ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Na Bayern Munich usisahau mkuuBado ana Chelsea, man u,tot,Bournemouth hah
Na Bayern Munich usisahau mkuuBado ana Chelsea, man u,tot,Bournemouth hah
dogo watu tumaengalia fainali za Euro mwaka 2000 kati ya France na Italy uzangumzia Sheikh mansoor aliyemeleta Robert Sant Cruz Kutoka Blackburn Rovers juzi niheshimu kidogo basi ata kama nimekoseaYeah! Anachanganya huyo na wenzie wote walioanza shabikia mpira kipindi sheikh mansoor anainunua city
Naona kama vile humuoni Chelsea ila nakuambia Chelsea lazima amle uroda AssAnalBado ana game na Tot na man u hah
Bado ana Chelsea, man u,tot,Bournemouth hah
Wewe bado sana, mimi nimeangalia fainali za world cup 1994dogo watu tumaengalia fainali za Euro mwaka 2000 kati ya France na Italy uzangumzia Sheikh mansoor aliyemeleta Robert Sant Cruz Kutoka Blackburn Rovers juzi niheshimu kidogo basi ata kama nimekosea
Kwendaaaa potea kabisa, mlikuwa na kelele sana mbwa nyie.Duuh!!! Na hamu ya kucheki kitu kinaitwa mpira ndo imeishia hapa Kwa msimu wa 23/24
ile haikuwa kazi ya Rice, ilikuwa kazi ya Martinel kum make winger mwenzie, na ukiangalia move utaona mwanzo alikuwa yuko nae na ghafra akamuacha na kurudi ndaniGoli la kwanza Rice sijui alikuwa anawaza nini.. tired legs? Hapana, alikosa umakini.
Arse88 fungu la kukosa, wachezaji kibao wameondoka Arse88 wakaenda kubeba makombe, SAKA atazeeka anaona makombe kwnye Luninga.xhaka katoka arsenal kaenda zake Leverkusen kujibebea kombe
alijua tu huku hamna kitu ni full false hopes its sad
Leo inabidi nilale mapema nipooze kichwa![]()


Huo usingizi wenyewe sasa utaupata basi?Hakuna kulala leo fimbo tu kudaaadeki.Leo inabidi nilale mapema nipooze kichwa 😄😄