Sema ni sehem ya ushabik siwez hamna haja ya kubishanaWewe aliekwambia Arteta anauchungu wa timu kuliko mashabiki ni nani?
Kwahiyo Arteta kipindi anacheza mpira Everton alikua ana uchungu na Arsenal si ndio maana yake!?
Sema ni sehem ya ushabik siwez hamna haja ya kubishanaWewe aliekwambia Arteta anauchungu wa timu kuliko mashabiki ni nani?
Kwahiyo Arteta kipindi anacheza mpira Everton alikua ana uchungu na Arsenal si ndio maana yake!?
Kuna jamaa anaitwa masingeli kawashikia akili anawaambia zote hizo wanipga kono la nyani, na walivyokua viazi wanamuamini. Yaani sijui mashabiki wote wa Kondoo ni watoto au huwa wanachangamsha tu jukwaa.Furaha yangu ni kuona Arsenyani wanatolewa UCL mapema. Kwenye EPL sina wasiwasi, next game wanakutana na mzee wa Good Ebening, bado wana London Derby: Chelsea & Spurs, hapo lazima wataacha points. Siku watakayokuja Old Trafford ndiyo tunamaliza kabisa matumaini yao msimu huu. 🤣
TROPHYLESS, AGAIN!!!
Tunaongea kwa takwimu mpaka sasa KAI ana magoli 11 mashindano yote kwenye epl 9 , wakati Gabriel anayo 4 epl 3 ,ntaenda na KAI kama kocha wako tunaangalia mchezaji mfungaji sio muhangaikajiHizo goli 13 umemsaidia wewe kufunga?
Nyie Arsenal mnachambuaga mechi zijazo utafikiri timu mpinzani watakuwa wamelala tu bila kujifunza kupitia previous match yani kanakwamba wao watarudi tu kama walivo cheza jana alafu wapo kwao its patheticKwangu muda mzuri wa bayern kutuadhibu ilikuwa jana.tulipaswa tukutane na suprise hasa.
Kama bayern wanatarajia kuiona same arsenal ya jana basi wanakosea.
Jana kulikuwa na a little panic hasa kwa idara ya ulinzi na next mechi vijana mentally watakuwa wameimarika.
Na pia natarajia bayern tofauti.
Game nzuri matokeo ya kawaida .
kabla mechi haijaanza nilisema kuwaonly delusional people (fans) will think arsenal is going to beat bayern today
kuna kitu kinaitwa experience over Quality
only time will tell![]()

Hahaaa, sawa mkuu, tuko pamoja kwenye big NO, na hii kwangu ni afunge asifunge kwangu kai hapana, abadilike kwanza.Kai Havertz kwangu afunge magoli muhimu au asifunge still sio mchezaji wa kuanza mbele ya Gabriel Jesus. No fuckin way!
And so sad Arteta halioni hilo kwa kuwa he's so dumb and deaf, hataki kusikia chochote kuhusu Kai, kaweza kum sacrifice Martinelli kwa kumtoa mapema ila sio Kai. Alikuwa na ubora gani wa kucheza all 85 minutes?
I can't pretend this, kwangu pia Kai ni big NO!
Nitarudia huu msemo wangu anytime, if we want to win at Allianz in the 2nd leg, Kai should be on the bench first. Then we can talk football, otherwise Arteta akishindwa kuliona hili atakua hana tofauti na Ten Hag.
Huna hoja mjombaSema ni sehem ya ushabik siwez hamna haja ya kubishana
Kuna waimba singeli humu walisema eti wanamtaka yeyoteJana nimchek game zote asee Madrid sio wa kuomba kukutana naye wanampira objective Sana hawana masiala ya pasi side ways then wanamwendo na technical wako classic Sana asee uefa sio masihara
Hapo unajisahaulisha kama Gabriel Jesus alikua ndio namba 9 yetu kabla ya kuumia na option ndio ikawa Kai acheze pale.Tunaongea kwa takwimu mpaka sasa KAI ana magoli 11 mashindano yote kwenye epl 9 , wakati Gabriel anayo 4 epl 3 ,ntaenda na KAI kama kocha wako tunaangalia mchezaji mfungaji sio muhangaikaji
Unajua kusoma lakini HUELEWI kilichoandikwa, tutakesha hapaKama humpendi. Huwa unajipanga kuangalia makosa yake zaidi kuliko y kiufundi... kwa hiyo asingeanza kwa sababu humpendi siyo
Mmeanza kumkataa superstar wenuArteta anathibitiha msemo wa "nobody is perfect" yaani kai ndio 9 wake, kidhati kabisa kai anafaa kuanza game na kina luton huko,
Kai hana mali mguuni, hamtishi beki, kai karelax mnoo yaani hata ile spirit ya kuonesha anapambania jambo uwanjani hamna, zile dk chache za gabriel jesus unaona kabisa huyu ni mchezaji.
Sielewi na sijui kipi anakiona kwa kai, kila mtu ja jicho lake na mipango yake, kwangu kai ni big NO.





