Chick_tz
JF-Expert Member
- Mar 2, 2025
- 2,333
- 3,014
Wanaume wa mitutuWalisema Liverpool wazembe
Tukasema ngoja waende wao wanaume wa shoka mahodari wabebe uefa.
Wanaume wa mitutuWalisema Liverpool wazembe
Tukasema ngoja waende wao wanaume wa shoka mahodari wabebe uefa.
Alikuwa eti anamendea free kick nje ya 18 ili abahatishe kama Madrid fest round.Rice kakabwa, we didn't see his sparks
Ulipiga yowe 😀😃😃😃Ila mpira unaweza kuwa chizi ujue, mwaka juzi sie Citizens tunatolewa na Madrid semi final, afu dkk za mwishoni, penalt ya mwsho ya maangamizi anapiga Benzema,
Nyie nilipiga ukunga huo, nyumba nzima walisikia kile kilio, naropokwa hata visivyokuwepo, siku ya 2 campus natukana mate wenzangu km vile sina akili nzuri,
Ba tamu ananiongelesha, namuambia wee Fala em nipotezee bhana, 😂😂😂😂😂😂
Inaumajee.
Sio kwa yowe lile nililopiga, nyie nililia, sikulala ile siku, naona maruwe ruwe, kitanda km kinazunguka vileeeUlipiga yowe 😀😃😃😃
Huu unyama anaoufanya PSG hata angekuwepo Rosisky, flamini, Mertesacker, Ozil au hata Van Persie haitoboiPengo la Partey ni kubwa sana
Pole sana Hilo yowe hata Mimi nililitoa siku ile psg anatupiga sie Liverpool sio powa nilikuwa naona mauza uza kama hiviSio kwa yowe lile nililopiga, nyie nililia, sikulala ile siku, naona maruwe ruwe, kitanda km kinazunguka vileee
Woiiiiiih 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Pole sana Hilo yowe hata Mimi nililitoa siku ile psg anatupiga sie Liverpool sio powa nilikuwa naona mauza uza kama hiviView attachment 3320200
Wapo na Hali mbayaMashabik wa arsenal mbona hawatak ku reply kweny uzi wao pendwa
NimekubaliPSG watapata ushindi mwembamba
Game ijayo wanaweza kula 5😀😃😃😂😂😂😂😂
Arsenal, walitaka wafanye km citizens mwaka jana, wasijue UEFA sio premier. Lol
PSG anaelekea kuku prove wrong.Wewe unahisi baada ya Madrid timu gani itaizuia Arsenal?
NashauriHuu uzi ufutwe kwa sababu arsenal wamekimbia
Wee subiri wakafike pale Paris, watajua hawajui. LolGame ijayo wanaweza kula 5😀😃😃
Mmhbaada ya kumng'oa Madrid, Arsenal jiandaeni kunyanyua kwapa
Subiri siku icheze arsenal women utaona wadau watakavyojaa humu 😂😂Huu uzi ufutwe kwa sababu arsenal wamekimbia
😀😃😃😃Mmh
Kwapa lipi?