Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Next game na mijusi bila Trossard wala Merino.

Namba 9 anakua Martinelli
 
Kwangu Mimi nimejifunza sana katika maisha kufurahia moments.

Kwa sisi ambao tuna 30yrs tunasaport team hii kwetu arsenal sio makombe ila ni furaha.

Ndani ya miaka 15 iliyopita huu inawezekana ulikuwa Moja ya misimu yetu Bora saana
 
IG mashabiki wa Arsenal wanalalamika kwamba ingawa Arsenal ilifanya guard of honour out of respect ila matokeo yake mashabiki wa Liverpool waliamua kufanya hate banter kuanzia pale uwanjani mpaka online.

Kwa kawaida mabango hua yanakaguliwa kabla ya kuruhusiwa shabiki kuingia nayo. Kutokana na hili naona Arsenal fans online wakiongelea kwamba Liverpool kwa ujumla wake walibariki banners etc.

Swali langu ni hili "How about we win?" It's true Arsenal tukishinda tunaambiwa tumemfunga dhaifu lakini tunatakiwa kujali? If we win tunatakiwa kujali?

So, hizo hate banter ziendelee. Kama aibu itatosha kufanya wachezaji, bodi na kocha akili zishtuke basi acha ziendelee.
 
Ivi tunamhitaji sana zubi kwa kias ichi cha kukubali kutoa 60 mapema ivi.
NIlitegemea usajil huu watatusurprise na big name kwenye wing au striker
 
Kwangu Mimi nimejifunza sana katika maisha kufurahia moments.

Kwa sisi ambao tuna 30yrs tunasaport team hii kwetu arsenal sio makombe ila ni furaha.

Ndani ya miaka 15 iliyopita huu inawezekana ulikuwa Moja ya misimu yetu Bora saana
Hio furaha unayo?? Furaha huijui ww kama kushinda match mbili tatu pasipo kombe hata soton wanashinda.
Furaha inatoka wapi kama hata wachezaji wanaotakiwa kuleta furaha wao pia hawana furaha? Umesahau kina saka juzi hapa na PSG machozi yanawatoka , mwaka juz ben white na odergard wanajitupa chini game ya soton 3:3 mwaka jana saliba anasonya tu machozi juu .
Unakuja na false hope ya furaha daah 😆
Furaha ya mpira wa miguu kwa players na fans ni trophies na si vinginevyo
 
IG mashabiki wa Arsenal wanalalamika kwamba ingawa Arsenal ilifanya guard of honour out of respect ila matokeo yake mashabiki wa Liverpool waliamua kufanya hate banter kuanzia pale uwanjani mpaka online.

Kwa kawaida mabango hua yanakaguliwa kabla ya kuruhusiwa shabiki kuingia nayo. Kutokana na hili naona Arsenal fans online wakiongelea kwamba Liverpool kwa ujumla wake walibariki banners etc.

Swali langu ni hili "How about we win?" It's true Arsenal tukishinda tunaambiwa tumemfunga dhaifu lakini tunatakiwa kujali? If we win tunatakiwa kujali?

So, hizo hate banter ziendelee. Kama aibu itatosha kufanya wachezaji, bodi na kocha akili zishtuke basi acha ziendelee.
Hoja nzuri. Sisi tugeuke kuwa watembeza vichapo tu ndicho kitakacho wanyamazisha haters.
 
Hio furaha unayo?? Furaha huijui ww kama kushinda match mbili tatu pasipo kombe hata soton wanashinda.
Furaha inatoka wapi kama hata wachezaji wanaotakiwa kuleta furaha wao pia hawana furaha? Umesahau kina saka juzi hapa na PSG machozi yanawatoka , mwaka juz ben white na odergard wanajitupa chini game ya soton 3:3 mwaka jana saliba anasonya tu machozi juu .
Unakuja na false hope ya furaha daah 😆
Furaha ya mpira wa miguu kwa players na fans ni trophies na si vinginevyo
Usitupangie. Wewe kama huwezi kufurahia kushinda mechi mbili kama mashabiki wa Southampton basi shida ni yako usitulazimishie.
 
Wakati tayari official bid imeenda upande wa Gyokeres kuna taarifa zimezuka kwamba Arteta anapingana na Berta juu ya ujio wa Gyokeres.

Arteta anamtaka Sesko
 
Wakati tayari official bid imeenda upande wa Gyokeres kuna taarifa zimezuka kwamba Arteta anapingana na Berta juu ya ujio wa Gyokeres.

Arteta anamtaka Sesko
Mi naona better aje sesko, jamaa ni mrefu(aerial threat) ni msaada tukitumia cross kwa low block teams, pia nimemchek kwenye mechi chache ni presser mzuri na ana speed kuliko victor
 
Arsenal iko interested na Dean Huijsen. Kenge na Loserfools wapo interested pia, Madrid inamtaka Dean, Saliba na Konate, Dean yupo interested kwenda Madrid.

Madrid wanatamani kumpata Saliba ila wanaona Dean ni cheap option kuliko Saliba. Nafikiri Arsenal imebidi wamtarget Dean in case Saliba akiamua kuondoka.
 
1747157565226.png


Mdogo mdogo wadada wanakuja juu. Ila walimaliza 12 points nyuma ya Chelsea.

Msimu ujao Slegers afanye juu chini amrudishe Chloe Kelly nyumbani. Kama siyo kwa boli lake tu basi angalau tuongeze idadi ya wachezaji wanaopenda wanaume tupate hata ka tumaini kwamba mwamba wake akiteleza sisi tunaweza kuchangamkia fursa.



1747157990208.png


1747158077505.png


Au unasemaje Montserrat ?
 
Madrid wamekubaliana na Dean ila wameiambia Bournemouth kwamba watalipa 50M £ katika awamu 3.

Tajiri miluzi anaweza kutumia hii kwa advantage yake
 
Natamani tupate striker ambaye ni typically not our player.yaani mtu ambaye anazingatia jukumu la msingi la nafasi yake tu which is scoring.

Mambo ya link up play
Passing ability
Runs etc hayo yawe ziada.
Hizo sifa ndo zilituletea kina lacca,Kai na wengine

Mi naona better aje sesko, jamaa ni mrefu(aerial threat) ni msaada tukitumia cross kwa low block teams, pia nimemchek kwenye mechi chache ni presser mzuri na ana speed kuliko victor
 
Back
Top Bottom