toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,798
Kwangu muda mzuri wa bayern kutuadhibu ilikuwa jana.tulipaswa tukutane na suprise hasa.
Kama bayern wanatarajia kuiona same arsenal ya jana basi wanakosea.
Jana kulikuwa na a little panic hasa kwa idara ya ulinzi na next mechi vijana mentally watakuwa wameimarika.
Na pia natarajia bayern tofauti.
Game nzuri matokeo ya kawaida .
Kama bayern wanatarajia kuiona same arsenal ya jana basi wanakosea.
Jana kulikuwa na a little panic hasa kwa idara ya ulinzi na next mechi vijana mentally watakuwa wameimarika.
Na pia natarajia bayern tofauti.
Game nzuri matokeo ya kawaida .


