Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,109
- 1,249,100
Pepe na Ramos nadhani walikua na addiction ya red cards wao hawakujali dakika wala mechi watakazokosa.
Kwa dakika mechi ilipofikia, aggregate na current score ya dakika zile ingekua dumb kutafuta red ambayo itafanya usicheze mechi tatu zijazo mkirudi CL.
Beki alikua sahihi kutofanya faulo