Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Ukifundisha wewe inatoshaChief ulishawahi kufundisha mpira angalau level ya Madrasa, sunday school, nursery school?
Ukifundisha wewe inatoshaChief ulishawahi kufundisha mpira angalau level ya Madrasa, sunday school, nursery school?
Basi mchagueni shabiki mmoja mnayemuamini akafundishe timu, arteta akapumzike.Wewe aliekwambia Arteta anauchungu wa timu kuliko mashabiki ni nani?
Kwahiyo Arteta kipindi anacheza mpira Everton alikua ana uchungu na Arsenal si ndio maana yake!?
Aisee humu ndani huwa watu wanaongea general sana...shabiki ambaye hapati chchte zaidi ya furaha au maumivu timu ikifungwa au kushinda na kocha ambaye ana benchi lake na wte wanalipwa kwa kufanya kazi hiyo nani anakuwa na uhitaji zaidi wa ushindi...lakini watu ikitokea changamoto kidogo watamaliza maneno yote....Basi mchagueni shabiki mmoja mnayemuamini akafundishe timu, arteta akapumzike.
Ww jana kuna kichaka ulifichwa, labda km umeangalia marudio 😂😂😂😂Nakosaje jirani, arsenal ndio inanifanya nizidi kuupenda mpira wa miguu.
Hivi hamjawazoea mashabiki wa Ar8Basi mchagueni shabiki mmoja mnayemuamini akafundishe timu, arteta akapumzike.
NynyWana Arsenali wenzangu Jana tumeona jinsi gabriel na saliba walivyopoteana. Goli la kwanza kaunguza gabriel goli la pili kaumguza saliba yaani mtu ana dribble karibu yard 30 bila kukabwa. Hii inaonesha EPL saliba na gabriel wanaonekana bora sababu wanakutana na timu dhaifu sana.
KumbeQuality vs experience
Ndiyo hivi sasa.
Arteta alijua haya ndiyo maana akasema kwake msimu wa kwanza CL ni kwaajili ya kutalii. Unaofuata ndiyo ataanza kuwaza kombe.
Porto waliweza disrupt rhythm. Bayern asingeshindwa.
We move
Kichaka gani? Hii gemu niliwaambia wadau humu ni gemu ngumu mno, mechi ikiwa tough hata simu kushika siweziWw jana kuna kichaka ulifichwa, labda km umeangalia marudio 😂😂😂😂
Hii ndio ilikuwa penalty ya wazi kabisaChawa wa Emirates waseme wenyewe penalty inatolewaje hapo
View attachment 2959215
Tatizo tunamkuza sana kabla ya kufikia kiwango ,kiwior n uchochoro yule namna yake ya kukaba ni hatar sana anapenda mamikono na ile miguu yake illivyo 😂😂😂😂....Siku mbaya kazini kwa Kiwior, ila daaah, wadau wanavyomshambuli sasa. Wiki chache tuu, tulikuwa tunamuita Polish Maldini.
Mimi nilichojifunza, ni kumuamini Arteta na kumwacha afanye yake. Jesus juzi anasema hakumbuki lini amecheza bila maumivu. Leo mtu analalamika kwa nini Jesus hakuanza. Jamaa juu kazungumzia fitness ya mchezaji na vitu vingine ndo vinachangia nani aanze nani abaki sub.
Watu walilalamika De Bruyne kuanzia nje jana, kumbe jamaa ana Diarrhea.
Bora uone na uhukumu mwenyewe ukisubiria hukumu za kimahaba kutoka emirate utahadaiwaJana nimchek game zote asee Madrid sio wa kuomba kukutana naye wanampira objective Sana hawana masiala ya pasi side ways then wanamwendo na technical wako classic Sana asee uefa sio masihara
We mtu Yuko kwenye majimbi uko hata mtandao ukishak kidog haoni mpira, anajikuta anamawazo kuliko watu walioko jikonAisee humu ndani huwa watu wanaongea general sana...shabiki ambaye hapati chchte zaidi ya furaha au maumivu timu ikifungwa au kushinda na kocha ambaye ana benchi lake na wte wanalipwa kwa kufanya kazi hiyo nani anakuwa na uhitaji zaidi wa ushindi...lakini watu ikitokea changamoto kidogo watamaliza maneno yote....