United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,596
mnakimbia nyuzi yenu
Acha uchawi basi, mbona villa wanapigika ss hivi tulia na uone 😂Aseno 0:1 Villa FT.
Niko palee 😂
Hawa vijana wajinga sana bhana. Hawashoot. Utafikiri mpira hawajuiShot takers? 🤔
Sana tu broTunazingua
Hawa vijana wajinga sana bhana. Hawashoot. Utafikiri mpira hawajui
Tulitakiwa tuwe na 3 saiviWe lack calmness
anacheza uku kichwani anawawaza cityGabriel Maghlahes amepanic
jidanganye game mbichi hiiVilla atapigwa tu, Ni swala la muda