Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna hii page msimu uliopita ilipost kushangilia kua top tukapoteza next games.

Last week kapost tena.

Leo tunapoteza games
 
ila wakina flano arv wanamjua hamiss 77 ni damu yao ya united sema analeta ushindani mzuri na upinzani na ndio maana anaumia sana ubovu wa man utd na kufungwa kwake na kocha wao ni mzuri kutoa kasoro kwa kwa man utd kuliko arsenal

we jiulize ni shabiki gani anaona mazur ya timu tu na wala haoni mistakes na kipindi cha mpito kama hichi anakula kona na akisa ubingwa ndo humuoni mazima mpaka msimu ujao
 
Hu
Kuna vitu hata Ordinary kocha anajua afanye nini.. Inashangaza kwanini timu imeingia uwanjani bila kuwa na Thomas Partey au Jorginho

Bro utagombana na watu humu ukimsema Kai Havertz... Maana kuna watu humu wanakuambia anawasumbua sana mabeki
Hilo suala ndio sitaki kusikia πŸ˜‚, usumbufu gani huo, yaani akawe msumbufu kuliko jesus, jesus mzuri akiwa na mali na hata bila mali.
Arteta akubali tu hapa kwa kai alipigwa. Na leo watuache tusiomkubali kai tutambe, wao huwa wanatamba saana anapobahatisha, unaweza kusema kai ndio bora duniani.. mie nakwambia yule kai kwenye timu yangu ya mtaani ya malegend(maveteran) hapati namba mchezaji hana skills, hana mnyumbuliko yupo yupo tu anacheza mpira basic mnoo, na kwa nafasi yake inahitajika zaidi ya hayo mtizame odegaard, jitu linakimbia kama lina gunzi matakoni.

Game ilimuhitaji partey ye akatoa odegaard serious, kisha likai likabaki ndani, sawa akataka atumie mipira ya juu je ana ubora huo.

Mie niko pale pale kai ni big NO hata kama akifunga goli 100 kwa msimu, anahitaji kujiupgrade.

Mbona declan rice hatumsemi, kuna mtu nilibishana nae saana yeye rice mie partey, ni kweli kwagu bado partey ni bora lakini kazi ya rice si ya kubezwa, nimekubali mziki, sio kwa huyu ngongoti kai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…