Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi nitakuwa napita daily humu kuwakumbusha, mpaka mashindano yote 23/24 yaishe.

1. Carabao cup : ❌❌❌❌

2:EPL loading : FALSE HOPE 🔞

3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞

4: FA Cup : FALSE HOPE: ❌❌❌❌
 
Tunaongea kwa takwimu mpaka sasa KAI ana magoli 11 mashindano yote kwenye epl 9 , wakati Gabriel anayo 4 epl 3 ,ntaenda na KAI kama kocha wako tunaangalia mchezaji mfungaji sio muhangaikaji
20240410_193620.jpg

Hapo unaambiwa yupo kwenye msimu wake bora kbs, yaani wamotooo. Akikutana na kina Luton anafunga tu.
Masingeli asiwaongopee hapa mlipgwa.
 
Kipa alikosea, alitoka sehemu ambayo beki wake hajashindwa alikuwa ana asilimia 95 ya kuucheza ule mpira, hivyo alikosea kutoka vile, katoka kwenda kuucheza sio kujisogeza apasiwe kwa urahisi, hili ndio kosa la raya,

Tunakubali kukosea ni sehemu ya mwanadamu na kwangu nahisi kosa lile ni la kwanza kwake, hatusemi HAKUKOSEA, kafanya kosa nasi tunaona ni bahati mbaya.
Kosa jingine la Raya, wakati wa kupiga penalty, uwa ana move mapema, kiasi cha kumfanya mpiga penalty asiwe na wakati mgumu kuchagua angle ya kuupeleka mpira
 
1. Carabao cup: ❌❌❌❌

2:EPL loading: FALSE HOPE 🔞

3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞

4: FA Cup : FALSE HOPE: ❌❌❌❌
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

ARSENAL VS ASTON VILLA ( Pre game Analysis)

✍🏾 Ni match Nyingine mbayo sio rahisi inahitaji utimamu mkubwa kwenye kuset Mbinu kiuchezaji.

✍🏾 Aston Villa Ya uni, ni moja kati team ambazo zipo vizuri kwenye build attacking ya kasi, wanafanya transtions ya mifumo haraka sana.

✍🏾 Unai Primary set up unamkuta akicheza 4-2-4 au 4-2-2-2, lengo kuoverload eneo la kiungo, na kuweka presha kwenye Lango mpinzani, kwa idadi kubwa ya wachezaji.

✍🏾 Unai 4-2-4 akifanikiwa kufika Robo tatu mwisho uwanja, mpinzani uwa anashift kuwa 3-2-5 lengo kuwa idadi kubwa wachezaji eneo la mpinzani wakijaribu kutafuta isolation, Overloading nk.

✍🏾 Pia Unai mdau game kutumia nguvu sana Kukosekana kwa Dogras Luiz ni pigo kwao kiasi fulani ila watu kama kina watkins ni threats Diaby, Mc ginn, na Bailey.

✍🏾 Arsenal Kwa vile villa anahitaji kumiliki kiungo basi sisi hatuna budi kufanya zaidi anacho kifanya kwenye build up.

✍🏾 Kuhakikisha Tuna mpin nyuma Villa kwa kutumia overload strategy kwenye build up Arsenal wanatumia Box midfield au Rhombus hii inasaidia kupata Spare man na mipira kusogea mbele inasaidia kuua press ya mpinzani

✍🏾 Hapa tunatakiwa kuwa makini kama Villa au sisi tukiamua kutumia Long balls basi tushinde second balls nyingi maeneo yao hatari tufanye shambulizi haraka

✍🏾 Kuhusu 4-2-4 villa basi sisi hapa tutakiwa kuinvert kwanini FB mmoja aweze kuongeza idadi wachezaji eneo l kati kati tukiwa na structure 3-3-2-2 au 3-5-2 hapa tayari tunaweza kuwaout number ila kocha anajua set up yake, kumbuka 3-5-2 ni kwa ajili kubypass tu tukifanikiwa kufika kwao tunarudi hapa 2-3-5 au 2-2-6.

✍🏾 Mwisho tunashambulia vile vile iddi kubwa wachezaji last line hii siraha kubwa kupata space kimbinu.

Amigos
FB_IMG_1712855896765.jpg
 
😂😂😂😂😂😂

Hivi hamjawazoea mashabiki wa Ar8
Masingeli huwa anawaona waone kila kitu ni easy
Yaani wapo kama motivational speakers,,they take things so easy.


Kuna dogo nimemwambia Jana kuwa Arse8 akichukua UEFA Nampa kiinfinix changu..yeye anipe kitochi.
Dada habari, naomba matokeo ya jana kule anfield yalikuaje
 
Furaha yangu ni kuona Arsenyani wanatolewa UCL mapema. Kwenye EPL sina wasiwasi, next game wanakutana na mzee wa Good Ebening, bado wana London Derby: Chelsea & Spurs, hapo lazima wataacha points. Siku watakayokuja Old Trafford ndiyo tunamaliza kabisa matumaini yao msimu huu. 🤣

TROPHYLESS, AGAIN!!!
Wewe haupo Brighton tena?
 
Wana Arsenali wenzangu Jana tumeona jinsi gabriel na saliba walivyopoteana. Goli la kwanza kaunguza gabriel goli la pili kaumguza saliba yaani mtu ana dribble karibu yard 30 bila kukabwa. Hii inaonesha EPL saliba na gabriel wanaonekana bora sababu wanakutana na timu dhaifu sana.
Naomba matokeo ya Atalanta kaka
 
Hapo unajisahaulisha kama Gabriel Jesus alikua ndio namba 9 yetu kabla ya kuumia na option ndio ikawa Kai acheze pale.

Kwa hayo magoli/assist Kai amefaidika zaidi kwenye ushindi wa 0-6, 5-0, 4-1, 0-3 ambazo hizo mechi zote kama angekuwepo Jesus angeshinda pia and maybe more.
And maybe asingeshinda, tusisahau gabi ni mzee wa BCM
 
Mimi nitakuwa napita daily humu kuwakumbusha, mpaka mashindano yote 23/24 yaishe.

1. Carabao cup : ❌❌❌❌

2:EPL loading : FALSE HOPE 🔞

3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞

4: FA Cup : FALSE HOPE: ❌❌❌❌
Msalimie teni hagi
 

Attachments

  • 20240406_221028.jpg
    20240406_221028.jpg
    137.3 KB · Views: 13
Back
Top Bottom