Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Liver tunawapiga
Nye nye nye😂😆
Nye nye nye😂😆
Hapa nilionesha dhahiri kwamba arteta hajui anachofanya. Hii ilikuwa July 2023. Anaacha kusajili watu wa kazi analeta takataka nyepesi.Arteta amenisikitisha sana kumsajili Kai Havertz. Hii inaonesha kwamba mpaka sasa hajafahamu mahali tatizo la Arsenal lilipo.
Paundi 65m kama angetulia na akaziongezea kwa kumuuza Balogun, Tavares na Nketiah angeweza kumleta pale Osimhen. Kai sijui amemleta kufanya nini.
Usajili wa Declan Rice na Timber ni mzuri na kwa sehemu utasaidia kuimarisha kiungo na ulinzi lakini still Arsenal inahitaji goalkeeper ambaye yupo serious.
Wachezaji wa kawaida kama Reiss Nelson, Fabio Vieira, Rob Holding, Cedric Soares, Nicolas Pepe na Sambi Lokonga wanatakiwa kuondolewa haraka.
Msimu ujao nategemea Arsenal itabakia kwenye top four lakini masuala ya ubingwa tuendelee kuyasahau.
Wenger orphans
Carabao cup out
FA out
EPL 4
hafu kuna mjinga kazi yake ni kuja kupiga kelele kwenye jukwaa la man u kwamba ten hag hafai wakati arteta msimu wa 5 huu mna dalili zote za kwenda trophres
Mwamba KiwiorHa haaaa haaaaaaaa safiiView attachment 2864965
Leo tunamkung'uta liverkuku za kutosha, akawahadithie Yale makenge ya darajani na unyumbuni
Kwnani hamis77 ndio Aaron Arsenal Mzee wa kukimbia ? maana wote kawaida yao kukimbia wakati timu inapofanya vibaya..Mlioliwa ela na muhindi poleni sana
Kaka hamis Aaron uje usikimbie jukwaa, maana wewe timu ikifungwa tu ndo unabanwa na majukumu yanakua mengi
Wewe ndio mshabiki wa Arsenal kweli ,achana na hawa akina Hamis feki ,wazee wa kupika Data uchwara , Arsenal na trophies wapi na wapi ?naangalia Movie
Netflix sitaki headache tangia tulose game 2 mfululizo nimekata tamaa kabisa ya kuona Arsenal anabeba one among major trophy
season hii nyie endeleeni kuburudika na football
️




Leo tunamkung'uta liverkuku za kutosha, akawahadithie Yale makenge ya darajani na unyumbuni
Pole jirani ,naona sikuhizi mmemua kufuata nyayo zetu kwa kupokea vipigo mfululizo , hivi mara ya mwisho mmeshinda lini vile ?Mkishamaliza kututukana/kutudhihaki mtupishe kidogo tuna kikao cha kifamilia











Arteta is nothing but a Spanish Southgate (Raya issue).Kweli mkuu......hata Rice sio mzuri sana ofensively.........Partey na Xhaka waĺkuwa wazur sana wanapokaribia lango la wapinzani.....mimi kwangu kwa mwaka jana tulihitaji kuboresha tu kwenye defence yetu kwa kumwongeza Rice acheze na Partey na Xhaka.......Rice akabe,xhaka na partey waweze kwenda juu....Halafu badala ya kumnunua Raya Ramsdale angebaki langoni tu hiyo hela tungeweka kwa fullback 3........siku moja niliwahi msikia sijui nani anasema "Arteta is trying to fix something that hasnt broken".......yule mchambuzi nilimuelewa kwamba manunuzi ya Raya hayakuwa ya lazima badala yake naona kama yangeelekezwa eneo lingne uwanjani.......Arteta na Edu watajifunza meng sana hii season.....Wakuu tustegemee kitu this season