arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Na nyny ni wepi mkuu🤠🤠...kesho mnacheza saa ngapi tuje kuangalia bolu lenuwanapenda kujitoa ufahamu Arsenal ni wale wale tu
Na nyny ni wepi mkuu🤠🤠...kesho mnacheza saa ngapi tuje kuangalia bolu lenuwanapenda kujitoa ufahamu Arsenal ni wale wale tu
Inabidi aombe maelekezo kwa SalahSAKA ameshazoea penalties za diving kwenye Premier league,Yeye ndio ame kicking mguu wa kipa na bado anataka penalty.
Naona umefurahi sana mkuu...maana unajua kazi imeshakwisha


"Kazi bado haijaisha, tukienda Ujerumani tunampiga mkoloni kono la nyani halafu tunasonga zetu mbele, kati ya City na Madrid yoyote aje"UNAAMBIWA mganga wa saidoo ntibazonkiza ndio mganga wa KAIBasi Arteta anang'ang'ana na mtoto wake Kai mpaka mwisho wakati anajua hii michuano ni ya Jesus.
Toa na Jorginho weka Partey, tunashinda mechi hii.
Katafute comments zangu za nyuma, mie na kai ni mafuta na maji, kwangu nasema HAJUI MPIRA. sio mara moja wala mara ya pili, naweza kulisemahili na tena akiwa kawafunga timu kama luton nawenzie, naweza kuyasema haya hata kai akiwa man of the match.Haya hamkusema kabla ya game
Sis ni Bolton wanders tunacheza ijumaa. na Charton karibu sana mechi iliyopita tulicheza ugenini tukashinda mbili mojaNa nyny ni wepi mkuu...kesho mnacheza saa ngapi tuje kuangalia bolu lenu
Nadhani yeye anajua mie simkubali kai, siku hizi hahangaiki na kunijibu hili, nami nishamuelewa anampenda kai so akiwa anamsifia kwenye comments zake huwa napita bika kumkohoa na kama kaandika ambacho kinaingia akilini mwangu na like anapata.ngoja Masingeli akusikie unamnanga Kai, atakuja na furushi la takwimu za aerial duel huku akipata support ya kutosha kutoka kwa chawa zake hizi 2 mkorea na arsenal2004 lazima wakupe cheo cha mamluki.
Kuna makosa kidogo yalifanyika defensively, Bayern wakapita nayo. Kwao tukiwa makini zaidi, tunashinda.
Kama humpendi. Huwa unajipanga kuangalia makosa yake zaidi kuliko y kiufundi... kwa hiyo asingeanza kwa sababu humpendi siyoNi
Katafute comments zangu za nyuma, mie na kai ni mafuta na maji, kwangu nasema HAJUI MPIRA. sio mara moja wala mara ya pili, naweza kulisemahili na tena akiwa kawafunga timu kama luton nawenzie, naweza kuyasema haya hata kai akiwa man of the match.
Mpira bado unachezwa kwa record sio.Alichokifanya saka anadhihirisha kuwa yeye bado anaumachachari tu na sio mahiri,afikishiwe ujumbe kuwa yuefa sio ligi kuu ya kujisahau sahau,ila hizi mechi mbili ya madrid na bayern bado mbichi.
Kwasasa wenye nafasi ya kuendelea mbele kulingana na rekodi n bayern na siti tu,madrid na asenali labda miujiza itokee
Nakosaje jirani, arsenal ndio inanifanya nizidi kuupenda mpira wa miguu.Half american jirani hivi unaangalia game kweli??
Ni ukweli usiopingika Jesus ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa sana ila naweza sema kuna muda hana bahati.Gabriel Jesus anaweza asiwe Lethal anapotaka kufunga lakini Arteta lazima ajue Arsenal haina mchezaji mbele anayeweza ku offer uwezo aliokuwa nao Gabriel Jesus.. Kai Havertz ahead of Gabriel Jesus is Hell No... Arteta tusidanganyane kwa hili. Creativity na flexibility ya Gabriel Jesus ni ya hali ya juu sana. Na mechi kama ya jana ni aina ya mechi kuna muda zinaamuliwa na uwezo wa mchezaji mwenyewe na si timu zaidi.. Angalia goli alilofunga saka ni maamuzi ya haraka sana yanahitajika pia angalia kazi aliyofanya Jesus kutengeneza goli la pili. Watu wanaweza kumtetea Kai Havertz kutokana hivi karibuni amekuwa na consistent ya kufunga lakini ukiacha mahaba sana jamaa ana makosa mengi sana na anainyima timu Flexibility kule mbele. Na mechi kama hizi ukikutana na wanaojua soka ndio uhalisia wa mtu hujionyesha.
