Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Furaha yangu ni kuona Arsenyani wanatolewa UCL mapema. Kwenye EPL sina wasiwasi, next game wanakutana na mzee wa Good Ebening, bado wana London Derby: Chelsea & Spurs, hapo lazima wataacha points. Siku watakayokuja Old Trafford ndiyo tunamaliza kabisa matumaini yao msimu huu. 🤣

TROPHYLESS, AGAIN!!!
Kuna jamaa anaitwa masingeli kawashikia akili anawaambia zote hizo wanipga kono la nyani, na walivyokua viazi wanamuamini. Yaani sijui mashabiki wote wa Kondoo ni watoto au huwa wanachangamsha tu jukwaa.

Kawabrain wash mpk sasa wanamuona KAI ni mchezaji anaestahil Ballon D'or. kumbe kiuhalisia ni mchezaji anaewakaba wenzie.
 
Kwangu muda mzuri wa bayern kutuadhibu ilikuwa jana.tulipaswa tukutane na suprise hasa.
Kama bayern wanatarajia kuiona same arsenal ya jana basi wanakosea.
Jana kulikuwa na a little panic hasa kwa idara ya ulinzi na next mechi vijana mentally watakuwa wameimarika.
Na pia natarajia bayern tofauti.
Game nzuri matokeo ya kawaida .
 
Hizo goli 13 umemsaidia wewe kufunga?
Tunaongea kwa takwimu mpaka sasa KAI ana magoli 11 mashindano yote kwenye epl 9 , wakati Gabriel anayo 4 epl 3 ,ntaenda na KAI kama kocha wako tunaangalia mchezaji mfungaji sio muhangaikaji
 
Kwangu muda mzuri wa bayern kutuadhibu ilikuwa jana.tulipaswa tukutane na suprise hasa.
Kama bayern wanatarajia kuiona same arsenal ya jana basi wanakosea.
Jana kulikuwa na a little panic hasa kwa idara ya ulinzi na next mechi vijana mentally watakuwa wameimarika.
Na pia natarajia bayern tofauti.
Game nzuri matokeo ya kawaida .
Nyie Arsenal mnachambuaga mechi zijazo utafikiri timu mpinzani watakuwa wamelala tu bila kujifunza kupitia previous match yani kanakwamba wao watarudi tu kama walivo cheza jana alafu wapo kwao its pathetic

all in all bado game iko 50/50 kwa yeyote yule but Descpline ni kitu muhimu sana ili watu wasije wakapatwa na presha
 
only delusional people (fans) will think arsenal is going to beat bayern today

kuna kitu kinaitwa experience over Quality
only time will tell
kabla mechi haijaanza nilisema kuwa
 
Kai Havertz kwangu afunge magoli muhimu au asifunge still sio mchezaji wa kuanza mbele ya Gabriel Jesus. No fuckin way!

And so sad Arteta halioni hilo kwa kuwa he's so dumb and deaf, hataki kusikia chochote kuhusu Kai, kaweza kum sacrifice Martinelli kwa kumtoa mapema ila sio Kai. Alikuwa na ubora gani wa kucheza all 85 minutes?

I can't pretend this, kwangu pia Kai ni big NO!

Nitarudia huu msemo wangu anytime, if we want to win at Allianz in the 2nd leg, Kai should be on the bench first. Then we can talk football, otherwise Arteta akishindwa kuliona hili atakua hana tofauti na Ten Hag.
Hahaaa, sawa mkuu, tuko pamoja kwenye big NO, na hii kwangu ni afunge asifunge kwangu kai hapana, abadilike kwanza.
 
Jana nimchek game zote asee Madrid sio wa kuomba kukutana naye wanampira objective Sana hawana masiala ya pasi side ways then wanamwendo na technical wako classic Sana asee uefa sio masihara
Kuna waimba singeli humu walisema eti wanamtaka yeyote

Tukawaambia ombeni basi hata Barcelona,wanasema Bayern mwepesi 😂😂😂😂
 
Tunaongea kwa takwimu mpaka sasa KAI ana magoli 11 mashindano yote kwenye epl 9 , wakati Gabriel anayo 4 epl 3 ,ntaenda na KAI kama kocha wako tunaangalia mchezaji mfungaji sio muhangaikaji
Hapo unajisahaulisha kama Gabriel Jesus alikua ndio namba 9 yetu kabla ya kuumia na option ndio ikawa Kai acheze pale.

