Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii game inatakiwa muuwane humo uwanjani na damu zimwagike na ndio maana ilikuwa a highly anticipated match maana timu zote zina quality lakin mmoja kama yupo slightly on form kidogo zaidi kwaio hapo ni mwendo wa mchaka mchaka kama walio upitia aston vila na Liverpool
 
Back
Top Bottom