Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,866
- 16,395
Naona umefurahi sana mkuu...maana unajua kazi imeshakwisha


"Kazi bado haijaisha, tukienda Ujerumani tunampiga mkoloni kono la nyani halafu tunasonga zetu mbele, kati ya City na Madrid yoyote aje"Alisikika kibwengo mmoja akiongea haya kwa kujiamini mbele ya kadamnasi ya watu.
