Arsenal akichukua CL bila ST itakua ni generational story, considering majeruhi aliyoanza msimu na yakaendelea mpaka msimu unaisha.Tuseme zile kelele za kumtukana Kroenke na Arteta kwa kutosajili dirisha dogo la januari zimeishia wapi?
Je, ikitokea kama zali mkabeba UCL bila striker bado mtaona kuna umuhimu wa kusajili striker dirisha lijalo?
Au ndio kusema na nyie mmefika mliopofika kama bahati tu kiasi kwamba mkiambiwa mrudie itakuwa kipengele?
Itakua ni achievement kubwa kwa kuzingatia hata kikosi chetu cha invincible kilishindwa hiki kitu. Itakua ni best story ya kuhadithiana muda wa jioni vijiweni. Ila ni inamaanisha kusajili kuko palepale
Kama nyinyi mkirudi CL kwa mlango wa nyuma wa kuchukua Europa. Itakua the best underdog story.
