whawana timu kelele tu na kusumbua watu
Hapo kocha alikosea. Ana nafasi ya kujirekebishaKulikua na faida gani ya kuanza na Kiwior wakati hasaidii kwenye kuzuia? Kiwior kashindwa mapambano yake yote dhidi ya Sane.
Mtu hajacheza mechi 2 unaanza nae wa nini?
HakunaKuna sheria ya goli la ugenini safari hii??...ufafanuzi tafadhali
Hata Martinelli was lacking livelinessKulikuwa Jorginho na Kiwior. Kwao walitakiwa Partey na Tomiyasu pia.
First half yote hakutumiwa sana maana tunainsist kutumia upande wa saka na odeHata Martinelli was lacking liveliness
Haya hamkusema kabla ya gameArteta anathibitiha msemo wa "nobody is perfect" yaani kai ndio 9 wake, kidhati kabisa kai anafaa kuanza game na kina luton huko,
Kai hana mali mguuni, hamtishi beki, kai karelax mnoo yaani hata ile spirit ya kuonesha anapambania jambo uwanjani hamna, zile dk chache za gabriel jesus unaona kabisa huyu ni mchezaji.
Sielewi na sijui kipi anakiona kwa kai, kila mtu ja jicho lake na mipango yake, kwangu kai ni big NO.
Arteta anathibitiha msemo wa "nobody is perfect" yaani kai ndio 9 wake, kidhati kabisa kai anafaa kuanza game na kina luton huko,
Kai hana mali mguuni, hamtishi beki, kai karelax mnoo yaani hata ile spirit ya kuonesha anapambania jambo uwanjani hamna, zile dk chache za gabriel jesus unaona kabisa huyu ni mchezaji.
Sielewi na sijui kipi anakiona kwa kai, kila mtu ja jicho lake na mipango yake, kwangu kai ni big NO.


ngoja Masingeli akusikie unamnanga Kai, atakuja na furushi la takwimu za aerial duel huku akipata support ya kutosha kutoka kwa chawa zake hizi 2 mkorea na arsenal2004 lazima wakupe cheo cha mamluki.Hakuna.Kuna sheria ya goli la ugenini safari hii??...ufafanuzi tafadhali
Naona umefurahi sana mkuu🤠🤠...maana unajua kazi imeshakwishangoja Masingeli akusikie unamnanga Kai, atakuja na furushi la takwimu za aerial duel huku akipata support ya kutosha kutoka kwa chawa zake hizi 2 mkorea na arsenal2004 lazima wakupe cheo cha mamluki.
wanapenda kujitoa ufahamu Arsenal ni wale wale tuNilichogundua washabiki wa Wenger orphans wapo serious na timu yao kuliko hata wachezaji wao.View attachment 2959156