Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa vijana wajinga sana bhana. Hawashoot. Utafikiri mpira hawajui

Hii shida sijajua kwa nini Arteta haiaddress kila siku. Hakuna timu itakusubiri upange mashambulizi hadi kwenye nyavu huku wanakuangalia tuu.

Juzi mechi ya Madrid v City inaamuliwa matokeo na long shots, na nadhani hiyo ndiyo namna rahisi na nzuri kumstukiza mpinzani. City mechi zake nyingi magoli ni ya mbali kwanza kisha akisha tangulia atakufunga anavyotaka sasa
 
Halftime ikatumike kuwajenga wachezaji psychological ili waache kupanick na wacheze wakiwa calmed

Ni wazi wangekuwa relaxed hadi halftime hamna hamna wangetoka wanaongoza ata goli 2
 
Back
Top Bottom