurely kwenye purple patch ya Raphinha na Lamine.

Naita purple patch kwakua Raphinha alishaonekana hafai wakataka auzwe na Lamine anatakiwa aendeleze hiki anachofanya asijekua Dele Ali.

Kuna mdau yupo humu ni shabiki wa Barca, hapo juu amesema Arsenal kaifunga Madrid mbovu. Ila hii Madrid mbovu imefungwa magoli 31 msimu huu huko La Liga na Barca bora kabisa (kwa maneno yake) imefungwa magoli 29.

WHat does this tell you? Their defense can make mistakes and their keeper is not that better hata kwa clean sheets ina 9 mpaka sasa. This means timu ikiweza score na kubana (mfano Inter) basi show imeisha.

To their credit wamescore plenty of goals. Lakini top scorer (Lewandowsk) ana goli 25 akifuatiwa na Mbappe ambaye yupo hiyo Madrid mbovu. Hawana long balls, mpiga pasi accurate ni CB, they are basically Liverpool ila yenye ST world class with fewer long balls.

So yes. They are good lakini siyo kiasi kwamba mtu akiwaona asiingize timu uwanjani.
Nimependa analysis yako na natamani tufike fainali na tukute Barca ya unavyodhania. Ila kwa ile game ya jana, hawa watoto hawafai kabisa. Tukumbuke pia hawa jamaa wana kocha mzuri na amemfanya hata Raphinya na Kounde waonekane matata. Lamine naamimi ni Saka zaidi kuliko Dele Alli, yaani atazidi kupanda kuliko kushuka.
Nadhani tungekuwa na striker mkali na Gabriel angekuwepo, ningekuwa najiamini zaidi maana back 4 ya Timber, Saliba, Gabriel na Lewis-Skelly ni matata sana, haswa kama Barca watafanya utani wa kumuachia Lewis-Skelly ainvert kujenga double-pivot na Partey kama Madrid walivyofanya.
 
Dah 😅😅😅
Screenshot_2025-04-10-20-46-21-283_com.twitter.android-edit.jpg
Screenshot_2025-04-10-20-46-55-051_com.twitter.android-edit.jpg
Screenshot_2025-04-10-20-47-14-592_com.twitter.android-edit.jpg
Screenshot_2025-04-10-20-47-36-878_com.twitter.android-edit.jpg
 
Kuna mdau yupo humu ni shabiki wa Barca, hapo juu amesema Arsenal kaifunga Madrid mbovu. Ila hii Madrid mbovu imefungwa magoli 31 msimu huu huko La Liga na Barca bora kabisa (kwa maneno yake) imefungwa magoli 29.
Madrid msimu huu ni wabovu hilo halina ubishi.

Kitu pekee kinachowapa matokeo kwenye baadhi ya mechi ni individual brilliance ya Mbappe Vin na Rodrygo.

Kwenye kiungo na beki huko ndo majanga kabisa.

Na hata hizo mechi wanzopata matokeo ni kwa kupapatua sana.

Kabla ya mechi yenu mliyomfunga 3 katoka kufungwa na Valencia 2-1 tena Bernabeu.
 
Nimependa analysis yako na natamani tufike fainali na tukute Barca ya unavyodhania. Ila kwa ile game ya jana, hawa watoto hawafai kabisa. Tukumbuke pia hawa jamaa wana kocha mzuri na amemfanya hata Raphinya na Kounde waonekane matata. Lamine naamimi ni Saka zaidi kuliko Dele Alli, yaani atazidi kupanda kuliko kushuka.
Nadhani tungekuwa na striker mkali na Gabriel angekuwepo, ningekuwa najiamini zaidi maana back 4 ya Timber, Saliba, Gabriel na Lewis-Skelly ni matata sana, haswa kama Barca watafanya utani wa kumuachia Lewis-Skelly ainvert kujenga double-pivot na Partey kama Madrid walivyofanya.
Flick ni mzuri. No doubt.

Wana timu nzuri kwa sasa. No doubt.

