toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,428
- 2,813
Hii ndo hofu yangu kuu.Swala linabaki palepale.
Madrid wamezidi kuona wanachokosa kwa Saliba
Kama wakiamua kumuijia in full force basi hatunaye
Hii ndo hofu yangu kuu.Swala linabaki palepale.
Madrid wamezidi kuona wanachokosa kwa Saliba
Ndiyo hivyo tena.Yaani Kiwior na Skelly waishinde Madrid?
All the timeGod is great
Tungepiga 7 hawa.Huyu kipa apewe maua yake aisee.
Sisi tukipiga 5. 😀Hapo Benabeu tunapiga jitu goli 4
Rangi gani?Unasumbuliwa na ubaguzi wa rangi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndugu yangu mkorea usijiaminishe sana, kumbuka hili litimu lenu halishindwi kuwafanyia surprise pale Santiago Bernabeu mpaka ukahisi roho inataka kuachana na kiwiliwili.Madrid out
This is arsenal [emoji91][emoji91][emoji91]3
Sasa man united wameingiaje hapa?Aisee kumbe Man utd sio wachovu kama madrid.
Aje psg nusu fainali, aston villa anakuaga mchawi mchawi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndugu yangu mkorea usijiaminishe sana, kumbuka hili litimu lenu halishindwi kuwafanyia surprise pale Santiago Bernabeu mpaka ukahisi roho inataka kuachana na kiwiliwili.