Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila mpira unaweza kuwa chizi ujue, mwaka juzi sie Citizens tunatolewa na Madrid semi final, afu dkk za mwishoni, penalt ya mwsho ya maangamizi anapiga Benzema,

Nyie nilipiga ukunga huo, nyumba nzima walisikia kile kilio, naropokwa hata visivyokuwepo, siku ya 2 campus natukana mate wenzangu km vile sina akili nzuri,

Ba tamu ananiongelesha, namuambia wee Fala em nipotezee bhana, 😂😂😂😂😂😂

Inaumajee.
Ulipiga yowe 😀😃😃😃
 
Sio kwa yowe lile nililopiga, nyie nililia, sikulala ile siku, naona maruwe ruwe, kitanda km kinazunguka vileee
Woiiiiiih 😂😂😂😂😂
Pole sana Hilo yowe hata Mimi nililitoa siku ile psg anatupiga sie Liverpool sio powa nilikuwa naona mauza uza kama hivi
94b26cfc4336f254930c464dab4c072a.gif
 
Back
Top Bottom