Nimependa analysis yako na natamani tufike fainali na tukute Barca ya unavyodhania. Ila kwa ile game ya jana, hawa watoto hawafai kabisa. Tukumbuke pia hawa jamaa wana kocha mzuri na amemfanya hata Raphinya na Kounde waonekane matata. Lamine naamimi ni Saka zaidi kuliko Dele Alli, yaani atazidi kupanda kuliko kushuka.
Nadhani tungekuwa na striker mkali na Gabriel angekuwepo, ningekuwa najiamini zaidi maana back 4 ya Timber, Saliba, Gabriel na Lewis-Skelly ni matata sana, haswa kama Barca watafanya utani wa kumuachia Lewis-Skelly ainvert kujenga double-pivot na Partey kama Madrid walivyofanya.