Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na mkisema mwakani city ata drop kwa kucheza mind games zenu kisa aliondoka gundogan eti ata drop msimu huu silva nae ataenda then guess what

kuna hawa potential target wa city

1 jamal musiala mkataba wake upo ukingoni na hataki kuongeza mkataba japo anahusishwa sana na barca kwenda kuleta upinzani kwa madrid

2 lucas paqueta... huyu ilikuwa atue msimu uliopita ila kwa skendo zake za kubet deal lika collapse wakaamia, kwa covaci ila kwa sasa all allegations are cleared and rumors city are in advanced stage with signing him

3 florian writz japo huyu uwezekano ni 5/10 bado anweza salia Leverkusen msimu mwengine mmoja hii ni the new Germany tony kross model ya kizazi hiki

mnapojipanga msisahau na wahuni nao watajipanga na mwakani mtasema mlichukuaje point 4 kwa city
 
Na mkisema mwakani city ata drop kwa kucheza mind games zenu kisa aliondoka gundogan eti ata drop msimu huu silva nae ataenda then guess what

kuna hawa potential target wa city

1 jamal musiala mkataba wake upo ukingoni na hataki kuongeza mkataba japo anahusishwa sana na barca kwenda kuleta upinzani kwa madrid

2 lucas paqueta... huyu ilikuwa atue msimu uliopita ila kwa skendo zake za kubet deal lika collapse wakaamia, kwa covaci ila kwa sasa all allegations are cleared and rumors city are in advanced stage with signing him

3 florian writz japo huyu uwezekano ni 5/10 bado anweza salia Leverkusen msimu mwengine mmoja hii ni the new Germany tony kross model ya kizazi hiki

mnapojipanga msisahau na wahuni nao watajipanga na mwakani mtasema mlichukuaje point 4 kwa city
Wape na takwimu za msimu wa mwaka kesho kutwa😃
 
Arseyo ni kama kitumbua tu, ili kiive lazima kichomekwe spoku kigeuze upande wa pili kiwekewe mafuta halafu kichomekwe tena spoku huku kikiendelea kugeuzwa geuzwa mpaka kinakua chekundu(kinaiva)
Leo Villa alikua na kazi ya kuchomeka spoku na kukigeuza geuza mpaka ahakikishe kitumbua kimeiva
 
Kwani nao Arsenal walikuwa wanalitaka kombe la EPL, acheni utani bana
Nani ana profile ya kubeba kombe hapo
Havertz - Chelsea scraper
Jorginho - Chelsea scraper
Rice - Westham boy
Jesus - Man City scraper
Odegar - Real Madrid scraper

Niachie hapo, kwa sababu nawaona wachezaji wengi wa Arsenal ni mascarapers, hapo hakuna timu ya EPL wala UCL, hata Europa hakuna, basi tu waliingia humo kwa sababu ya ubovu wa Chelsea msimu huu
 
Arseyo ni kama kitumbua tu, ili kiive lazima kichomekwe spoku kigeuze upande wa pili kiwekewe mafuta halafu kichomekwe tena spoku huku kikiendelea kugeuzwa geuzwa mpaka kinakua chekundu(kinaiva)
Leo Villa alikua na kazi ya kuchomeka spoku na kukigeuza geuza mpaka ahakikishe kitumbua kimeiva
Bila kusahau ili achomekwe vzr n lazima amwagiwe mafuta mengi ili awe mlaini wakati wa kuingizwa spoku 😂
 
Achenali ni yule demu amemkazia jamaa muda mrefu afu anakuja kuachia dkk za mwisho jamaa anaamua kumpakia vumbi la Congo ili kwenda kusambaratisha uwanja baada ya kiu kubwa.
 
Kwa jinsi hawa wahuni walivyokuwa wanaichambua timu yao kwa madaha, utadhani wameishaweka kombe kwenye droo kumbe wanamzidi City na liverkuku point 1 tu!

Walitukondesha sana bila sababu hawa wajinga ngoja leo tutoe hasira zetu kabisa maana wakibahatisha back to back game 2 zijazo wataamka na hopes hewa kama kawaida yao.
 
hapo hamna kisingizio cha injury zaidi ya timber ambae sio potential starter

imagine aston vila injuries wake kina mings...luiz ...ramsey...buendia...kamara ....wapo full mkoko leo
Injury wao ni Lokonga pekee
 

Attachments

  • Screenshot_20240414_201908_All Goals.png
    Screenshot_20240414_201908_All Goals.png
    486.8 KB · Views: 13
Hivi kweli mnataka ubingwa Odegaard akupeni ubingwa

Alishindwa Fábregas
Alishindwa
Ozil
Alishindwa RVP
eti aje Odegaard aweze
Sio Odegaard mkuu, Masingeli na chawa zake mkorea na arsenal2004 wanadanganyana humu kua Kai Harvez ndio mchezaji wa kuleta makombe hapo Emirates, wanadai Kai ndio aliefunga goli kwenye fainali iliyowapea Chelsea ubingwa wa Uefa, hivyo Kai ana DNA ya makombe aliyotoka nayo the Blues na kuileta kwa G.gunners


#Once your bottlers, your always a bottlers.
 
Back
Top Bottom