Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Martinelli inabidi awe striker cuz ni mnyama sana akiwa karibu na goli, Arteta afanyie kazi hili suala. Kwenye timu yetu hatuna good finisher kumzidi Nelli. So zile tetesi za Rafa leao zinamake sense kama Nelli anasogea golini, target man anabaki leao sababu ya kimo, Nelli injini ya magoli, Saka creator.
 
Martinelli inabidi awe striker cuz ni mnyama sana akiwa karibu na goli, Arteta afanyie kazi hili suala. Kwenye timu yetu hatuna good finisher kumzidi Nelli. So zile tetesi za Rafa leao zinamake sense kama Nelli anasogea golini, target man anabaki leao sababu ya kimo, Nelli injini ya magoli, Saka creator.

Inawezekana anacheza na kufunga akiwa LW; akiwa CF anaweza kushindwa kufunga magoli
 
Jorginho ni no.6 mmoja hatari sana timu inapokuwa na mpira, ndani ya muda mchache aliocheza kapiga progressive passes 9 na assist juu, jamaa angekuwa na uwezo wa kudefend transitions mbali na kutegemea structure angekuwa best itw at 6.
IMG_20240120_182546.jpg
 
Mechi inaisha naamini ni juhudi zetu zimeexpose ubovu wa Palace ila mtangazaji anasema Palace wapo hovyo structure nzima.

Anyway, Eze sijui kwanini timu kubwa hazimfuati.

Olise na Eze wana nafasi Arsenal
 
Mechi inaisha naamini ni juhudi zetu zimeexpose ubovu wa Palace ila mtangazaji anasema Palace wapo hovyo structure nzima.

Anyway, Eze sijui kwanini timu kubwa hazimfuati.

Olise na Eze wana nafasi Arsenal
Ni wachezaji wa timu ndogo hao hawatotupa chochot
 
Naam leo arteta atakuwa kajifunza kuhusu pasi tatu/nne goli😂😂😂😂....
Mbinu pekee ya asenali kushinda ndio hiyo nasio mapasi mengiiii
Inategemea na mpinzani alivyokuja, kama wakiamua kupaki basi hauwezi kupiga mbili goli, lazima kuwe na mbinu ya kufungua low block ndiyo maana unaona pass nyingi
 
Lakini niseme wazi kwamba kwa jinsi Arsenal inavyocheza mpira slow basi hatutakuja kamwe kubeba makombe makubwa.

Aina ya mpira wetu ungeweza kuwa hatari sana kama tungecheza kwa kasi. Kucheza taratibu hivi kunataka uwepo wa wachezaji exceptional ili kuweza kubeba makombe.
Nadhani vijana wa kuovalodi na kuinvert wataanza kuelewa mpira kadri tunavyowafundisha. Nilieleza hapa arsenal inaweza kuwa timu ya hatari kama itacheza mpira wa kasi.

I just hope kwamba arteta ameanza kuuelewa mpira wa ushindani. Ni simple tu, wavute opponents halafu piga counter za hatari. Hapo hata UCL linawezekana kubebwa.
 
Back
Top Bottom