Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pole sana Hilo yowe hata Mimi nililitoa siku ile psg anatupiga sie Liverpool sio powa nilikuwa naona mauza uza kama hiviView attachment 3320200
Hiyo ndio raha ya UEFA🤣...mimi nakumbuka fainali ya 2005 Liverpool anarudisha goli 3 dhidi ya Milan halafu wanabeba kombe ile mechi aisee nusu nizimie nilishangaa nasikia maumivu makali kifuani halafu kama hewa inakata nashindwa kuongea. Nakumbuka nilifakamia konyagi kama sina akili nzuri kupunguza maumivu lakini wapi ....mpaka leo sijawahi kuisahau hiyo game
 
Hiyo ndio raha ya UEFA🤣...mimi nakumbuka fainali ya 2005 Liverpool anarudisha goli 3 dhidi ya Milan halafu wanabeba kombe ile mechi aisee nusu nizimie nilishangaa nasikia maumivu makali kifuani halafu kama hewa inakata nashindwa kuongea. Nakumbuka nilifakamia konyagi kama sina akili nzuri kupunguza maumivu lakini wapi ....mpaka leo sijawahi kuisahau hiyo game
Mkuu sio powa Mimi huwa nalia Kabisa aisee 😀 😀😃😃
 
Hiyo ndio raha ya UEFA🤣...mimi nakumbuka fainali ya 2005 Liverpool anarudisha goli 3 dhidi ya Milan halafu wanabeba kombe ile mechi aisee nusu nizimie nilishangaa nasikia maumivu makali kifuani halafu kama hewa inakata nashindwa kuongea. Nakumbuka nilifakamia konyagi kama sina akili nzuri kupunguza maumivu lakini wapi ....mpaka leo sijawahi kuisahau hiyo game
Mie match ambazo sitazisahau ni hii ya citizens kutolewa semi final na Madrid.

Afu Simba kutolewa na wydad kwa mikwaju ya penalt ktk quarter final CAFCL, chama na Kapombe walikosa, nililia ile siku hatarii.

Hizi game zita zisahau maishani. Lol
 
Mie match ambazo sitazisahau ni hii ya citizens kutolewa semi final na Madrid.

Afu Simba kutolewa na wydad kwa mikwaju ya penalt ktk quarter final CAFCL, chama na Kapombe walikosa, nililia ile siku hatarii.

Hizi game zita zisahau maishani. Lol
Hiyo ndio raha ya mpira...ndugu zetu wa Aseno naona hali si hali thread imekwama😃
 
Partey ayaikosa mech ya kwanza ya PSG

Arteta aje na midfield ya

Merino Rice Ø

Why?

PSG Wana midfield nzuri sana kwenye possession ila OOP (out of possession)ni wabovu sana

Walipokuja Emirates walituzidi kwenye possession,ila tuliwazidi Physicality na OOP , wakala 2-0


PSG watu wanaona ni timu tishio ila ubovu wao ni ukiwafanyia press wanakuwa ovyo kwenye kukaba ,

Na hiko kitu Mikel anakijua sana ,hata Villa Jana waliwafanyia hivo ,

Sasa kuwamaliza twende na midfield ya

Merino Rice Ø

Hapo Kuna physicality na OOP
Mtu akikusoma anaweza kujua uko serious kweli.

Kumbe unaandaa scene za comedy kama Ndaro.
 
Mimi naiona Arsenal na Barcelona fainali, je tutalipa kisasi cha 2006?

Katika maisha yangu ya soka mechi zilizowahi kuniuma, sikulala kabisa ni,
1. Arsenal Vs Barcelona UEFA Final 2006
2. France Vs Italy WC Final 2006
3. Yanga Vs USM Alger Caf CC Final 2023

Tumeshatafuna kubwa la maadui Madrid nothing can stop us.
Mmh

Mtu hata PSG hujamtoa unawaza fainali.

Hii timu mashabiki wake wanapenda kujipa matumaini yaliyopitiliza.
 
Yaani huyo Timbulo mnaetupigia makelele humu kua ndio beki bora duniani jinsi Kvicha anavyomnyanyasa sidhani kama atamaliza dakika 90 bila ya kuchezea umeme.
Akaamua kukimbia mechi sub yake akachukua Ben mweupe....😂
 
Back
Top Bottom