Hayo maneno wakituletea barcelona tutawapasua wa kina timbulo.ili kama mkitinga fainali muache kauli za kipuuzi eti we are 100% going to beat them huko kwa kina pedri na yamal si mtatolewa ulimi njee
Unawasahau BAYERN,BARCA,DORTMUND,INTER,PSG,LIVERArsenal hamtakuja kupata timu kama hii na hata kufika nafasi kama hii msimu ujao itakua ngumu hata ikitokea mkasajili huyo namba mnaye mmiss pale mbele. Msimu ujao kila timu mbovu inarudi kwenye makali yake Madrid, Man City, Chelsea mtaweza kutoboa nyie?
Mnacheza soka safi ila hamkukutana na kipimo sahihi.
Nimezitaja timu ambazo msimu huu hazikua kwenye ile fomu.Unawasahau BAYERN,BARCA,DORTMUND,INTER,PSG,LIVER
mi nshachomoa changu mapema tu nao malue lue tuGG imekataaa nacash out