,?Kama sisi ni WA kuungaunga nyny mtakuwa wa kunini🤠🤠...kuna mashabiki hamtakiwi kuwa mnapiga kelele hmu maana mna magenge ya uhalifu sio timu za mpiraPartey efusiiiiii
Mtaoga kwenye oil chafu pale Allianz Arena , kiufupi mtakipata cha mtema kuni na hili li timu lenu la kuunga unga na super glue
Kipa alikosea, alitoka sehemu ambayo beki wake hajashindwa alikuwa ana asilimia 95 ya kuucheza ule mpira, hivyo alikosea kutoka vile, katoka kwenda kuucheza sio kujisogeza apasiwe kwa urahisi, hili ndio kosa la raya,Timu inayocheza kwa mfumo wa high line pressing kipa lazma muda mwingi awe kwenye mstari wa box ya 18 au nje kabisa ili kutengeneza 1 extra outfield player anaye act kama defender kupunguza gap la space in case ukipigwa counter.
Kilichotokea jana ni moja ya weekness ya high pressing game, sio kosa la Raya 100%. Kila mfumo una faida na hasara zake
Kwa kwior sina shida nae, kwangu naona ni siku mbaya kazini, plus yule sane ni hatari, nilitamani kumuona mjapan akianza kumzuia kwior, ila sio kesi hawezi kulaumiwa kwa jana.Siku mbaya kazini kwa Kiwior, ila daaah, wadau wanavyomshambuli sasa. Wiki chache tuu, tulikuwa tunamuita Polish Maldini.
Mimi nilichojifunza, ni kumuamini Arteta na kumwacha afanye yake. Jesus juzi anasema hakumbuki lini amecheza bila maumivu. Leo mtu analalamika kwa nini Jesus hakuanza. Jamaa juu kazungumzia fitness ya mchezaji na vitu vingine ndo vinachangia nani aanze nani abaki sub.
Watu walilalamika De Bruyne kuanzia nje jana, kumbe jamaa ana Diarrhea.
Mwendo wa kono la nyani"Kazi bado haijaisha, tukienda Ujerumani tunampiga mkoloni kono la nyani halafu tunasonga zetu mbele, kati ya City na Madrid yoyote aje"
Alisikika kibwengo mmoja akiongea haya kwa kujiamini mbele ya kadamnasi ya watu.




Lini nilimkubali?Mmeanza kumkataa superstar wenu,?
Kwangu muda mzuri wa bayern kutuadhibu ilikuwa jana.tulipaswa tukutane na suprise hasa.
Kama bayern wanatarajia kuiona same arsenal ya jana basi wanakosea.
Jana kulikuwa na a little panic hasa kwa idara ya ulinzi na next mechi vijana mentally watakuwa wameimarika.
Na pia natarajia bayern tofauti.
Game nzuri matokeo ya kawaida .