Kaka nime ishia ku download series na movie, site za mpira nime un install zoteππThere is always NEXT TIME...
πππ situmii kilevi ila najua nikipiga nusu kifuniko cha double kick, dk 5 nyingi nitakuwa nishazimaHuo usingizi wenyewe sasa utaupata basi?
#Arsenyo Kondoo
#Kai Kiazi
We cheli kalio tulia ππImagine kuna shabiki wa AssAnal ana app ya AssAnal π
Arteta amenisikitisha sana kumsajili Kai Havertz. Hii inaonesha kwamba mpaka sasa hajafahamu mahali tatizo la Arsenal lilipo.
Paundi 65m kama angetulia na akaziongezea kwa kumuuza Balogun, Tavares na Nketiah angeweza kumleta pale Osimhen. Kai sijui amemleta kufanya nini.
Usajili wa Declan Rice na Timber ni mzuri na kwa sehemu utasaidia kuimarisha kiungo na ulinzi lakini still Arsenal inahitaji goalkeeper ambaye yupo serious.
Wachezaji wa kawaida kama Reiss Nelson, Fabio Vieira, Rob Holding, Cedric Soares, Nicolas Pepe na Sambi Lokonga wanatakiwa kuondolewa haraka.
Msimu ujao nategemea Arsenal itabakia kwenye top four lakini masuala ya ubingwa tuendelee kuyasahau.
Hapa duniani timu ninayoipenda kuliko zote ni Arsenal FC ikifuatiwa na Simba SC na national teams za Tanzania na France.
Lakini niseme wazi kwamba kwa jinsi Arsenal inavyocheza mpira slow basi hatutakuja kamwe kubeba makombe makubwa.
Aina ya mpira wetu ungeweza kuwa hatari sana kama tungecheza kwa kasi. Kucheza taratibu hivi kunataka uwepo wa wachezaji exceptional ili kuweza kubeba makombe.
Barcelona iliweza kubeba makombe kwasababu walikuwa na Messi, Xavi na Iniesta, pia Puyol, Alves, Bosquet, Pique, Villa etc. Mara kadhaa walicheza kwa kasi na kupiga counter lakini mostly walitegemea hao wachezaji hatari.
Sasa hapa kwetu Arsenal kuna wachezaji sita ambao angalau wana winning mentality ni Rice, Saliba, Martinelli, Trossard, Partey na Saka. Na hawa wote ukiondoa Saliba na Rice ni normal players, sio exceptional.
Wachezaji ambao nawaona ni squad players na watakupa output ya kueleweka mostly kwenye mechi ndogo ni Odegaard, Magalhaes, White, Zinchenko, Tomiyasu na Gabriel Jesus. Nawapa muda Kiwior na Raya.
Wachezaji mizigo ni Elneny, Nelson, Havertz, Vieira, Nketiah, Rowe, Ramsdale na Soares. Hawa waondolewe haraka maana hawana faida yoyote. Akina Lokonga na Marquinhos waliopo mkopo wasirudi.
Kwahiyo katika hali hii nategemea Arsenal tutatolewa UCL kwenye robo fainali na tutaingia top 4 ya EPL kwa tabu sana. Tutatolewa FA siku chache zijazo.
Mwezi huu wa December tunaweza kupata point chache sana maana tumeshapoteza kwa aston villa na hapo bado broghton, liverpool, westham na fulham.
January apatikane beki wa kati, winga wa kulia na mshambuliaji hatari ili angalau kuokoa jahazi lisizame kuanzia February 2024.
Arteta na Edu waache kuleta wachezaji laini na waache huu mpira slow slow.
Nyie watoto mmeanza kuangalia mpira 2015 huwa mna mihemko sana.
Arsenal hakuna timu wala hakuna hope, wastage of time kushabikia timu ya arteta.
Niliandika hapa watu wakatukana. Tumeishia kupata point 4 mwezi december baada ya michezo mitano.
Kuanzia kwa Arteta mpaka timu yenyewe hakuna quality na spirit ya kuweza kubeba kombe kubwa.
Apatikane kocha ambaye ni tactical na sio huyu anapiga pasi zisizokuwa na umuhimu na mpira wake predictable.
Mnajipa stress bure ndugu zangu wa Arsenal. Mimi nilishajionea na kuweka wosia hapa. Ninashabikia hii timu tangu miaka ya tisini na huwa siwezi ku tolerate stupidity.
Nilirudi kuipa shout out Arsenal baada ya progress ya mwaka jana ila tulipotolewa europa na sporting cp halafu tukapoteana ligi kuu nilikuwa so suspicious.
Sasa kwa aina hii ya timu ninarudi zangu likizo mpaka atakapopatikana kocha wa kueleweka.
Hapa nilionesha dhahiri kwamba arteta hajui anachofanya. Hii ilikuwa July 2023. Anaacha kusajili watu wa kazi analeta takataka nyepesi.
Nawatakia kila la heri wale mashabiki lialia, I'm out.
Nadhani vijana wa kuovalodi na kuinvert wataanza kuelewa mpira kadri tunavyowafundisha. Nilieleza hapa arsenal inaweza kuwa timu ya hatari kama itacheza mpira wa kasi.
I just hope kwamba arteta ameanza kuuelewa mpira wa ushindani. Ni simple tu, wavute opponents halafu piga counter za hatari. Hapo hata UCL linawezekana kubebwa.
Arsenal bwanaNipo nacheki game, Kuna jitu moja linaitwa kai, linatembea na kukimbia kama lina kinyesi makalioni
Mtake radhi mchambuzi nguliHamiis 77 ni pure Manchester united fans its sad wakina mkorea castr henry computer arsenal wote wanashindwa kuliona yule sio pure arsenal fan kama wakina computer arsenal
kwa sasa yupo uko anachekea chooni akirudi hapa anakuja na statistics za jinsi kai alivo kuwa akisaidia LCM kum overload aston villa then viremba wake wanaona hopes za ubingwa kupitia yeye
Haka katim bana... Ligi ikishafika mwishoni ndio kinatupa taulo.
Bora ht sisi Chelsea, tulipanga kuanza kufanya maangamizi msimu ujao πHaka katim bana... Ligi ikishafika mwishoni ndio kinatupa taulo.
Uzuri upi huo unazungumzia, labda kuwafunga Arsenal. angekuwa tactician mzuri sidhani kama angeruhusu gape kubwa la points na walio juu. Ni midterm kocha tu kama wengine.. Na nafikiri Arsenal walichukua maamuzi sahihi kabisa kuachana nae kwasababu hakukuwa na falsafa yoyote aliyokuwa amepandikiza kwenye timu.. Pengine kufukuzwa Arsenal kulimfanya ku reevaluate carrier yake zai