Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

𝐉𝐮𝐫𝐫𝐢𝐞𝐧 𝐓𝐢𝐦𝐛𝐞𝐫 𝐯𝐬. 𝐕𝐢𝐧í𝐜𝐢𝐮𝐬 𝐉𝐫.

Arsenal made a bold call — pushing Bukayo Saka high up the pitch and trusting Jurrien Timber to handle Vinícius Jr. 1v1. And he delivered flawlessly.

With composure, precision, and those trademark telescopic legs, Timber shut down one of the world’s most dangerous wingers. Even if you get past him once, he’s right back on you — you have to beat him twice to escape, and Vini couldn’t do it.

Let’s not forget: Timber is only 23 and just returned from an ACL injury. To come back this strong, this sharp, and this fearless — it’s simply elite.

Vinícius Jr. vs Arsenal:
goals
assists
shots on target
chances created
key passes
successful dribbles
accurate crosses

Jurrien Timber in Arsenal’s 3-0 win over Real Madrid:
◉ 𝙈𝙊𝙎𝙏 duels won – 𝟴
◉ 𝙈𝙊𝙎𝙏 tackles – 𝟯
◉ 𝟰𝟴/𝟱𝟭 passes completed
◉ 𝟱 ball recoveries

A world-class performance. Timber didn’t just pass the test — he shut the lights off on one of football’s brightest stars.
IMG-20250410-WA0007.jpg
 
Tabia ni ile ile haijaisha.

Arsenal itaambiwa ukikutana na A, umekwisha. A atapigwa utasikia sasa msubiri C. C atapigwa pia.

NIliwahi sema, let's enjoy our ball. Clueless fans and the like watatafuta pa kwenda kumwagia machozi yao.
 
Last time Arsenal vs Barcelona

View attachment 3298711
Aaaah aah kijana unaongelea mechi ya kirafiki tena kocha akiwa Xavi Barca iliyokuwa inajitafuta.

Baada ya mechi hii Xavi alilalamika Arsenal mlikuwa serious kuliko alivyotarajia kwenye mechi ya kirafiki.


Sasa nakuonesha mechi za maana sio hili bonanza lako.
Screenshot_20250410-102918_Chrome.jpg

Hiyo ni mechi ya robo fainali UCL.

Aggregate ilisoma 6-3

Mwaka huo mimi ni bingwa nimemchakaza man u fainali.
Screenshot_20250410-102809_Chrome.jpg

Hii ni fainali CL nimekufumua nimebeba ndoo.



We leta hata mechi moja serious uliyomfunga barca ukiachilia mbali hiyo mechi yako ya kirafiki uliyokamia.
Screenshot_20250410-103649_Chrome.jpg
 
Wanatuletea historia zao, ila tukiwaambia Madrid hana historia ya kupata goli dhidi ya Arsenal hata la kusingizia (acha kushinda mechi) inaanza milia
 
Huyo ni kada wa arsenal ambae ukimuona tu jua nyumbu na kenge kazi wanayo
Flano
Aaahhhhh waaapi, Masingeli ni muoga kunguru kasingiziwa.
Halafu huyo mwamba hana tofauti yoyote na zile predictions za allypipi
Siku ya mechi mkimuona Masingeli humu basi mjue mmefungwa, ni bora awe anaendelea kuchungulia tu hivihivi baada ya timu kupata matokeo.
1714807120146.jpg
 
Aaaah aah kijana unaongelea mechi ya kirafiki tena kocha akiwa Xavi Barca iliyokuwa inajitafuta.

Baada ya mechi hii Xavi alilalamika Arsenal mlikuwa serious kuliko alivyotarajia kwenye mechi ya kirafiki.


Sasa nakuonesha mechi za maana sio hili bonanza lako.
View attachment 3298723
Hiyo ni mechi ya robo fainali UCL.

Aggregate ilisoma 6-3

Mwaka huo mimi ni bingwa nimemchakaza man u fainali.
View attachment 3298727
Hii ni fainali CL nimekufumua nimebeba ndoo.
View attachment 3298727

We leta hata mechi moja serious uliyomfunga barca ukiachilia mbali hiyo mechi yako ya kirafiki uliyokamia.
Hizo zote ulizopost ni kweli zilitokea.

Hizo zilitokea kipindi ambacho Barcelona ilikua inatembeza rushwa kwa marefa. Hapa utakumbuka ile red card ya Van Persie kama ulikua unaangalia mechi kipindi hicho.

Unamtaja Xavi kama siye kocha mliyetamani asiondoke. Nimekuonyesha mechi recent umenionyesha mechi za miaka ya nyuma wakati mna pesa ya kugawa rushwa.

I hope utamtoa Inter
 
Tabia ni ile ile haijaisha.

Arsenal itaambiwa ukikutana na A, umekwisha. A atapigwa utasikia sasa msubiri C. C atapigwa pia.

NIliwahi sema, let's enjoy our ball. Clueless fans and the like watatafuta pa kwenda kumwagia machozi yao.

Wengi bado hawajaelewa kuwa huwa tukiwa kwenye form na tukiamka vizuri tukaamua kumcharaza mtu, hakuna timu tusiyoweza kuipiga.

Wengi pia wanasahau kuwa PGMOL na FA na wabaya wetu wengine wa hivyo hawako UCL. Wanasahau kuwa tusingekuwa tunadhulumiwa na hawa wahuni, tungekuwa sambamba na Livakuku kwenye EPL, licha ya majeruhi wa kutosha kwenye timu yetu.
 
Aseno muwe na akiba ya maneno sasa!
Hivi ikitokea mmeshinda kombe lenyewe si mtasema UCL sio size yenu kabisa!
Wewe ngoja tu tubahatike kumchapa Madrid wiki ijayo na kuingia nusu fainali. Mimi mwenyewe nitahakikisha naingia kila jukwaa na kuanza kutangaza kuwa ubingwa wa UCL haututoshi sisi timu kubwa kama Gunners na kwamba rasmi tunaanza kuifukuzia EPL pia ili tubebe double.
 
Aaaah aah kijana unaongelea mechi ya kirafiki tena kocha akiwa Xavi Barca iliyokuwa inajitafuta.

Baada ya mechi hii Xavi alilalamika Arsenal mlikuwa serious kuliko alivyotarajia kwenye mechi ya kirafiki.


Sasa nakuonesha mechi za maana sio hili bonanza lako.
View attachment 3298723
Hiyo ni mechi ya robo fainali UCL.

Aggregate ilisoma 6-3

Mwaka huo mimi ni bingwa nimemchakaza man u fainali.
View attachment 3298727
Hii ni fainali CL nimekufumua nimebeba ndoo.



We leta hata mechi moja serious uliyomfunga barca ukiachilia mbali hiyo mechi yako ya kirafiki uliyokamia.View attachment 3298736
Barcelona sio timu ya kututishia nyau hata kidogo, Barcelona bila Messi hamna sumu
 
Back
Top Bottom