MrKanteChelsea
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 655
- 823
Nyie ase8 leo umeupiga mwingi


Aiseeee nimeamini kweli uchawi upo, mbaya zaidi mechi inayofata Camavinga hachezi. Hii ndo hofu yangu kuu.Swala linabaki palepale.
Madrid wamezidi kuona wanachokosa kwa Saliba
Ndiyo hivyo tena.Yaani Kiwior na Skelly waishinde Madrid?
All the timeGod is great
Tungepiga 7 hawa.Huyu kipa apewe maua yake aisee.
Sisi tukipiga 5. 😀Hapo Benabeu tunapiga jitu goli 4
Rangi gani?Unasumbuliwa na ubaguzi wa rangi
Sasa man united wameingiaje hapa?Aisee kumbe Man utd sio wachovu kama madrid.
Aje psg nusu fainali, aston villa anakuaga mchawi mchawi sanaNdugu yangu mkorea usijiaminishe sana, kumbuka hili litimu lenu halishindwi kuwafanyia surprise pale Santiago Bernabeu mpaka ukahisi roho inataka kuachana na kiwiliwili.