🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
ARSENAL VS ASTON VILLA ( Pre game Analysis)
✍🏾 Ni match Nyingine mbayo sio rahisi inahitaji utimamu mkubwa kwenye kuset Mbinu kiuchezaji.
✍🏾 Aston Villa Ya uni, ni moja kati team ambazo zipo vizuri kwenye build attacking ya kasi, wanafanya transtions ya mifumo haraka sana.
✍🏾 Unai Primary set up unamkuta akicheza 4-2-4 au 4-2-2-2, lengo kuoverload eneo la kiungo, na kuweka presha kwenye Lango mpinzani, kwa idadi kubwa ya wachezaji.
✍🏾 Unai 4-2-4 akifanikiwa kufika Robo tatu mwisho uwanja, mpinzani uwa anashift kuwa 3-2-5 lengo kuwa idadi kubwa wachezaji eneo la mpinzani wakijaribu kutafuta isolation, Overloading nk.
✍🏾 Pia Unai mdau game kutumia nguvu sana Kukosekana kwa Dogras Luiz ni pigo kwao kiasi fulani ila watu kama kina watkins ni threats Diaby, Mc ginn, na Bailey.
✍🏾 Arsenal Kwa vile villa anahitaji kumiliki kiungo basi sisi hatuna budi kufanya zaidi anacho kifanya kwenye build up.
✍🏾 Kuhakikisha Tuna mpin nyuma Villa kwa kutumia overload strategy kwenye build up Arsenal wanatumia Box midfield au Rhombus hii inasaidia kupata Spare man na mipira kusogea mbele inasaidia kuua press ya mpinzani
✍🏾 Hapa tunatakiwa kuwa makini kama Villa au sisi tukiamua kutumia Long balls basi tushinde second balls nyingi maeneo yao hatari tufanye shambulizi haraka
✍🏾 Kuhusu 4-2-4 villa basi sisi hapa tutakiwa kuinvert kwanini FB mmoja aweze kuongeza idadi wachezaji eneo l kati kati tukiwa na structure 3-3-2-2 au 3-5-2 hapa tayari tunaweza kuwaout number ila kocha anajua set up yake, kumbuka 3-5-2 ni kwa ajili kubypass tu tukifanikiwa kufika kwao tunarudi hapa 2-3-5 au 2-2-6.
✍🏾 Mwisho tunashambulia vile vile iddi kubwa wachezaji last line hii siraha kubwa kupata space kimbinu.
Amigos