HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,674
- 7,130
Makofi tunawapigia na mabao tunawapiga pia. Bahati yao tu leo tulikula kadi nyekundu ila maji wangeita mma.Yaani mkaingia mkajipanga mkaanza kupiga makofi 😂😂 , wakati si tunawapiga liverpool kuchukua carabao , nyinyi mnajipanga kupiga makofi ila arsenal fans mnatia huruma sana.