Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Group O hawajawahi kuaminika… 😹
Ukiachia upenyo imooooo…!!
Sasa we hata ikiwemo unapungukiwa nini, si unazungusha nyonga tu ili kupUnguza muda wa kukaa juu 🤣😂, dk 5-7 wazungu hawa hapa. 🤣
 
Unateseka ukiwa wapi kijana? Hivi tangu jana umekunywa hata maji kweli? Maana najua usingizi hukupata sababu ya kutokuamini kile ulichokiamini pale Emirate.

Labda nikujuze tu wewe na wenzako mnaoishi kimazoea, Arsenal hii ya Sasa ina uwezo wa kucheza kwenye uwanja wowote dhidi ya mkubwa yoyote na ikapata matokeo, maana tayari wachezaji wa waliopo wana ile charisma ya kucheza mechi kubwa zenye pressure.

kwa mtu yeyote anayejua mpira yale matokeo ya jana hayawezi kumshangaza, maana katika ya timu zote 8 zilizobaki real madrid ni timu iliyofika hapa kwa uzoefu tu na na wala si kwa ubora.

Na ilikuwa ni suala la muda tu wakutane na timu iliyobora kuliko wao ya kuwa expose Kuwa wao ni timu dhaifu... angalia hata huko nyuma alipotoka amekutana na mbovu mwenzie manchester city na kibonde wake wa miaka yote Atletico madrid.

Jana tumeona gap kubwa sana la ubora kati ya gunners na madrid, halafu eti unategemea madrid ataenda kupindua ubao kwake bernabeu? Hizo ni ndoto za alinacha... Achana na habari za Liverpool vs barca.... ile liverpool haikuwa chujio hivi kama hii madrid ya sasa, na pia Arsenal haina defense mbovu kama ile barca ya 2019.

Labda kwa ushauri tu ukiwa kama muombea mabaya, hizo dua zako labda uziamishie kwa Inter ambaye tutakutana nae fainali, maana hapo nusu fainali sioni wa kutuzuia na pia kule upande wa pili sioni wa kumzuia Inter asifike fainali.
Unaujua mpira
 
Hawa PSG baada ya game ya jana hawana tena mechi yoyote mpaka wiki ijayo wanapokutana tena na Villa waliowapiga 3 - 1.

Wakati huo huo Villa atacheza na Soton tarehe 12 halafu tarehe 15 anatakiwa akutane na PSG kuwalipa hiki kipigo.

Huku kwingine ni Arsenal ana mechi tarehe 12 dhidi ya Brentford halafu tarehe 16 ana mechi dhidi ya Madrid. Yeye Madrid ana mechi tarehe 13 dhidi ya Deportivo Alaves halafu on 16th anatakiwa kufanya comeback dhidi ya Arsenal.

Hii ratiba inampika Villa
 
Hawa PSG baada ya game ya jana hawana tena mechi yoyote mpaka wiki ijayo wanapokutana tena na Villa waliowapiga 3 - 1.

Wakati huo huo Villa atacheza na Soton tarehe 12 halafu tarehe 15 anatakiwa akutane na PSG kuwalipa hiki kipigo.

Huku kwingine ni Arsenal ana mechi tarehe 12 dhidi ya Brentford halafu tarehe 16 ana mechi dhidi ya Madrid. Yeye Madrid ana mechi tarehe 13 dhidi ya Deportivo Alaves halafu on 16th anatakiwa kufanya comeback dhidi ya Arsenal.

Hii ratiba inampika Villa
Villa safari yake ndio imeishia hapa, na anapigwa home kwake pale chuma 2 au 3 tena,, wajalibu tena mwakani
 
Hawa Barcelona wanapiga mpira aisee. Natamani tukutane nao fainali ikiwezekana ili tujipime nao. Tukiwapiga tunabeba kombe na wakitupiga tunakuwa tumepata somo zuri na tumaini ni tutaboresha kikosi kwa ajili ya kupambana na upinzani wa level ile, kwa msimu ujao.
 
Hawa Barcelona wanapiga mpira aisee. Natamani tukutane nao fainali ikiwezekana ili tujipime nao. Tukiwapiga tunabeba kombe na wakitupiga tunakuwa tumepata somo zuri na tumaini ni tutaboresha kikosi kwa ajili ya kupambana na upinzani wa level ile, kwa msimu ujao.
Nah bro.

We have the best defense in the world.

Zile chance za counter watazikosa utashangaa
 
Back
Top Bottom