Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pepe na Ramos nadhani walikua na addiction ya red cards wao hawakujali dakika wala mechi watakazokosa.
Kwa dakika mechi ilipofikia, aggregate na current score ya dakika zile ingekua dumb kutafuta red ambayo itafanya usicheze mechi tatu zijazo mkirudi CL.

Beki alikua sahihi kutofanya faulo
 
Mara nyingi hua nasema ni rahisi kushinda tournament kuliko ligi.

Mfano sasa hivi ili kushinda CL umebakisha mechi 3 tu.

Mbili za nusu.

Moja ya fainali.

Hapa sasa ndiyo hua nasema unahitaji tactics kwa 99% na bahati kwa 1%

As of now bahati is not by our side kwa kuzingatia majeruhi waliopo kwenye kikosi chetu. So tunatakiwa kuwekeza kwenye tactics kwa 100% na kuanza kutengeneza mentality za wachezaji wetu.

Ule upuuzi wa unashangaa mchezaji wetu anamkaba mtu, ngumi, panicking ndiyo muda wa kuambiana ukweli kwamba we are not far from glory
 
Nilikuwa machokoroni, si unajua harakati za mtu mweusi..

Vijana wamefanya kazi kubwa,
Wale vijana wa kataa ndoa wajifunze hapa.
Hii no faida ya ndoa hupangiwi pa kumtafunia mkeo, hata ukienda nyumbani kwao utapewa chumba cha kulala nae, sio Kulala ni KUMLA mkeo
Madrid ni kama wake zetu, tunawatanunia popote pale tukijisikia, hata kwao🤣🤣
makaveli10 uko wapi sheikh wangu??
 
Nyie KENGE mmelala, bado tuko na nyie
1000594839.jpg
 
Mie nawakubali sana Arsenal, ila ile comeback ya Man Utd dhidi ya OL ni ya kihistoria.

#remontada kings
#comeback kings
 
Siku hizi naangalia mechi za timu zingine nikipata access. Jana nilipata access nikacheki games za Nyumbu na Lyon na Lazio na Bodo.

Ingawa jana ilikua siku ya mechi ila uzi wa nyumbu ulikua mtupu. Tangu saa nane mchana, no one dared to say anything. Nilifika uzi wao did a banter or two then left.

Walipokua 2 nil up few of them wakajitokeza mafichoni na kujaribu kuandika kitu. Ilivyokua suluhu wakakimbia tena.

If you look at them closer unagundua sisi pia tuliwahi kua hiyo stage. Tuliwahi kua na jukwaa ambalo hakuna mtu anatamani kuingia, and then Arteta came along saa hii hadi members wa timu zingine wanaingia wanaandika banter.

Kwa nyumbu walichofanya jana kimesababisha mtu kama ARV kuhisi kwamba yupo kiwango kimoja na Arsenal ya sasa. Kama wanaweza fanya zaidi ya pale hiyo ni juu yao ila Arsenal tumetoka kwenye matope si mchezo. Unaangalia mechi ya nyumbu na Lyon na unaona kwamba yeyote kati yao angecheza na timu yako anafungwa bila ubishi.

It's such a relief
 
Siku hizi naangalia mechi za timu zingine nikipata access. Jana nilipata access nikacheki games za Nyumbu na Lyon na Lazio na Bodo.

Ingawa jana ilikua siku ya mechi ila uzi wa nyumbu ulikua mtupu. Tangu saa nane mchana, no one dared to say anything. Nilifika uzi wao did a banter or two then left.

Walipokua 2 nil up few of them wakajitokeza mafichoni na kujaribu kuandika kitu. Ilivyokua suluhu wakakimbia tena.

If you look at them closer unagundua sisi pia tuliwahi kua hiyo stage. Tuliwahi kua na jukwaa ambalo hakuna mtu anatamani kuingia, and then Arteta came along saa hii hadi members wa timu zingine wanaingia wanaandika banter.

Kwa nyumbu walichofanya jana kimesababisha mtu kama ARV kuhisi kwamba yupo kiwango kimoja na Arsenal ya sasa. Kama wanaweza fanya zaidi ya pale hiyo ni juu yao ila Arsenal tumetoka kwenye matope si mchezo. Unaangalia mechi ya nyumbu na Lyon na unaona kwamba yeyote kati yao angecheza na timu yako anafungwa bila ubishi.

It's such a relief
Wewe umejipata okay
Ila c tulishakutoa Fa na tukiwa pungufu?
 
Back
Top Bottom