John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Wenzao walikuwa wanapiga mazoezi kwelikweli wao wapo busy wanapanga mistari kama foleni ya kuingia kwenye mwendokasi 😂Naangalia mazoezi ya psg hapa. Nawashauri msiingize timu uwanjani.
Wenzao walikuwa wanapiga mazoezi kwelikweli wao wapo busy wanapanga mistari kama foleni ya kuingia kwenye mwendokasi 😂Naangalia mazoezi ya psg hapa. Nawashauri msiingize timu uwanjani.
Tena foleni yenyewe ya Moroco hiiWenzao walikuwa wanapiga mazoezi kwelikweli wao wapo busy wanapanga mistari kama foleni ya kuingia kwenye mwendokasi 😂
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Wenzao walikuwa wanapiga mazoezi kwelikweli wao wapo busy wanapanga mistari kama foleni ya kuingia kwenye mwendokasi 😂
🤣🤣🤣🤣Uliwaonya hawakutaka kukuskia.
Hatimaye walichokitaka wamekipata.
Inawezekana ila show badoKama masihara ndo inakutoa hivyo.
Liverpool ni viazi.Tunawakumbusha huko paris Liverpool ali toka na off target 2 on target 1 possession 70 kwa 30 huko ni jela nyengine hawafuniki kibakuli kama bernabeu ila matusi Yake ni yaki comasava
Obviously.Mpinzani nae atafanya hivyohivyo
Itakua hujawahi kukuta tukibishana 😅
Kabisa brother, hawa hawajui kwanini tunawaona wehu, hii Arsenal ingekua na kina Rice na saliba kila position. Wangefanya jambo.Timu kam Liverpool hairidhishwi na kiwango cha wachezaji kama Luis diaz, Nunez, Jota ila kuna wapuuzi hawa wao wanaamini kabisa Moreno, Trossad na Martinelli ni best na watawapa taji la UCL.
Miamba wanakwambia walimtoa madrid kwaiyo wanaweza kuitoa timu yeyote, bila kujali hata hiyo madrid wameitoa ikiwa na hali gani.Nilisema hapa ongeeni ila siku ya mechi lazima mjambe jambe hovyo mnapanga ratiba ya fainali wakati hamjavuka kigingi cha psg yaani mliichukulia psg wanyela kama Madrid sio jiandaeni na msimu ujao hamna mlichovuna mkicheza top four mtaisikia kwenye bomba