Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Oh liver tunampiga kipigo cha mbwa koko


Tunavaa na jezi nyeupe kuwakomesha Liverpool
IMG_20230317_133330.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naendelea kuangalia new movies Netflix endeleeni kubishana na mipira yenu ya Arsenal team inapambwa sana na fake blood fans tukiongea naked truth kuwa tean haina coach wala good players tunatukanwa safi sana kungutweni hadi Akili ziwarudi STUPID!
Mkuu hii ni FA? Yaani tangu tuanze kuchezea I don't bother, we've been shit and crap!
 
Heshima ziwaendee Xhaka na Partey.........haki nawaambieni hawa jamaa walikuwa watu kweli kweli....hata hizo tactics zote mnazozungumza wao ndio walikuwa mastermind.......Now we need a proper striker
Niliwahi sema humu kwamba ode ni mlaini sana.ili upate ubora wake lazima azungukwe na quality sana hasa yenye work rate na dirt work kubwa.he is fragile with quality needed
 
Niliwahi sema humu kwamba ode ni mlaini sana.ili upate ubora wake lazima azungukwe na quality sana hasa yenye work rate na dirt work kubwa.he is fragile with quality needed
Kweli mkuu......hata Rice sio mzuri sana ofensively.........Partey na Xhaka waĺkuwa wazur sana wanapokaribia lango la wapinzani.....mimi kwangu kwa mwaka jana tulihitaji kuboresha tu kwenye defence yetu kwa kumwongeza Rice acheze na Partey na Xhaka.......Rice akabe,xhaka na partey waweze kwenda juu....Halafu badala ya kumnunua Raya Ramsdale angebaki langoni tu hiyo hela tungeweka kwa fullback 3........siku moja niliwahi msikia sijui nani anasema "Arteta is trying to fix something that hasnt broken".......yule mchambuzi nilimuelewa kwamba manunuzi ya Raya hayakuwa ya lazima badala yake naona kama yangeelekezwa eneo lingne uwanjani.......Arteta na Edu watajifunza meng sana hii season.....Wakuu tustegemee kitu this season
 
Sbr kama utamuona hapa huyu tapeli.

Yani ni kama mwehu.

Akija hapa na porojo zake za vijiweni utadhan team hii haina mpinzan dunian.
Mlevi yule, alipoanza kusema Mardid, bayern ni timu za kawaida. Pia Halland ni mchezaji wakawaida.Anakwambia Halland na Jesus anachukua Jesus hapa ndio nilianza kumuona kichwani hayupo sawa.
 
Hapa duniani timu ninayoipenda kuliko zote ni Arsenal FC ikifuatiwa na Simba SC na national teams za Tanzania na France.

Lakini niseme wazi kwamba kwa jinsi Arsenal inavyocheza mpira slow basi hatutakuja kamwe kubeba makombe makubwa.

Aina ya mpira wetu ungeweza kuwa hatari sana kama tungecheza kwa kasi. Kucheza taratibu hivi kunataka uwepo wa wachezaji exceptional ili kuweza kubeba makombe.

Barcelona iliweza kubeba makombe kwasababu walikuwa na Messi, Xavi na Iniesta, pia Puyol, Alves, Bosquet, Pique, Villa etc. Mara kadhaa walicheza kwa kasi na kupiga counter lakini mostly walitegemea hao wachezaji hatari.

Sasa hapa kwetu Arsenal kuna wachezaji sita ambao angalau wana winning mentality ni Rice, Saliba, Martinelli, Trossard, Partey na Saka. Na hawa wote ukiondoa Saliba na Rice ni normal players, sio exceptional.

Wachezaji ambao nawaona ni squad players na watakupa output ya kueleweka mostly kwenye mechi ndogo ni Odegaard, Magalhaes, White, Zinchenko, Tomiyasu na Gabriel Jesus. Nawapa muda Kiwior na Raya.

Wachezaji mizigo ni Elneny, Nelson, Havertz, Vieira, Nketiah, Rowe, Ramsdale na Soares. Hawa waondolewe haraka maana hawana faida yoyote. Akina Lokonga na Marquinhos waliopo mkopo wasirudi.

Kwahiyo katika hali hii nategemea Arsenal tutatolewa UCL kwenye robo fainali na tutaingia top 4 ya EPL kwa tabu sana. Tutatolewa FA siku chache zijazo.

Mwezi huu wa December tunaweza kupata point chache sana maana tumeshapoteza kwa aston villa na hapo bado broghton, liverpool, westham na fulham.

January apatikane beki wa kati, winga wa kulia na mshambuliaji hatari ili angalau kuokoa jahazi lisizame kuanzia February 2024.

Arteta na Edu waache kuleta wachezaji laini na waache huu mpira slow slow.
Mnajipa stress bure ndugu zangu wa Arsenal. Mimi nilishajionea na kuweka wosia hapa. Ninashabikia hii timu tangu miaka ya tisini na huwa siwezi ku tolerate stupidity.

Nilirudi kuipa shout out Arsenal baada ya progress ya mwaka jana ila tulipotolewa europa na sporting cp halafu tukapoteana ligi kuu nilikuwa so suspicious.

Sasa kwa aina hii ya timu ninarudi zangu likizo mpaka atakapopatikana kocha wa kueleweka.
 
Back
Top Bottom