Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aiseeee nimeamini kweli uchawi upo, mbaya zaidi mechi inayofata Camavinga hachezi.
Chakusikitisha zaidi Bayern Munich nae kapigwa nyumbani kwake goli 2-1 Inter Milan.
Kama namuona vile Masingeli atakavyo kuja kusumbua humu na false hopes zake.
 
IMG-20250409-WA0015.jpg
 
Sema tu vinici.. hakuwepo game ijayo akiwepo hatoki mtu.

Hints.
Timber ana nguvu akili utulivu na kasi

Partey ni kiungo bora sana kwa leo yy ndo kawa playmaker wa pasi zote zinazofika kwa Bukayo

Arsenal ni Bukayo bukayo ni Arsenal

Rice ameonesha anachofanya mazoezini yaani amebadilisha imagination kuwa realities

Merino kucheza kama namba tisa ni surprise kwa wengi sana

Arsenal msimu ujao itafute strka itakuwa team nzuri sana na unstoppable
 
Back
Top Bottom