Tuna majeruhi hatuna ST but we have a chance against them ikatokea tumekutana
 
WHat does this tell you? Their defense can make mistakes and their keeper is not that better hata kwa clean sheets ina 9 mpaka sasa. This means timu ikiweza score na kubana (mfano Inter) basi show imeisha.
Huu ni ukweli.

Defence wise Barcelona sio wazuri na hawajawahi kuwekeza kwenye defence kwa kuwa na ukuta mgumu usiopenyeka kirahisi.

Hii ni kutokana na mfumo wa Barca.

Hata hiyo prime Barcelona ya Messi Xavi na Iniesta haikuwa na ukuta mgumu usiopenyeka.

Ukikaza na Barcelona goli unapata tu lakini balaa linakuja wewe ukiscore moja ujue Barca ana 3 4 5 au 7.

Utatu wa Raphina Yamal na Lewandowski uko very clinical in finishing na ni ngumu kuwakaba wasicheze kabisa.

Na ndiyo maana sio UCL wala La liga kote tunaongiza kwa magoli mengi ya kufunga.

Kwa mtu anayejua mpira na kuufatilia lazima upate uoga.
 
Madrid msimu huu ni wabovu hilo halina ubishi.

Kitu pekee kinachowapa matokeo kwenye baadhi ya mechi ni individual brilliance ya Mbappe Vin na Rodrygo.

Kwenye kiungo na beki huko ndo majanga kabisa.

Na hata hizo mechi wanzopata matokeo ni kwa kupapatua sana.

Kabla ya mechi yenu mliyomfunga 3 katoka kufungwa na Valencia 2-1 tena Bernabeu.
Niliongelea past 5 games zao na zetu. Individual brilliance ni kweli inawapa ushindi at times.

Barca mnacheza kitimu na kisystem zaidi. Ndiyo sababu kuna mdau kasema dhidi yenu mechi itakua fair game pande zote mbili
 
Huu ni ukweli.

Defence wise Barcelona sio wazuri na hawajawahi kuwekeza kwenye defence kwa kuwa na ukuta mgumu usiopenyeka kirahisi.

Hii ni kutokana na mfumo wa Barca.

Hata hiyo prime Barcelona ya Messi Xavi na Iniesta haikuwa na ukuta mgumu usiopenyeka.

Ukikaza na Barcelona goli unapata tu lakini balaa linakuja wewe ukiscore moja ujue Barca ana 3 4 5 au 7.

Utatu wa Raphina Yamal na Lewandowski uko very clinical in finishing na ni ngumu kuwakaba wasicheze kabisa.

Na ndiyo maana sio UCL wala La liga kote tunaongiza kwa magoli mengi ya kufunga.

Kwa mtu anayejua mpira na kuufatilia lazima upate uoga.
Barca ya Messi, Xavi na Iniesta ilikua inapossess mpira kiasi kwamba mpinzani hata kuupata mpira ili aende kuscore inakua changamoto.

Kuscore mnascore sana. Ipo wazi. Ngoja hii robo na nusu tuone italeta story gani
 
Huwa siangalii wala kufuatilia Bundesliga, ila kuna dogo pale Frankfurt anaitwa Hugo Etikite. Kwa nilichoona YouTube, nafikiri tupambane tumchukuwe huyu dogo. Tutakuwa tumepata mbadala wa Havertz, Trossard na hata Martinelli mara moja moja kwa mpigo. Bei chini zaidi ya nusu ya Isak na uchezaji wanafanana.
 
Kuna mshkaji X akasema mfano Merino angesajiliwa Arsenal hii January kama ST kila shabiki angekua anaamini tumepata ST kwa kufuata stats zake.

Kwavile alikuja kama CM na tunamjua hivyo ndiyo sababu bado tunaona tunahitaji ST.
 
Mkiambiwa nyie hazipo huwa mnakataa, mnawaza nusu wakati madrid tu kawatanguliza na baiskeli ya barafu halafu mbele kuna bonge moja la jua.
 
Back
Top Bottom