ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Sentensi ya mwisho imeonesha ulivyo wa hovyo. Umebishaaaaaa wee kwa maandishi meengi, then mwishoni unakuja kukubali...poor.
Uzuri upi huo unazungumzia, labda kuwafunga Arsenal. angekuwa tactician mzuri sidhani kama angeruhusu gape kubwa la points na walio juu. Ni midterm kocha tu kama wengine.. Na nafikiri Arsenal walichukua maamuzi sahihi kabisa kuachana nae kwasababu hakukuwa na falsafa yoyote aliyokuwa amepandikiza kwenye timu.. Pengine kufukuzwa Arsenal kulimfanya ku reevaluate carrier yake zai



