Martinelli inabidi awe striker cuz ni mnyama sana akiwa karibu na goli, Arteta afanyie kazi hili suala. Kwenye timu yetu hatuna good finisher kumzidi Nelli. So zile tetesi za Rafa leao zinamake sense kama Nelli anasogea golini, target man anabaki leao sababu ya kimo, Nelli injini ya magoli, Saka creator.
UongoHii issue vipi??
View attachment 2877401
10 seconds for goal number 4 from the moment Raya catches the ball to the ball hitting Palace's nets101 seconds between goal number 4 and 5
Ni wachezaji wa timu ndogo hao hawatotupa chochotMechi inaisha naamini ni juhudi zetu zimeexpose ubovu wa Palace ila mtangazaji anasema Palace wapo hovyo structure nzima.
Anyway, Eze sijui kwanini timu kubwa hazimfuati.
Olise na Eze wana nafasi Arsenal
Ni wachezaji wa timu ndogo hao hawatotupa chochot
Inategemea na mpinzani alivyokuja, kama wakiamua kupaki basi hauwezi kupiga mbili goli, lazima kuwe na mbinu ya kufungua low block ndiyo maana unaona pass nyingiNaam leo arteta atakuwa kajifunza kuhusu pasi tatu/nne goli😂😂😂😂....
Mbinu pekee ya asenali kushinda ndio hiyo nasio mapasi mengiiii
Nadhani vijana wa kuovalodi na kuinvert wataanza kuelewa mpira kadri tunavyowafundisha. Nilieleza hapa arsenal inaweza kuwa timu ya hatari kama itacheza mpira wa kasi.Lakini niseme wazi kwamba kwa jinsi Arsenal inavyocheza mpira slow basi hatutakuja kamwe kubeba makombe makubwa.
Aina ya mpira wetu ungeweza kuwa hatari sana kama tungecheza kwa kasi. Kucheza taratibu hivi kunataka uwepo wa wachezaji exceptional ili kuweza kubeba makombe.
Tumepuuza ofa ya westham kutaka kumchukua kwa mkopoKuna Namna mpira una flow kwenye njia zake akiwepo huyu bwana mdogo uwanjaniView attachment 2878059
Hatakiwi kuondoka kabisa uyo FundiTumepuuza ofa ya westham kutaka kumchukua kwa mkopo