Tatizo la Jesus ana percent fulan ya selfish Ila akiondoa ubinafs kama alivyofanya Jana kuna magoli mengi Sana pale mbeleGabriel Jesus anaweza asiwe Lethal anapotaka kufunga lakini Arteta lazima ajue Arsenal haina mchezaji mbele anayeweza ku offer uwezo aliokuwa nao Gabriel Jesus.. Kai Havertz ahead of Gabriel Jesus is Hell No... Arteta tusidanganyane kwa hili. Creativity na flexibility ya Gabriel Jesus ni ya hali ya juu sana. Na mechi kama ya jana ni aina ya mechi kuna muda zinaamuliwa na uwezo wa mchezaji mwenyewe na si timu zaidi.. Angalia goli alilofunga saka ni maamuzi ya haraka sana yanahitajika pia angalia kazi aliyofanya Jesus kutengeneza goli la pili. Watu wanaweza kumtetea Kai Havertz kutokana hivi karibuni amekuwa na consistent ya kufunga lakini ukiacha mahaba sana jamaa ana makosa mengi sana na anainyima timu Flexibility kule mbele. Na mechi kama hizi ukikutana na wanaojua soka ndio uhalisia wa mtu hujionyesha.
Mechi kama hizi KAI ndio anauzoefu kuliko Gabriel maana alifunga goli pekee la ushindi usiku wa fainali za ulaya na kunyanyua kwapa pale master technician wa mechi za mitoano tuchel alipokuwa na the blues,Kai mmoja ni gabriel 13 twakwimu hazidanganyi.Shida ya hii mechi sio ubovu wa buyern ni tuchel ,kuingia fainal uefa mara 1 na kuchukua mara mmoja sio kazi rahisi muulize clopp wa majogoo atakwambia.Gabriel Jesus anaweza asiwe Lethal anapotaka kufunga lakini Arteta lazima ajue Arsenal haina mchezaji mbele anayeweza ku offer uwezo aliokuwa nao Gabriel Jesus.. Kai Havertz ahead of Gabriel Jesus is Hell No... Arteta tusidanganyane kwa hili. Creativity na flexibility ya Gabriel Jesus ni ya hali ya juu sana. Na mechi kama ya jana ni aina ya mechi kuna muda zinaamuliwa na uwezo wa mchezaji mwenyewe na si timu zaidi.. Angalia goli alilofunga saka ni maamuzi ya haraka sana yanahitajika pia angalia kazi aliyofanya Jesus kutengeneza goli la pili. Watu wanaweza kumtetea Kai Havertz kutokana hivi karibuni amekuwa na consistent ya kufunga lakini ukiacha mahaba sana jamaa ana makosa mengi sana na anainyima timu Flexibility kule mbele. Na mechi kama hizi ukikutana na wanaojua soka ndio uhalisia wa mtu hujionyesha.
Wewe jamaa unaposema 'Kai mmoja ni sawa na Gabriel 13' unaongea ukiwa umelewa au una akili zako timamu?Mechi kama hizi KAI ndio anauzoefu kuliko Gabriel maana alifunga goli pekee la ushindi usiku wa fainali za ulaya na kunyanyua kwapa pale master technician wa mechi za mitoano tuchel alipokuwa na the blues,Kai mmoja ni gabriel 13 twakwimu hazidanganyi.Shida ya hii mechi sio ubovu wa buyern ni tuchel ,kuingia fainal uefa mara 1 na kuchukua mara mmoja sio kazi rahisi muulize clopp wa majogoo atakwambia.
Akili timamu kabisa ukimuweka Kai namba false nine atakupa goli angalau 13 ,Gabriel atakupa goli sita na mikimbio kocha wa arsenal sio mjinga .Wewe jamaa unaposema 'Kai mmoja ni sawa na Gabriel 13' unaongea ukiwa umelewa au una akili zako timamu?