HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Si unaona huwaoni humu?Nzi watakimbia
Si unaona huwaoni humu?Nzi watakimbia
Enzi hizo tulikuwa wamoto bhanaa. Yaani ubingwa ulikuwa nje nje yaani.
Makofi tunawapigia na mabao tunawapiga pia. Bahati yao tu leo tulikula kadi nyekundu ila maji wangeita mma.Yaani mkaingia mkajipanga mkaanza kupiga makofi 😂😂 , wakati si tunawapiga liverpool kuchukua carabao , nyinyi mnajipanga kupiga makofi ila arsenal fans mnatia huruma sana.
Ulisoma ujumbe wao lakini 😆Makofi tunawapigia na mabao tunawapiga pia. Bahati yao tu leo tulikula kadi nyekundu ila maji wangeita mma.
Yup. Utani lazima uwepo.Ulisoma ujumbe wao lakini 😆
Kuna kenge zinapata nguvu ya kujiaminisha zina msimu mzuri kuliko arsenal
Kwa format ya zamani hawavuki RO16 kwenye iyo EL
View attachment 3331477


Timu zote za England zinazocheza fainali mashindano ya ulaya jana zimefungwa goli 2-0, basi kwa akili ya ya Arsenyau umejua ni coincidence.