Kwa hayo magoli/assist Kai amefaidika zaidi kwenye ushindi wa 0-6, 5-0, 4-1, 0-3 ambazo hizo mechi zote kama angekuwepo Jesus angeshinda pia and maybe more.
 
Arteta anathibitiha msemo wa "nobody is perfect" yaani kai ndio 9 wake, kidhati kabisa kai anafaa kuanza game na kina luton huko,
Kai hana mali mguuni, hamtishi beki, kai karelax mnoo yaani hata ile spirit ya kuonesha anapambania jambo uwanjani hamna, zile dk chache za gabriel jesus unaona kabisa huyu ni mchezaji.

Sielewi na sijui kipi anakiona kwa kai, kila mtu ja jicho lake na mipango yake, kwangu kai ni big NO.
Mmeanza kumkataa superstar wenu ,?
 
Partey efusiiiiii
Mtaoga kwenye oil chafu pale Allianz Arena , kiufupi mtakipata cha mtema kuni na hili li timu lenu la kuunga unga na super glue
Kama sisi ni WA kuungaunga nyny mtakuwa wa kunini🤠🤠...kuna mashabiki hamtakiwi kuwa mnapiga kelele hmu maana mna magenge ya uhalifu sio timu za mpira
 
hii prediction ndio ambayo nilikua naiona muda mrefu ila lakin kwa hio final im rooting for psg for mbappe's fairwell
Screenshot_20240410-165521_Instagram-01.jpg
 
Timu inayocheza kwa mfumo wa high line pressing kipa lazma muda mwingi awe kwenye mstari wa box ya 18 au nje kabisa ili kutengeneza 1 extra outfield player anaye act kama defender kupunguza gap la space in case ukipigwa counter.

Kilichotokea jana ni moja ya weekness ya high pressing game, sio kosa la Raya 100%. Kila mfumo una faida na hasara zake
Kipa alikosea, alitoka sehemu ambayo beki wake hajashindwa alikuwa ana asilimia 95 ya kuucheza ule mpira, hivyo alikosea kutoka vile, katoka kwenda kuucheza sio kujisogeza apasiwe kwa urahisi, hili ndio kosa la raya,

Tunakubali kukosea ni sehemu ya mwanadamu na kwangu nahisi kosa lile ni la kwanza kwake, hatusemi HAKUKOSEA, kafanya kosa nasi tunaona ni bahati mbaya.
 
Siku mbaya kazini kwa Kiwior, ila daaah, wadau wanavyomshambuli sasa. Wiki chache tuu, tulikuwa tunamuita Polish Maldini.

Mimi nilichojifunza, ni kumuamini Arteta na kumwacha afanye yake. Jesus juzi anasema hakumbuki lini amecheza bila maumivu. Leo mtu analalamika kwa nini Jesus hakuanza. Jamaa juu kazungumzia fitness ya mchezaji na vitu vingine ndo vinachangia nani aanze nani abaki sub.

Watu walilalamika De Bruyne kuanzia nje jana, kumbe jamaa ana Diarrhea.
Kwa kwior sina shida nae, kwangu naona ni siku mbaya kazini, plus yule sane ni hatari, nilitamani kumuona mjapan akianza kumzuia kwior, ila sio kesi hawezi kulaumiwa kwa jana.

Jesus kakiri maumivu ni sehemu ya maisha yake, kaishakaa sana benchi na bado maumivu huwa anakuwa nayo, labda afutwe kabisa kikosini.

Kwangu gabriel na maumivu yake madhari mwenyewe amesema yupo fiti kucheza basi ni anaanza mbele ya KAI.
 
Kweli kondoo ni kondoo. Wakati wewe unafikiria mechi ijayo mbadilike muwe kondoo wa tofauti, unadhani Tuchel naye atabaki vile vile tuu.

Tuchel ambaye amecheza fainali za UCL mara mbili, Moja ambayo amebeba Hilo kombe.
Kwangu muda mzuri wa bayern kutuadhibu ilikuwa jana.tulipaswa tukutane na suprise hasa.
Kama bayern wanatarajia kuiona same arsenal ya jana basi wanakosea.
Jana kulikuwa na a little panic hasa kwa idara ya ulinzi na next mechi vijana mentally watakuwa wameimarika.
Na pia natarajia bayern tofauti.
Game nzuri matokeo ya kawaida .
 
Back
Top Bottom