Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilichogundua washabiki wa Wenger orphans wapo serious na timu yao kuliko hata wachezaji wao.
20230128_070952.jpg
 
Wandugu hiyo haikuwa penalti. Bukayo Saka ndiye alipaswa kupata kadi ya njano kwa kumpiga teke Manuel Neuer mguuni. Sio haki kabisa, refa kaamua kuwabeba Arsenal.
 
Alichokifanya saka anadhihirisha kuwa yeye bado anaumachachari tu na sio mahiri,afikishiwe ujumbe kuwa yuefa sio ligi kuu ya kujisahau sahau,ila hizi mechi mbili ya madrid na bayern bado mbichi.
Kwasasa wenye nafasi ya kuendelea mbele kulingana na rekodi n bayern na siti tu,madrid na asenali labda miujiza itokee
 
Arteta anathibitiha msemo wa "nobody is perfect" yaani kai ndio 9 wake, kidhati kabisa kai anafaa kuanza game na kina luton huko,
Kai hana mali mguuni, hamtishi beki, kai karelax mnoo yaani hata ile spirit ya kuonesha anapambania jambo uwanjani hamna, zile dk chache za gabriel jesus unaona kabisa huyu ni mchezaji.

Sielewi na sijui kipi anakiona kwa kai, kila mtu ja jicho lake na mipango yake, kwangu kai ni big NO.
Haya hamkusema kabla ya game
 
Arteta anathibitiha msemo wa "nobody is perfect" yaani kai ndio 9 wake, kidhati kabisa kai anafaa kuanza game na kina luton huko,
Kai hana mali mguuni, hamtishi beki, kai karelax mnoo yaani hata ile spirit ya kuonesha anapambania jambo uwanjani hamna, zile dk chache za gabriel jesus unaona kabisa huyu ni mchezaji.

Sielewi na sijui kipi anakiona kwa kai, kila mtu ja jicho lake na mipango yake, kwangu kai ni big NO.
ngoja Masingeli akusikie unamnanga Kai, atakuja na furushi la takwimu za aerial duel huku akipata support ya kutosha kutoka kwa chawa zake hizi 2 mkorea na arsenal2004 lazima wakupe cheo cha mamluki.
 
Tuliwaambia Bayern sio Luton

Bayern sio Burnley

Mkatuona tunawaonea wivu

Leo uwanja mzima kulikuwa na mashabiki wa kondoo tuu na bado mmetoa sare, ambayo kimahesabu ni mmefungwa nyumbani.

Pale Allianz arena, mtafungwa hata kwa makelele wajalana nyie
 
Back
Top Bottom